Dr Aikande Kwayu wa CHADEMA: Kama mnaona CHADEMA chini ya Mbowe inasuasua nendeni vyama vingine. Kuna vyama vingine 19 nchini

Dr Aikande Kwayu wa CHADEMA: Kama mnaona CHADEMA chini ya Mbowe inasuasua nendeni vyama vingine. Kuna vyama vingine 19 nchini

Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Yes, huu ndio msimamo wangu pia! Huwezi kutafuta uongozi kwa shinikizo kwamba fulani asigombee, hiyo haikubaliki! Kama Lissu anaona CHADEMA imepoteza mwelekeo aende ACT hakuna anayemzuia bwana!
 
Watu wangejenga chama bila uongozi? Kwan kina CUF hawakua na watu? Hivi kwann hamkubali Mbowe kupitia uongozi wake ndo ineifikisha CDM hapa? Leo hii uchaguzi wa CDM unapata coverage kias hichi unafikiri bila juhudi za uongozi thabiti wa Mbowe mngekua hata mnauzungumzia uchaguzi wa CDM kiasi hiki? Kwan CUF nao si walikua na uchaguzi ulikua kama hivi? Lissu si alikua NCCR kwann asingekijenga NCCR kikawa imara kama ilivyo CDM mwishowe akahama kuja CDM alafu leo hii muone Mbowe hamna alilofanya na matusi juu. PUMBAFU ningekua mm Mbowe ningewachapa wote nyie. Lissu agombee lakin usianze kumbeza Mbowe mtakua mnazingua BIG TIME
Watu waache upumbavu bwana! Lissu ametaka kuchukua umwenyekiti hivyo awe mtulivu sanduku la kura liamue siyo kulazimisha eti Mbowe asigombee! Mwamba yupo sana!
 
Dr Aikande kwayu; Ninaomba kuuliza, Je Unaweza kukatia ndoa Bima?
 
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Kila Jambo Na Wakati Wake Ata Nccr Na Cuf Vilikuwa Vyama Vikuu Vya Upizani Leo vipo Wapi? Wachaga Bhana Ni Shida
 
Ukweli ni kwamba Chadema ni miliki binafsi ya Mbowe,,,sisi wanachama. Ni Kama makondoo tu,,,#kidumu Chama Cha mapinduzi# SAMIA MI 5 tenaa
 
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Ajifunze siasa huyu mwehu, chana ni cha wananchi sio cha kundi la mbowe, wananchi wakisema hatoshi aachie ngazi tuu sababu hayupo pale kwa faida yake na kundi lake
 
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Kwa hiyo anatuhakikishia haws majuha akina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, chiembe Na akina Nape ni wanachama ama wanataka kujiunga na CHADEMA?
Maana nao wanaimba wimbo wa Mwamba Tuvushe
 
Kwa hiyo anatuhakikishia haws majuha akina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, chiembe Na akina Nape ni wanachama ama wanataka kujiunga na CHADEMA?
Maana nao wanaimba wimbo wa Mwamba Tuvushe
kwahiyo gentleman,
umekasirikia kabisa kwasabb maoni na mtazamo huru na wa haki wa mdau wa JF, dhidi ya wanachadema wenye gubu, mihemko na makasiriko dhidi ya azma ya Mbowe kuendelea kuiongoza chadema Taifa?

Hasira zako zinatoka wapi hali ya kua nawe una uhuru na haki ya kutoa maoni na mtazamo wako dhidi ya mgombea uongozi yeyote wa chadema ngazi ya taifa?

Ni wazi Freeman Aikaeli Mbowe anakubalika zaidi kuliko mtu mwingine yeyote ndani ya chadema, kuiongoza chadema. Na hili liko wazi gentleman 🐒
 
Huyu ana akili sawa na yule aliyesema tuhamie burundi
Namna bora ya kuifilisi saccos ya Mbowe na kuvunja ndoa yake na SSH ni kuunga mkono chama kingine mkono.
Kikiinuka chama chenye nguvu ccm haitamfadhili tena Mbowe kwani hatakuwa tishio kwa ccm
 
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Kwa cdm ni mali yake au ni taasisi ya umma?
Huu ndo mwisho wa usulutani
 
TLP ina nafasi kibao na inawaita mkaijenge mwenyewe alishaondokaga.
 
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Anza halafu tutakufuata,mwamba anatizamisha ,hatuvushi,tunahitaji kuvuka tena kweli kweli.Na poa tutafika mahali tutawakataa wote wa jalalani.
 
Wakuu,

Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu.

Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute nchi nyingine ya kuishi muache kuilalamikia CCM kwani kuna nyingine 194 duniani.

======================================================

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt.Aikande Kwayu akiwajibu wakosoaji wa uongozi wa Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Freeman Mbowe

"Kinachonishangaza ni hiki; watu ambao hawajawahi kabisa kutaka kuwa wanachama ndio wanajidai wana “interest” kupita kiasi kwenye uchaguzi wa ndani wa chama"

"Kama unaona CHADEMA chini ya uwenyekiti wa Freeman inasuasua, jiunge chama unachoona kiko vizuri kuna vyama 19 vya siasa Tanzania"


Huyu fala udr aliipata wapi?
 
Na huu ndio ujinga wa madokta wa Tanzania.

Kwann anaona chama ni Mbowe? Mjinga nini huyu?

Chama ni cha wanachama sio cha Mbowe, kwanini aaimshauri Mbowe kama watu wanamuona hatoshi basi aende vyama vingine? Yaani dokta mzima anakuwa chawa?

Nilimshangaa sana hata Mbowe juzi aliposema yeye katoka nayo mbali na blah blah kibao, yaani yale yale tunayolaumu kina Mugabe na Museveni kufikiria nchi ni zao binafsi na wanaamini hakuna mwenye haki na kuongoza hizo nchi ndio haya haya Mbowe anafanya. Stupid kabisa.

Mbowe Freeman utaondoa heshima uliyoijenga kwa miaka 25 plus. Kaa chini fikiria twice au thrice. Angalia kina mzee Mtei wana heshima yao hadi leo, unadhani wao wajinga waliokupisha wewe? Mmesababisha watu kuwa vilema na wengine kufa sababu ya chadema alafu leo mnaleta ujinga. Mbaya sana hii!
FREE CHADEMA, OUT MUSEVENI MUGABE MBOWE .Alafu haya majina ya M tuwe nayo makini.
 
Back
Top Bottom