DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wawaondoe Mawakili wote waliohusika na plea-bargaining, wataingilia uchunguzi!

DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wawaondoe Mawakili wote waliohusika na plea-bargaining, wataingilia uchunguzi!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nadhani pamoja na kuufumua mfumo wa haki jinai, haya mambo yasiishie hapo.

Ofisi ya DPP na Mwanasheria Mkuu wawaondoe mawakili wote waliokuwa wakifanya kazi ya kishetani pale kisutu na nchini kote, wawe desk officers ili wasiingilie uchunguzi.

Hawa watu ni matajiri wakubwa kwa Sasa, na baadhi JPM aliwaahidi Ujaji kama zawadi yao, bahati mbaya JPM akafa, kifo Cha JPM kiliwafanya walie ofisini kama watoto huku wakivuja kamasi

Wengi wao ni matajiri wa kutupwa wakimiliki majumba na Mali mbalimbali hapa nchini.

Kuubadili mfumo na kuwaacha watu hawa ofisini ni kazi Bure, wakawe hata makatibu tarafa au Katibu Kata huko.

Issue zenye mishe za hovyo kulikuwa na majina huyakosi.

Hebu tuyataje hapa chini katika Uzi huu.

IMG-20230131-WA0032.jpg
Screenshot_20230131-214711.jpg
 
Nadhani pamoja na kuufumua mfumo wa haki jinai, haya mambo yasiishie hapo.

Ofisi ya DPP na Mwanasheria Mkuu wawaondoe mawakili wote waliokuwa wakifanya kazi ya kishetani pale kisutu na nchini kote, wawe desk officers ili wasiingilie uchunguzi.

Hawa watu ni matajiri wakubwa kwa Sasa, na baadhi JPM aliwaahidi Ujaji kama zawadi yao, bahati mbaya JPM akafa, kifo Cha JPM kiliwafanya walie ofisini kama watoto huku wakivuja kamasi

Wengi wao ni matajiri wa kutupwa wakimiliki majumba na Mali mbalimbali hapa nchini.

Kuubadili mfumo na kuwaacha watu hawa ofisini ni kazi Bure, wakawe hata makatibu tarafa au Katibu Kata huko.

Issue zenye mishe za hovyo kulikuwa na majina huyakosi.

Hebu tuyataje hapa chini katika Uzi huu.....

View attachment 2501818
Chiembe siku unaleta michango ya maana tu!! Ni ushauri mzuri.
 
Hawa ndio sehemu ya kundi hatari la sukuma gang waliokuwa wakiendesha ukatilili ndani ya nchi hii, kwa backup ya yule kiongozi muovu aliyeko motoni. Inatakiwa wote wakamatwe na kuwekwa ndani ili iwe fundisho kwa wahuni wengine.
 
Nadhani pamoja na kuufumua mfumo wa haki jinai, haya mambo yasiishie hapo.

Ofisi ya DPP na Mwanasheria Mkuu wawaondoe mawakili wote waliokuwa wakifanya kazi ya kishetani pale kisutu na nchini kote, wawe desk officers ili wasiingilie uchunguzi.

Hawa watu ni matajiri wakubwa kwa Sasa, na baadhi JPM aliwaahidi Ujaji kama zawadi yao, bahati mbaya JPM akafa, kifo Cha JPM kiliwafanya walie ofisini kama watoto huku wakivuja kamasi

Wengi wao ni matajiri wa kutupwa wakimiliki majumba na Mali mbalimbali hapa nchini.

Kuubadili mfumo na kuwaacha watu hawa ofisini ni kazi Bure, wakawe hata makatibu tarafa au Katibu Kata huko.

Issue zenye mishe za hovyo kulikuwa na majina huyakosi.

Hebu tuyataje hapa chini katika Uzi huu.....

