Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
DPP Biswalo siyo Msukuma.Yeye ni Mjita,kabila linalopatikana wilayani Bunda na Musoma.Mjita mwingine mpuuzi mpuuzi ni Cyprian Musiba.Wasukuma wamejimilikisha nchi yetu na roho zao mbaya za kichawi. Ikulu, dpp, ag.... ni wao tu
DPP Mganga Biswalo ni Mjita. Wajita wengine ni pamoja na Kangi Lugola na Cyprian Musiba.Hivi huyu DPP Ni kabila gani? Kama Ni mpare haijapata kutokea.muda wote anawaza kupambana Na upinzani....kesi ya kina lugola haieleweki lini inafunguliwa...
Halafu fisiem wanajidanganya kwamba Chadema imekufa. Hayo mamia ya mamilioni yaliyochangwa yametokana na michango ya sh.500/= za wapiga kura.Basi sawa,Ila nimeshtuka sana kuona watu wanachanga tsh 100,500,1000,5000
Thus ana akili kama msiba badala ya kubuni njia ya kupunguza mahabusu jela yeye anataka wajae.Au amespecilized kuwafunga wapinzani tu sijawaona mccm yeyeto amemfungaDPP Biswalo siyo Msukuma.Yeye ni Mjita,kabila linalopatikana wilayani Bunda na Musoma.Mjita mwingine mpuuzi mpuuzi ni Cyprian Musiba.
Huyo AG naye siyo Msukuma. Yeye ni Mkurya kutoka Tarime,Mara.
Halafu anasema eti hana chama wakati ana viashiria vya chama Fulani kama msajili vileNimemfuatilia kwa makini huyu DPP kwa kifupi ni mtu wa hovyo sana, dharau, kujimwambafai, ana vijimelea 90% vya uccm.
Maganga!DPP Biswalo siyo Msukuma.Yeye ni Mjita,kabila linalopatikana wilayani Bunda na Musoma.Mjita mwingine mpuuzi mpuuzi ni Cyprian Musiba.
Huyo AG naye siyo Msukuma. Yeye ni Mkurya kutoka Tarime,Mara.
Hakuna shida hata wakifungwa tena c raisi wetu mwenye huruma yuko atawatoa tu akina msigwaDPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Pia soma > Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea
na pia ni bogaz!
Ngoja aje Pascal Mayalla!Hivi ikitokea kila upande umekata rufaa kwa hoja tofauti usikilizwaji wake unakuwaje?
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Pia soma > Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea
Chadema wote watanzania ila sio watanzania wote ni chadema kwa hiyo yupo sahihi kuwaita watz
DPP ana PhD ya kupambana na upinzani aanzishe chamaHUYU ANACHUKI BINAFSI NA WAPINZANI.
KAMA MAHAKAMA IMESHATOA HUKUMU, KINACHOMWANGAISHA NI NINI? AU ALITAKA WAHUKUMIWE KIFO NDO ARIDHIKE?
DPP ana PhD ya kupambana na upinzani aanzishe chama