Dr Aikande Kwayu wa CHADEMA: Kama mnaona CHADEMA chini ya Mbowe inasuasua nendeni vyama vingine. Kuna vyama vingine 19 nchini

Dr Aikande Kwayu wa CHADEMA: Kama mnaona CHADEMA chini ya Mbowe inasuasua nendeni vyama vingine. Kuna vyama vingine 19 nchini

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Aikand.png
 
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Huyu ana akili sawa na yule aliyesema tuhamie burundi
 
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Kwa nini waondoke wao na sio mbowe ndio aondoke?
 
Nenda uhamiaji ukaombe passport uwaambie sababu ni umeichoka Tanzania unataka kuhamia nchi nyingine kama utapata hiyo passport.
 
Mimi nataka kuhamia Marekani niwe raia wa Marekani, nianzie wapi kufuata taratibu za kuhamia Marekani??
 
Sawa haina shida, sisi sio milima tutakutana
 
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Pwenti!
 
CHADEMA haijajengwa na Mbowe tu,imejengwa na watu kede,ambao wengine wameponea chupuchupu kifo,sasa kwanini Mbowe asiondoke aende kwenye vyama vingine,awaachie ambao hawamtaki?
Itafika mahali watu watachukua maamuzi magumu ambayo siyo ya kuhama chama,kudhibitiana humohumo.
 
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Haya ndio Majibuu.

Mazuri kabisaa kwa sasa kwa machawa wenzangu wa CCM.

Uchaguz wa CDM unawahusu nini

Mbona CUF wnefanya uchaguzi juzi hamna habari nao
 
CHADEMA haijajengwa na Mbowe tu,imejengwa na watu kede,ambao wengine wameponea chupuchupu kifo,sasa kwanini Mbowe asiondoke aende kwenye vyama vingine,awaachie ambao hawamtaki?
Itafika mahali watu watachukua maamuzi magumu ambayo siyo ya kuhama chama,kudhibitiana humohumo.
Watu wangejenga chama bila uongozi? Kwan kina CUF hawakua na watu? Hivi kwann hamkubali Mbowe kupitia uongozi wake ndo ineifikisha CDM hapa? Leo hii uchaguzi wa CDM unapata coverage kias hichi unafikiri bila juhudi za uongozi thabiti wa Mbowe mngekua hata mnauzungumzia uchaguzi wa CDM kiasi hiki? Kwan CUF nao si walikua na uchaguzi ulikua kama hivi? Lissu si alikua NCCR kwann asingekijenga NCCR kikawa imara kama ilivyo CDM mwishowe akahama kuja CDM alafu leo hii muone Mbowe hamna alilofanya na matusi juu. PUMBAFU ningekua mm Mbowe ningewachapa wote nyie. Lissu agombee lakin usianze kumbeza Mbowe mtakua mnazingua BIG TIME
 
Sasa hapa watu wakisema CHADEMA ni kampuni binafsi ya Mbowe mtawatukana?

Kama humtaki Mbowe kidemokrasia tu unaambiwa uhame, hiyo sio kampuni binafsi ya mtu?

Ma Dokta wetu hawa changamoto sana.
 
Na huu ndio ujinga wa madokta wa Tanzania.

Kwann anaona chama ni Mbowe? Mjinga nini huyu?

Chama ni cha wanachama sio cha Mbowe, kwanini aaimshauri Mbowe kama watu wanamuona hatoshi basi aende vyama vingine? Yaani dokta mzima anakuwa chawa?

Nilimshangaa sana hata Mbowe juzi aliposema yeye katoka nayo mbali na blah blah kibao, yaani yale yale tunayolaumu kina Mugabe na Museveni kufikiria nchi ni zao binafsi na wanaamini hakuna mwenye haki na kuongoza hizo nchi ndio haya haya Mbowe anafanya. Stupid kabisa.

Mbowe Freeman utaondoa heshima uliyoijenga kwa miaka 25 plus. Kaa chini fikiria twice au thrice. Angalia kina mzee Mtei wana heshima yao hadi leo, unadhani wao wajinga waliokupisha wewe? Mmesababisha watu kuwa vilema na wengine kufa sababu ya chadema alafu leo mnaleta ujinga. Mbaya sana hii!
 
20241223_081426.jpg


Mwanachama maarufu wa Chadema na ndugu wa Mbowe Aikande ametoa maelekezo kwa wale wasiompenda Mbowe watafute chama wanachoona kinawafaa.

Amesema hayo baada ya kuona maneno na mashamba makali juu ya ndugu yake na chama cha Mbowe.
 
Ni kwa nini watu wanaona kwamba ukitofautiana na mtu kimawazo dawa yake ni kuondoka tu? Ni kwa nini isiwezekane au haiwezekani haya mawazo ya yote wanaopingana yakawekwa kwenye chungu kimoja yapikwe yaive na pilau la maana litoke watu wale washibe na nchi isonge mbele? kuwa na mawazo tofauti dawa yake si kukimbilia kwingine, huko nako wakiwa na tofauti utakimbilia wapi? kuvumiliana na kuelewana ndilo jambo la muhimu, hata kama jikoni pa moto, chakula lazima kiive na kinaradha sana kinapokuwa motomoto.
 
Back
Top Bottom