Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Kwani alikimbia kesi?Ni jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
DPP ameona hawezi kushinda kesi kwa TL.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alikimbia kesi?Ni jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
itakayopangwa mshtakiwa atafika Mahakamani hapo.Tundu Lissu
Tatizo ni PGO tu hakuna kingine.
Kuuupiga mwingi ndio nnMama anaondoa makando kando ya mwendazake..ili aupige mwingi zaidi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Usilazimishe PGO kama republic hawajasema lisu atasematatizo ni PGO tu hakuna kingine.
Kijasusi na hata Kidiplomasia njia pekee ya Kummaliza Adui yako ni Kujishusha Kwake, Kujinyenyekeza, kuwa nae Karibu sana, Kumpenda Kinafiki, Kumsoma vyema na Kiustadi kisha unammaliza vizuri na kinidhamu kabisa huku Mhusika akiwa haamini lakini pia anafurahia huko Kumalizwa Kwake.Mama anaondoa makando kando ya mwendazake..ili aupige mwingi zaidi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Umelazimishwa?usilazimishe PGO kama republic hawajasema lisu atasema
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Kijasusi na hata Kidiplomasia njia pekee ya Kummaliza Adui yako ni Kujishusha Kwake, Kujinyenyekeza, kuwa nae Karibu sana, Kumpenda Kinafiki, Kumsoma vyema na Kiustadi kisha unammaliza vizuri na kinidhamu kabisa huku Mhusika akiwa haamini lakini pia anafurahia huko Kumalizwa Kwake.
Hujakosea nijuacho ni Kukukaza tu vyema.Hujui chochote kuhusu ujasusi wala diplomasia, unajipa umuhimu usiokuwa nao kama teja wa unga.
🤣 🤣 🤣Yule marehemu alikuwa mtu wa hovyo sana.
Jiwe sijui alibemendwa maana sio kwa liroho lile
DPP ameshindwa kuendelea na kesi Mataga wanakuambia amemshamehe Lissu! Wanavyoaib ika mahakamani kwa kesi za kubambika hana namna zaidi ya kuifuta.DPP Hawezi kutoa msamaha wewe kilaza, msamaha anaweza kutoa Rais peke yake kwa watu waliopewa hukumu, sio watuhumiwa.
ULITAKA WAANDIKEJE LABDA SABABU GANI ULIKUWA UNAITAKA WEWE WAKATI DPP ANAMAMLAKA YA KUFUTA KESI HATA KAMA HANA SABABU YA KUIFUTA AU UMECHUKIA LISSU KUFUTIWAKESI?