Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Becky do you remember my projection towards 2020 October ELECTION?
By the way missing you so much my darling ❤
You have my full support my husband.Missing you too sweetheart. 😍😍😍😍😘😘
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Becky do you remember my projection towards 2020 October ELECTION?
By the way missing you so much my darling ❤
Yaaah nadhani huo ndio USHAURI makini kwa Dr. Membe ili asiue NDOTO YAKE. There are so many AVENUES for him to pursue so as to accomplish HIS DREAM, kwa kweli kuna NINETEEN AVENUES zilizo wazi ambazo hata mimi namshauri azitumie hizo badala ya kusemasema ovyo! Ajue kuwa KINYWA KILIPOZA KICHWA, hili limo hata kwenye Maandiko Matakatifu yote ambayo yanatushauri na kutuasa sana tuchunge VINYWA VYETU, sisi wote ikiwa ni pamoja na Dr. Membe, a Senior Ex - Espionage and Intelligence Officer (kama anavyopenda atambulike).Katibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.
VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
Dr amesema sahihi kabisa. Aende popote halafu ndio alete hizo story
Mnaongelea ule uwanja wa Kurasini unaotumiwa na Polisi na TISS?Exactly!
Just as simple as that!
Waruhusu ugombea binafsi.Katibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.
VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
Uzuri wa home boy anajua nini cha kusema na kile cha kutokusema kufuatia mazigira yaliyopo.Dr amesema sahihi kabisa. Aende popote halafu ndio alete hizo story
Katibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.
VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
Unajuaje Membe anaafikiana kisiasa na chama chochote kilichopo?Exactly!
Just as simple as that!
Unajuaje Membe anaafikiana kisiasa na chama chochote kilichopo?
Aende kuokota chama chochote mradi agombee urais tu?
Kuanzisha chama chake si kitu oractical kwa wakati uliobaki.Well, anaweza kuanzisha chama chake anachoafikiana nacho mia kwa mia kama katika vilivyopo hakuna anachoafikiana nacho.
Siyo lazima awepo CCM. Na ni wazi haafikiani na CCM.
Hilo ni juu yake
Wamruhusu tu. Sina pingamizi na mgombea binafsi.
Lakini pia, anaweza tu kuanzisha chama chake na yeye.
Mbona ma vyama yako mengi tu.
Huyu kweli ni Dr. lakini si wa binadam,Bashiru atuambie kilichsababisha Mangula kupata kiharusi
Kuanzisha chama chake si kitu oractical kwa wakati uliobaki.
Kitu fair ni kuruhusu private candidates.
Haki ya kikatiba.
Kitu ambacho CCM hawataki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani umeambiwa ccm haina mgombea?Kama hamumuogopi kwa nini hamkuruhusu kugombea kupitia chama chenu CCM ?