LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Duh kumbe Ni ngosha.duh...Wasukuma wamejimilikisha nchi yetu na roho zao mbaya za kichawi. Ikulu, dpp, ag.... ni wao tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kumbe Ni ngosha.duh...Wasukuma wamejimilikisha nchi yetu na roho zao mbaya za kichawi. Ikulu, dpp, ag.... ni wao tu
Natamani Mganga Biswalo akate rufaa kisha ashinde, ili CCM ione hasira za Watanzania Oktoba kwenye Uchaguzi Mkuu.DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Subiri kwanza ajiridhishe.....usiwe na baraka!Kwamba walionewa, basi sawa aungane na Kibatara kukata rufaa.
Wanachama wenu wako wapi? Nguvu ya uma iko wapi?Natamani Mganga Biswalo akate rufaa kisha ashinde, ili CCM ione hasira za Watanzania Oktoba kwenye Uchaguzi Mkuu.
Kosa hili lililotokea la faini iliyopitiliza imeipaisha sana Chadema katika mioyo ya Watanzania.
Kosa hilo la DPP na IGP Simon Sirro lisirudiwe tena. Asilani
Kujimwambafay ili kumfurahisha sijui nani.DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Ile imewekwa kapuni, kesi za ccm DPP hazigusi anapotezea tu.vyombo vya dola vinaiogopa sana ccmAnakata rufaa kwamba walihukumiwa adhabu ndogo au walionewa?
Hii yote ni kwasababu ya katiba mbovu iliyompa mamlaka makubwa dpp.
Hivi kesi ya akina Kangi imefikia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
DPP ndio aliyewashtaki sasa utasemaje wameonewa?Anakata rufaa kwamba walihukumiwa adhabu ndogo au walionewa?
Hii yote ni kwasababu ya katiba mbovu iliyompa mamlaka makubwa dpp.
Hivi kesi ya akina Kangi imefikia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mliyemfungia akaunti zake zote mpaka ya Mpesa.maccm MNA roho mbaya sana...Wanachama wenu wako wapi? Nguvu ya uma iko wapi?
Chadema pesa yte anakula mbowe.
Hivi huyu DPP Ni kabila gani? Kama Ni mpare haijapata kutokea.muda wote anawaza kupambana Na upinzani....kesi ya kina lugola haieleweki lini inafunguliwa...
Kwahiyo anakata rufaa kuifurahisha nafsi yake?DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Ndio kwanza picha limeanza kwa kuonyesha majina ya washiriki!DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Mkuu umenichekesha kweli dhuuMaiti imepiga chafya wanaanza kuweweseka
Wasukuma wamejimilikisha nchi yetu na roho zao mbaya za kichawi. Ikulu, dpp, ag.... ni wao tu
Nikisoma na kusikiliza wasomi w sheria wengine napata kichefuchefu hasa nikinusa harufu majalala!!! Something is wrong where is the burning hill comrades of our times??!!DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.
DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.
Chanzo: ITV habari!
Hiki kimtu kifupi kama mavi ya mwisho kinajjona kimeyapatia sana maisha. Kinakubali kutumika na Jiwe, iko siku Jiwe atatoka madarakani na watajuta sana