DPP: Sheikh Ponda anahusika na Al-Shabaab!

Status
Not open for further replies.
teh teh ndo tanzania na maajab
hahah. raha ya siku hizi ni vita kati ya waislam na wakiristo. sio kama tulivyozea kwamba waislam tu ndio wanaopigwa na Polisi wakiristo wanakaa pembeni kunywa soda na Kupongeza na kuwpongeza watawala. Style hii mpya inaweza ikajenga heshima ndani ya jamii yetu
 
waacheni waandamane, mbona swala la kuchinja mmewakubalia bila masharti.?
 
kama dibagula alifungwa kwa kusema yesu si mungu aliachiwa kwa maandamano. Nadahani dpp hawajui waislam vizuri. Kama anashindikizwa na mapadri na maaskofu kumtesa ponda. Asitake kuliangamiza taifa letu kwa udini wake mtu mmoja. Mara utasikia hata yule wa geita ponda alienda kumuua yeye. Kwani liondoka mahabusu usiku kenda geita. Kama kashindwa bush kuua uislam sidhani dpp anaeweza kuungamiza uislam tz
 
KAtika utawala wa Mkapa huyu Ponda alikuwa anaishi wapi? Je alifuata taratibu za kutoka hapa nchini? wakati anarudi je, alifuata pia taratibu za kuingia nchini?? Hapo tutajua kama ni raia au la!
 
Hii mihimili ya Dola laiti ingekuwa huru na yenye kuwajibika sina shaka isingetoa kuwepo nafasi za mambo waliyofanya akina Ponda na wenzake.

Ok maadam hii ni nchi ya vimemo na matamko DPP aendelee mpaka kimemo kingine kitakapompa mwongozo.
 

PAdri na Askofu yupi ndo mtendaji wa Serikali? je, Kikwete, Bilali, Shein, Authman, Kofa, Mwema ndo mapadri wa nyumbani kwako?? Acha ujinga wewe andika kwa busara!!
 


KUSEMA YESU SIO MUNGU NDIO KASHFA? Hahaha. kashindwa farau kuungamiza uislam. liweze kanisa hap tz? si mnatafuta ya GEITA TU
 
style ya geita baada ya miaka 10 ccm watajua kwamba kuwaona wakiristo ndio watawala hapa tz itaondoka. Haki na umoja unaweza ukajengwa
 
Hii mihimili ya Dola laiti ingekuwa huru na yenye kuwajibika sina shaka isingetoa kuwepo nafasi za mambo waliyofanya akina Ponda na wenzake.

Ok maadam hii ni nchi ya vimemo na matamko DPP aendelee mpaka kimemo kingine kitakapompa mwongozo.
Mungozo ni maadamano Ijumaa na ikibi ihamie J2 hata yeye asiende kanisani kusali na kuongea na mapadri juu ya kuwadhibiti waislam kwa kisingizo cha sheria
 
Mimi niliwaambia hapa kwamba waislam watacheza sana lakini ikitokea kawekwa lupango basi kazi inakuwa kubwa kutoka mkabisha .Haya sasa yuko huyu mjinga .Mwacheni kwanza akae akitoka atakuwa katia akili

Wewe mpuzi acha Upogo. waislam hawakuanza kuteswa leo. ukisoma Historia ya Bilali kalazwa juani huku akipigwa mawe. unashangaa Sheikh Ponda kuteswa na wakiristo na wanafiki. ukisoma historia ya uislam wala hushangai kuona waislam wakiteswa.nawshangaa waislam waliopewa vyeo wanajishau na kuungana na wakiristo kuwaangamiza waislam wenzao.
 
Hakuna MUNGU anaeamasisha vurugu ni shetani tu ndiyo kazi yake, Kama kweli wasilamu wanamwabudu mungu wa kweli wa tuonyeshe kwa utulivu na upendo.

Mungu hakusema ukibiwa mali yako UMPONGEZE mwizi. MOU wanayo. Vatikana wanamiliki. hata masheikh waandelee kuwanyanayasa? DPP acha udini tenda haki.
 

Tatizo kuna watu wanataka tugombane kwa sababu zao binafsi. Hapa ninapoishi jirani zangu ni waislam. Na maisha yetu yapo hivi; wakati wa kristmas huwa napika na familia yake inakuja kwangu, tunatandika mkeka, tunakula. Idd vile vile. Nikinunua kuku nampa anachinja, nabariki kwa imani yangu, tunashare. Ila nikiamini kuwa siyo ibada, ni utaratibu ili tuishi.
Hizi imani tumeanishwa tu. Na ni nadra sana mimi nikiwa naye tunajadili habari za dini, ni maisha ya kawaida tu.
 

Tena huyu DPP inatakiwa awe mfano maana anaanza kutubore.
 
Naamini wakithubutu kuandamana askari watatosha kuwadhibiti misikiti yote. Lakini wakiandamana kwa amani askari wa kuwalinda hawatoshi.

Mkuu... ukweli ulioje! unajua tatizo la hawa watawala wetu wanatoa majibu ya uongo na kitoto kwenye maswali muhimu. Sasa hii inawafanya hata kesho wanaposema ukweli wasiaminiwe. Kuna tatizo gani kusema ukweli?
 
DPP kigugumizi cha nini,hii ndiyo shida ya kufanya kazi za kitaalamu kwa shinikizo toka kwa wanasiasa. Hapa inapigwa danadana baadaye tutasikia huyu gaidi kaachiwa na ataendelea na uchochezi wake.
unamwita mwenzako gaidi kwa kuaje?mbona unakua mpofu wa kufikiri?
 
Nchi yetu inapaswa kuwa na rekodi za kila mtu na shughuli zake katika database ili kufahamu nani mwema na nani si mwema!!
 
daa hii nchi bwana,mtu akidai haki yake tuu,mara gaidi,mara al shabab,sijui mara si raia,hivi shekh ponda yupo hapa tokea lini?kwanini asikamatwe kitambo wakati wanamjua huyu sio raia?apewe haki yake ya dhamana,asinyimwe kisa muislam,mwenzako akinyolewa wewe tia maji,wakristo mnafurahia mashekh wanavyoswekwa rumande,kunyimwa haki zao na mengine,jua nanyi mpo hapa hapa,mlishabikia ray alivyotoa taraka tatu,mkaja juu alivyotoa sister merry
 
Hua najitahidi kufafanua ila bado hamjajua,na dhambi mnayo isapoti itawarudia japo siombei iwe hivyo maana namimi itaniathiri,hivi mashitaka aliyo somewa ponda ndio haya aliyo yasema DPP?kwakua ni mwisilamu mnasapoti uvunjifu wakatiba! Mimi ni mwana harakati naamini nyeupe naiwe nyeupe hata kama haitoninufaisha
 
Seems like when it comes to Ponda, Is guilty till proven innocent? Wataalam wa sheria (na si wataalam wa hisia tafadhali) tuondoeni gizani, vitabu vinasemaje?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…