Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Ni vitu vya ajabu sanaKwahiyo anakata rufaa kuifurahisha nafsi yake?
Kweli nchi hii kuna utoto unaenda hadi aibu kuja kuwasimulia watoto wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vitu vya ajabu sanaKwahiyo anakata rufaa kuifurahisha nafsi yake?
Kweli nchi hii kuna utoto unaenda hadi aibu kuja kuwasimulia watoto wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliyajua hayo slow mind upenda ligi kulikoKamanda kuwa mvumilivu hiyo ndio demokrasia na huo ndio utawala wa sheria mnao ulilia kila leo....
Kwanini alifunga jalada la Akwilina haraka?DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Inaweza kuongezeka bwashee!Kwa hiyo pesa itarudishwa?
😁😁😁Basi sawa,Ila nimeshtuka sana kuona watu wanachanga tsh 100,500,1000,5000
Labda ndio njia mpya ya kukusanya mapatoInaweza kuongezeka bwashee!
Hawezi kuwa na jibu
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Zombie la Yohanna katika ubora wakeDPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Yule bwana kwenye ligi ndio kiwandani pale lzm atakata rufaa,
Hivi huyu DPP Ni kabila gani? Kama Ni mpare haijapata kutokea.muda wote anawaza kupambana Na upinzani....kesi ya kina lugola haieleweki lini inafunguliwa...
Kulia na kucheka yote ni kelele tuLet facts speak for themselves.... Rais Msumbwa, DPP mkara, AG Msukuma.
Tusi fabricate kila kitu.
DPP KWAMBADPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Huyu naye si atulize papa anawashwa nini?DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Kata hata kesho kudadeki !DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Eboooh..!DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Akili ndogo.Chadema sio Watanzania.Wewe ndo unawafanya wenzako wote wa kijani waonekane hawana akili.Siku zote unafikiri chini ya nyayo.