Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Uyo anapswa awe jelaWakyo kafanya kazi nzuri sana alitakiwa apandishwe cheo awe DDP au Mkuu wa Takukulu aliwanyoosha sana wachina na wahindi na wahujumu uchumi wote, lakini sasa hivi wachina wamerudi kwa kasi na kuchukua meno ya tembo, waarabu wana chukua wanyamapori wetu, nchi ipo uchi hii.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Malipo yote ya plea bargain yamelipwa kwa control number, hivyo fedha zote zilizolipwa taarifa zote zipo fedha ziliingia account gani!. Ukilipa chochote kwa control number, fedha hizo unaingia straight serikalini!.Ofisi ya DPP na Mwanasheria Mkuu wawaondoe mawakili wote waliokuwa wakifanya kazi ya kishetani pale kisutu na nchini kote, wawe desk officers ili wasiingilie uchunguzi.
Huu sasa ni wivu wa kike!. Hakuna kosa lolote kwa watumishi wa serikali kuwa matajiri wa kutupwa na kumiliki majumba na mali mbalimbali.Wengi wao ni matajiri wa kutupwa wakimiliki majumba na Mali mbalimbali hapa nchini.
Bila kumsahau hakimu huruma shahidi huyo ndio alikuwa master mind wa kesi za uhujumu uchumiNadhani pamoja na kuufumua mfumo wa haki jinai, haya mambo yasiishie hapo.
Ofisi ya DPP na Mwanasheria Mkuu wawaondoe mawakili wote waliokuwa wakifanya kazi ya kishetani pale kisutu na nchini kote, wawe desk officers ili wasiingilie uchunguzi.
Hawa watu ni matajiri wakubwa kwa Sasa, na baadhi JPM aliwaahidi Ujaji kama zawadi yao, bahati mbaya JPM akafa, kifo Cha JPM kiliwafanya walie ofisini kama watoto huku wakivuja kamasi
Wengi wao ni matajiri wa kutupwa wakimiliki majumba na Mali mbalimbali hapa nchini.
Kuubadili mfumo na kuwaacha watu hawa ofisini ni kazi Bure, wakawe hata makatibu tarafa au Katibu Kata huko.
Issue zenye mishe za hovyo kulikuwa na majina huyakosi.
Hebu tuyataje hapa chini katika Uzi huu.....
View attachment 2501818View attachment 2501854
Of course mtumishi kuwa tajiri Ni sawa Kama mtumishi amepata Mali kwa njia halaliMalipo yote ya plea bargain yamelipwa kwa control number, hivyo fedha zote zilizolipwa taarifa zote zipo fedha ziliingia account gani!. Ukilipa chochote kwa control number, fedha hizo unaingia straight serikalini!.
Fedha yoyote ikiisha ingia kwenye account yoyote, haiwezi kutoka bila command ya maandishi, na transactions data zipo za kiasi cha pesa kilichohamishwa kimehamishiwa wapi au kama ni cash, zimechukuliwa kiasi gani, benk gani na alichukua ni nani!. Hii ya sijui accounts ziko China!, ni stories za Mama kunogesha!.
Huu sasa ni wivu wa kike!. Hakuna kosa lolote kwa watumishi wa serikali kuwa matajiri wa kutupwa na kumiliki majumba na mali mbalimbali.
P
Cha ajabu yule bwana mswahili swahili na mlezi wa masnake snake na jopo lake lote wataonekana wasafi sana kuliko yule kipenzi cha wananzengo! Wakati wanatesa Kwa zamu wananzengo wanateseka Kwa zamu!! And this is Nyerere landNadhani pamoja na kuufumua mfumo wa haki jinai, haya mambo yasiishie hapo.
Ofisi ya DPP na Mwanasheria Mkuu wawaondoe mawakili wote waliokuwa wakifanya kazi ya kishetani pale kisutu na nchini kote, wawe desk officers ili wasiingilie uchunguzi.
Hawa watu ni matajiri wakubwa kwa Sasa, na baadhi JPM aliwaahidi Ujaji kama zawadi yao, bahati mbaya JPM akafa, kifo Cha JPM kiliwafanya walie ofisini kama watoto huku wakivuja kamasi
Wengi wao ni matajiri wa kutupwa wakimiliki majumba na Mali mbalimbali hapa nchini.
Kuubadili mfumo na kuwaacha watu hawa ofisini ni kazi Bure, wakawe hata makatibu tarafa au Katibu Kata huko.
Issue zenye mishe za hovyo kulikuwa na majina huyakosi.
Hebu tuyataje hapa chini katika Uzi huu.....
