DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World

DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World

New member wengu wanataka ikiwezekana hata samia auawe sembuse jujubali marekebisho?
Ujue mkuu hili swala limeibua sana swala la ubaguzi, mpaka Muungano hawauoni faida yake. Wenye asili ya Tanganyika wanakwambia aliyesaini ni Waziri, Katibu mkuu wa Wizara, na Raisi mwenyewe aliyeingia haya makubaliano na wote wanatoka Zanzibar, na makunaliano hayo yameingiza bandari zote pamoja na bandari za maziwa makuu, hapo ukifikilia huu upande wa Tanganyika itakuwa rahisi kuyaelewa haya makubaliano.
 
Ujue mkuu hili swala limeibua sana swala la ubaguzi, mpaka Muungano hawauoni faida yake. Wenye asili ya Tanganyika wanakwambia aliyesaini ni Waziri, Katibu mkuu wa Wizara, na Raisi mwenyewe aliyeingia haya makubaliano na wote wanatoka Zanzibar, na makunaliano hayo yameingiza bandari zote pamoja na bandari za maziwa makuu, hapo ukifikilia huu upande wa Tanganyika itakuwa rahisi kuyaelewa haya makubaliano.
Tanganyika, hapa tu ndio tunaachana, Tanganyika haipo, ni ya kufikirika, tudai kama watanzania, au kwanza tuidai Tanganyika, ikipatikana ndio tudai bandari za Tanganyika, vinginevyo watatushinda kisheria na kinguvu na kijeshi pia hatuwawezi
 
Inashangaza sana ila ndio ukweli kwa sasa.

Nyuzi nyingi zimeanzishwa kuhusu DP World, kuna wanaounga mkono na kuna wanaopinga.

Cha ajabu nimechunguza sana na kuona kuwa asilimia kubwa ya wanaopinga au kuanzisha uzi za kupinga ni new member JF, kwanini?
Mkataba unasemaje?
 
Inashangaza sana ila ndio ukweli kwa sasa.

Nyuzi nyingi zimeanzishwa kuhusu DP World, kuna wanaounga mkono na kuna wanaopinga.

Cha ajabu nimechunguza sana na kuona kuwa asilimia kubwa ya wanaopinga au kuanzisha uzi za kupinga ni new member JF, kwanini?
Kama unajifikirisha ndiyo ujue kuwa huu mzigo ni mkubwa kuliko wapumbavu wanavyojiaminisha.
 
Inashangaza sana ila ndio ukweli kwa sasa.

Nyuzi nyingi zimeanzishwa kuhusu DP World, kuna wanaounga mkono na kuna wanaopinga.

Cha ajabu nimechunguza sana na kuona kuwa asilimia kubwa ya wanaopinga au kuanzisha uzi za kupinga ni new member JF, kwanini?
Ebu wataje angalao 10 tu hao members wapya wanaopinga.
 
HOJA Yako nini Hasa.

Viongozi wasikaze shingo,

Mamlaka yote ya viongozi yanatoka Kwa wananchi kikatiba.

Wananchi hatutaki bandari zetu kugawiwa wageni kama maandazi.
 
Tanganyika, hapa tu ndio tunaachana, Tanganyika haipo, ni ya kufikirika, tudai kama watanzania, au kwanza tuidai Tanganyika, ikipatikana ndio tudai bandari za Tanganyika, vinginevyo watatushinda kisheria na kinguvu na kijeshi pia hatuwawezi
Hujanielewa., soma unielewe nimesema wenye asili ya Tanganyika. Unaposema Tanzania kuna wenye asili ya Tanganyika na asili ya Zanzibar. Kama kweli unafuatilia hii mambo niambie wenye asili ya Zanzibar kama wanalalamika kuhusiana na hii kitu. Unamjua Jussa ni nani, katamka kwa mdomo wake kuwa huo mkataba hautuhusu Wazanzibar watajijuwa Watanganyika wenyewe maana yake nin. Think big maseee..,
 
Inashangaza sana ila ndio ukweli kwa sasa.

Nyuzi nyingi zimeanzishwa kuhusu DP World, kuna wanaounga mkono na kuna wanaopinga.

Cha ajabu nimechunguza sana na kuona kuwa asilimia kubwa ya wanaopinga au kuanzisha uzi za kupinga ni new member JF, kwanini?
Watakuwa wafanyakazi wa bandari,wanaogopa mianya Yao ya upigaji ndo imekufa!
 
Inashangaza sana ila ndio ukweli kwa sasa.

Nyuzi nyingi zimeanzishwa kuhusu DP World, kuna wanaounga mkono na kuna wanaopinga.

Cha ajabu nimechunguza sana na kuona kuwa asilimia kubwa ya wanaopinga au kuanzisha uzi za kupinga ni new member JF, kwanini?
Halina ukweli hili
 
Wataje hao wachache kuthibitisha kauli yako, japo nafahamu kuwa umesema uongo.
Sio wachache ni wengi, swali
Kwanini wanaopinga dp wengi ni new member?
Kama unaona ni uongo itakua umeumia
So pole sana
 
Sidhani kama nabishana na mtu mwenye akili timamu. Mkataba umeusoma au ndo unawasikiliza kina Msigwa na Mbarawa na porojo zao?
Sidhani kama tunabishana, ninachoona ni kwamba mumeshanihukumu kwa dhana tu kwamba mie sio mtanganyika, mbona swali ni simple sana?
Tanganyika haipo, so twendeni na tz au watatushinda kisheria popote tutapoenda
 
kwasababu wakubwa wamekula posho bila kutugaia
 
Back
Top Bottom