DPP: Bado naitafakari hukumu ya Viongozi wa CHADEMA, naweza kukata rufaa

DPP: Bado naitafakari hukumu ya Viongozi wa CHADEMA, naweza kukata rufaa

DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.

DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.

Chanzo: ITV habari!
Natamani Mganga Biswalo akate rufaa kisha ashinde, ili CCM ione hasira za Watanzania Oktoba kwenye Uchaguzi Mkuu.
Kosa hili lililotokea la faini iliyopitiliza imeipaisha sana Chadema katika mioyo ya Watanzania.
Kosa hilo la DPP na IGP Simon Sirro lisirudiwe tena. Asilani
 
Natamani Mganga Biswalo akate rufaa kisha ashinde, ili CCM ione hasira za Watanzania Oktoba kwenye Uchaguzi Mkuu.
Kosa hili lililotokea la faini iliyopitiliza imeipaisha sana Chadema katika mioyo ya Watanzania.
Kosa hilo la DPP na IGP Simon Sirro lisirudiwe tena. Asilani
Wanachama wenu wako wapi? Nguvu ya uma iko wapi?
Chadema pesa yte anakula mbowe.
 
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.

DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.

Chanzo: ITV habari!
Kujimwambafay ili kumfurahisha sijui nani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DPP mpumbavu sana ajui sheria anatumika muache akate rufaa ...aje atambue nguvu ya umma.
 
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.

DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.

Chanzo: ITV habari!
Kwahiyo anakata rufaa kuifurahisha nafsi yake?
Kweli nchi hii kuna utoto unaenda hadi aibu kuja kuwasimulia watoto wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.

DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.

Chanzo: ITV habari!
Ndio kwanza picha limeanza kwa kuonyesha majina ya washiriki!
 
Samahani mkuuu km umekaa na wasukuma wala usingehangaika hata kuandika haya ...sisi wasukuma ni watu safi sana ila kuna watu wanataka tuonekane sisi ni jamiii ya watu wapuuzi ila hawatafanikiwa ...karibu Mwanza tule sangala
Wasukuma wamejimilikisha nchi yetu na roho zao mbaya za kichawi. Ikulu, dpp, ag.... ni wao tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DPP Biswalo amesema amepokea nia ya CHADEMA ya kukata rufaa lakini hata yeye bado anaitafakari hukumu hiyo na isipomridhisha atakata rufaa.

DPP amesema kisheria muda bado upo wa yeye kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ya Mbowe na wenzake.

Chanzo: ITV habari!
Nikisoma na kusikiliza wasomi w sheria wengine napata kichefuchefu hasa nikinusa harufu majalala!!! Something is wrong where is the burning hill comrades of our times??!!
 
Hiki kimtu kifupi kama mavi ya mwisho kinajjona kimeyapatia sana maisha. Kinakubali kutumika na Jiwe, iko siku Jiwe atatoka madarakani na watajuta sana

Kamanda kuwa mvumilivu hiyo ndio demokrasia na huo ndio utawala wa sheria mnao ulilia kila leo....
 
Back
Top Bottom