DPP: Bado naitafakari hukumu ya Viongozi wa CHADEMA, naweza kukata rufaa

DPP: Bado naitafakari hukumu ya Viongozi wa CHADEMA, naweza kukata rufaa

Huenda wananchii trip hii nasisi tutabilisha mbinu hatutachanga pesa ila tutachanga nguvu.


Sent from my GM1910 using Tapatalk
 
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.

DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.

Chanzo: ITV habari!
Kwanini alifunga jalada la Akwilina haraka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeamini huyu DPP hana ubunifu yeye ndie uwafanya mahabusu kurundikana jela kwa furaha yake kuona jamii ikiteseka,utadhani ajawahi soma history akajifunza mambo ya rise and fall of kingdom kwann amshauri msukuma mwenzake vizuri kuliko kumchonganisha na watu
 
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.

DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.

Chanzo: ITV habari!
Zombie la Yohanna katika ubora wake
 
Ni funga meza huyo
Hivi huyu DPP Ni kabila gani? Kama Ni mpare haijapata kutokea.muda wote anawaza kupambana Na upinzani....kesi ya kina lugola haieleweki lini inafunguliwa...

In God we Trust
 
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.

DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.

Chanzo: ITV habari!
DPP KWAMBA
Anaitafakari hiyo hukumu isipomridhisha anakata rufaa?
 
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.

DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.

Chanzo: ITV habari!
Huyu naye si atulize papa anawashwa nini?
 
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.

DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.

Chanzo: ITV habari!
Kata hata kesho kudadeki !
 
Back
Top Bottom