Dr Aikande Kwayu wa CHADEMA: Kama mnaona CHADEMA chini ya Mbowe inasuasua nendeni vyama vingine. Kuna vyama vingine 19 nchini

Kwa logic hii Nyerere hakupaswa kupisha? Kuhusu Mbowe hakuna anayepinga kwamba hajaifikisha chadema hapo ila kwa sasa amefikia peak hawezi exceed hapo inabidi mwingine afanye succession ili twende level nyingine. Mbona Zitto amepisha kiongozi mkuu? kwani kuna ACT bila Zitto?
 
Hivi kwenye nafikria kw hekaheka hizi Mwenyekiti wa uchaguzi wa CHADEMA anamtangaza Tundu Lisu ndiyo mshindi wa uchaguzi afu Mwenyekiti anayemaliza muda wake anagomea matokeo na ufunguo wa ofisi hataki kutoa yeye na wafuasi wake nini kitatokea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…