Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli aje km shida ni uraisKatibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.
VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
Sanasana hawakawii kumtafutia zile kesi uchwara maarufu kwa kusotesha watu korokoroni.Mkutane Uwanjani, au akutane na "DOLA" ?
CCM ilishakufa enzi za Mwalimu.
Kaka masahihisho kidogo hapo, ni Independent Candidate siyo Private Candidate.Kuanzisha chama chake si kitu oractical kwa wakati uliobaki.
Kitu fair ni kuruhusu private candidates.
Haki ya kikatiba.
Kitu ambacho CCM hawataki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usiwe magufuli ndo agombee 2025?Private candidate kwa muda uliobaki ndo practical? Nah...sidhani.
Na sina pingamizi na private candidates.
Lakini pia Membe si lazima agombee mwaka huu.
Anaweza kuanzisha chama chake na akagombea 2025.
Kwanini usiwe magufuli ndo agombee 2025?
Kwanini unamnyima haki yake ya kikatiba ya kugombea mwaka huu?Private candidate kwa muda uliobaki ndo practical? Nah...sidhani.
Na sina pingamizi na private candidates.
Lakini pia Membe si lazima agombee mwaka huu.
Anaweza kuanzisha chama chake na akagombea 2025.
Kwanini membe asubiri kugombea 2025 na siyo magufuli ndo asubiri?Sijaelewa swali lako.
Andika vizuri ueleweke.
Kwanini unamnyima haki yake ya kikatiba ya kugombea mwaka huu?
Samaki hua Hana ujanja Nje ya maji aiseeKatibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.
VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
The only problem no equal environment within the NEC and out there..Exactly!
Just as simple as that!
Kwanini membe asubiri kugombea 2025 na siyo magufuli ndo asubiri?
Yeyote anayekataa kuhalalisha haki za kikatiba mara moja, na yeyote anayesema kwamba sio lazima kugombea mwaka huu atagombea hata 2025.Nani kamnyima haki yake ya kugombea mwaka huu?
Yeyote anayekataa kuhalalisha haki za kikatiba mara moja, na yeyote anayesema kwamba sio lazima kugombea mwaka huu atagombea hata 2025.
NOT THAT MUCH SIMPLE, AMEJENGA NGOME YAKE CCM, IWEJE AENDE KWINGINE..... AMEWEKEZA CCM, KWINGINE ATAPATA KURA ZA KUOKOTEZA KUMUINUA, HE BELIEVES IN HIGHER NUMBER OF VOTES FROM CCM.....WAPINZANI WAKIFANYIWA YA SERIKALI ZA MITAA? KUNA FACTORS NYINGI SANA IN THIS ERA, SHALLOW ANALYSIS OF ISSUES!Exactly!
Just as simple as that!
Sawa nimekuelewa ila nakazia Kama ambavyo magufuli hana haja ya kusubiri 2025 pia membe naye hana haja ya kusubiri 2025, bushiri alitakiwa kuacha mchakato wa kuchuja mgombea ndani ya chama, siyo kusema membe akagombee chama chochote make hata magufuli naye anaweza kwenda kugombea chama chochote!Hakuna aliyemzuia Membe kugombea mwaka huu.
Magufuli hana haja ya kusubiri hadi 2025 maana tayari yeye ndiye rais kwa sasa.
Marais wengi huwa wanagombea tena baada ya kumaliza mihula yao ya kwanza.