Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Nimemfuatilia kwa makini huyu DPP kwa kifupi ni mtu wa hovyo sana, dharau, kujimwambafai, ana vijimelea 90% vya uccm.
Huyu kweli ni MGANGA Tena wa chienyeji......!
Huyu ndiye aliyekata Rufaa dhidi ya Ushindi wa Hukumu ya Wapinzani Kuzuia WAKURUGENZI KUSIMAMIA UCHAGUZI....!!