nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Samaki hana ujanja nje ya majiExactly!
Just as simple as that!
TeheteheView attachment 1374553
mikutano ya membe itakuwa hivi akitaka kugombea urais
Kama naona bendera upande wa kulia!!ni ya nchi gani?View attachment 1374553
mikutano ya membe itakuwa hivi akitaka kugombea urais
Kwani kuna chama kingine cha siasa zaidi ya CCM!Katibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.
VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
Wtamuengua kama walivyoengua wagombea wa serikali za mitaaKatibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.
VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
Hoja ya kisomi hiiKatibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.
VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
Dr amesema sahihi kabisa. Aende popote halafu ndio alete hizo storyKatibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.
VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
si lazima CCM popote pale sababu mnamkubali kama ''jasusi na mwanadiplomasia nguli'' mumpe kura za kutoshaKama hamumuogopi kwa nini hamkuruhusu kugombea kupitia chama chenu CCM ?
Becky do you remember my projection towards 2020 October ELECTION?Kama hamumuogopi kwa nini hamkuruhusu kugombea kupitia chama chenu CCM ?