View attachment 2501818View attachment 2501854
Hapana huyu ni shujaa anayepaswa kuwa jela ni huyu anaeruhusu waarabu kuiba wanyama wetu na kukopa hovyo.Uyo anapswa awe jela
Ndio tabia ya frustrated Leaders. Hao huwa wanalaumu kila kitu bila kuchukua hatua yoyote. Wanaweza kulaumu mpaka kiti walichokikalia na kumshutumu seremala kuwa hakukitengeneza vizuri. CCM imeharibu mifumo mingi ya nchi, majizi yapo kila kona na yanachekewa na kupongezwa na huyo huyo aliyewateua. Ajiuzulu tu.SIjui ni kwa nini huyu mama anatuchukulia watanzania kama wajinga,!?, amekuwa akiongea vitu ambavyo ni mtu mjinga tu ndie anaweza kuamini,kipindi anaapishwa,aliliambia Taifa kuwa kipindi jpm amefariki,kuna pesa nyingi zilipigwa,mpk akaunda tume ili ifanye uchunguzi,na mlengwa mkuu alikuwa ni dkt bashiru ally kskurwa,mpk leo kimyaa,leo tena anazuka na lingine,yule anaye mtuhumu,kampa nafasi kubwa tu,
SIjui ni kwa nini huyu mama anatuchukulia watanzania kama wajinga,!?, amekuwa akiongea vitu ambavyo ni mtu mjinga tu ndie anaweza kuamini,kipindi anaapishwa,aliliambia Taifa kuwa kipindi jpm amefariki,kuna pesa nyingi zilipigwa,mpk akaunda tume ili ifanye uchunguzi,na mlengwa mkuu alikuwa ni dkt bashiru ally kskurwa,mpk leo kimyaa,leo tena anazuka na lingine,yule anaye mtuhumu,kampa nafasi kubwa tu,
Walikuwa wanarudisha pesa zetu, kweli mitanzania mijinga mtu anaturudishia pesa zetu hatutaki sasa mnataka nini, Mimi ninge mshauri Raisi amteue Manganga kuwa mkuu wa takukulu, na mawakili walikuwa wanatusaidia kuzirudisha pesa zetu wapande cheo wawe Majaji na mwanasheria mkuu aondolewe huyu alikuwa akiwalinda mafisadi wakati alipokuwa na cheo cha DDP.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Wakyo kafanya kazi nzuri sana alitakiwa apandishwe cheo awe DDP au Mkuu wa Takukulu aliwanyoosha sana wachina na wahindi na wahujumu uchumi wote, lakini sasa hivi wachina wamerudi kwa kasi na kuchukua meno ya tembo, waarabu wana chukua wanyamapori wetu, nchi ipo uchi hii.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Malipo yote ya plea bargain yamelipwa kwa control number, hivyo fedha zote zilizolipwa taarifa zote zipo fedha ziliingia account gani!. Ukilipa chochote kwa control number, fedha hizo unaingia straight serikalini!.
Fedha yoyote ikiisha ingia kwenye account yoyote, haiwezi kutoka bila command ya maandishi, na transactions data zipo za kiasi cha pesa kilichohamishwa kimehamishiwa wapi au kama ni cash, zimechukuliwa kiasi gani, benk gani na alichukua ni nani!. Hii ya sijui accounts ziko China!, ni stories za Mama kunogesha!.
Huu sasa ni wivu wa kike!. Hakuna kosa lolote kwa watumishi wa serikali kuwa matajiri wa kutupwa na kumiliki majumba na mali mbalimbali.
P
Hapana huyu ni shujaa anayepaswa kuwa jela ni huyu anaeruhusu waarabu kuiba wanyama wetu na kukopa hovyo.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Cha ajabu yule bwana mswahili swahili na mlezi wa masnake snake na jopo lake lote wataonekana wasafi sana kuliko yule kipenzi cha wananzengo! Wakati wanatesa Kwa zamu wananzengo wanateseka Kwa zamu!! And this is Nyerere land
Hapa Mayala umesema uwongo kwa 100%. Hakuna malipo ya hicho kilichoitwa plea bargaining, yaliyofanywa kupitia mfumo wa kibenki. Ilikuwa ni lazima kulipa kwa cash baada ya kukubaliana na DPP.Malipo yote ya plea bargain yamelipwa kwa control number, hivyo fedha zote zilizolipwa taarifa zote zipo fedha ziliingia account gani!. Ukilipa chochote kwa control number, fedha hizo unaingia straight serikalini!.
Fedha yoyote ikiisha ingia kwenye account yoyote, haiwezi kutoka bila command ya maandishi, na transactions data zipo za kiasi cha pesa kilichohamishwa kimehamishiwa wapi au kama ni cash, zimechukuliwa kiasi gani, benk gani na alichukua ni nani!. Hii ya sijui accounts ziko China!, ni stories za Mama kunogesha!.
Huu sasa ni wivu wa kike!. Hakuna kosa lolote kwa watumishi wa serikali kuwa matajiri wa kutupwa na kumiliki majumba na mali mbalimbali.
P
Utoto unakusumbuaNdio mumeo nini?
We umepata tsh. Pesa zenu zilizorudishwa?Walikuwa wanarudisha pesa zetu, kweli mitanzania mijinga mtu anaturudishia pesa zetu hatutaki sasa mnataka nini, Mimi ninge mshauri Raisi amteue Manganga kuwa mkuu wa takukulu, na mawakili walikuwa wanatusaidia kuzirudisha pesa zetu wapande cheo wawe Majaji na mwanasheria mkuu aondolewe huyu alikuwa akiwalinda mafisadi wakati alipokuwa na cheo cha DDP.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ww ungekuwa hata umebalehe usingeongea ule ukhanithi pale juu.Utoto unakusumbua