View attachment 2501818
Haki inadumu daima
 
Hawa ndio sehemu ya kundi hatari la sukuma gang waliokuwa wakiendesha ukatilili ndani ya nchi hii, kwa backup ya yule kiongozi muovu aliyeko motoni. Inatakiwa wote wakamatwe na kuwekwa ndani ili iwe fundisho kwa wahuni wengine.
Kwanini huo ukatilo uliofanyiwa usiende dawati la jinsia?
 
Ofisi ya DPP na Mwanasheria Mkuu wawaondoe mawakili wote waliokuwa wakifanya kazi ya kishetani pale kisutu na nchini kote, wawe desk officers ili wasiingilie uchunguzi.
Mkuu hii rejea yako inakera sana, samahani lkn🤣🤣
 
Ww utakuwa ni mshamba fulani na bendera fuata upepo, ukisikia neno linasemwa na ww unalirukia ili uonekane unaenda na wakati.
Siyo mshamba bali ana akili kuwazidi nyote
 
SIjui ni kwa nini huyu mama anatuchukulia watanzania kama wajinga,!?, amekuwa akiongea vitu ambavyo ni mtu mjinga tu ndie anaweza kuamini,kipindi anaapishwa,aliliambia Taifa kuwa kipindi jpm amefariki,kuna pesa nyingi zilipigwa,mpk akaunda tume ili ifanye uchunguzi,na mlengwa mkuu alikuwa ni dkt bashiru ally kskurwa,mpk leo kimyaa,leo tena anazuka na lingine,yule anaye mtuhumu,kampa nafasi kubwa tu,
 
Hawa ndio sehemu ya kundi hatari la sukuma gang waliokuwa wakiendesha ukatilili ndani ya nchi hii, kwa backup ya yule kiongozi muovu aliyeko motoni. Inatakiwa wote wakamatwe na kuwekwa ndani ili iwe fundisho kwa wahuni wengine.
Walikuwa wanarudisha pesa zetu, kweli mitanzania mijinga mtu anaturudishia pesa zetu hatutaki sasa mnataka nini, Mimi ninge mshauri Raisi amteue Manganga kuwa mkuu wa takukulu, na mawakili walikuwa wanatusaidia kuzirudisha pesa zetu wapande cheo wawe Majaji na mwanasheria mkuu aondolewe huyu alikuwa akiwalinda mafisadi wakati alipokuwa na cheo cha DDP.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani pamoja na kuufumua mfumo wa haki jinai, haya mambo yasiishie hapo.

Ofisi ya DPP na Mwanasheria Mkuu wawaondoe mawakili wote waliokuwa wakifanya kazi ya kishetani pale kisutu na nchini kote, wawe desk officers ili wasiingilie uchunguzi.

Hawa watu ni matajiri wakubwa kwa Sasa, na baadhi JPM aliwaahidi Ujaji kama zawadi yao, bahati mbaya JPM akafa, kifo Cha JPM kiliwafanya walie ofisini kama watoto huku wakivuja kamasi

Wengi wao ni matajiri wa kutupwa wakimiliki majumba na Mali mbalimbali hapa nchini.

Kuubadili mfumo na kuwaacha watu hawa ofisini ni kazi Bure, wakawe hata makatibu tarafa au Katibu Kata huko.

Issue zenye mishe za hovyo kulikuwa na majina huyakosi.

Hebu tuyataje hapa chini katika Uzi huu.....

View attachment 2501818View attachment 2501854
Ccm inatakiwa iondolewe kwanza kabla ya kuwaondoa hao mawakili na wanasheria
 
Akiwemo anayeitwa Wankyo
Wakyo kafanya kazi nzuri sana alitakiwa apandishwe cheo awe DDP au Mkuu wa Takukulu aliwanyoosha sana wachina na wahindi na wahujumu uchumi wote, lakini sasa hivi wachina wamerudi kwa kasi na kuchukua meno ya tembo, waarabu wana chukua wanyamapori wetu, nchi ipo uchi hii.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom