Uchaguzi 2020 Dr. Bashiru: Kama Membe anasema tatizo ni Urais agombee kwa chama chochote tukutane uwanjani

Uchaguzi 2020 Dr. Bashiru: Kama Membe anasema tatizo ni Urais agombee kwa chama chochote tukutane uwanjani

Member mnampigia debe bure, aibu ccm ilyopata kwa lowassa hawawezi kuruhusu ijirudie , ndiyo sababu wakatunga sheria huwezi kugombea urais kama huna miaka milwili kwenye chama hicho. Member hana miaka miwili hadi tarehe ya uchaguzi pale ACT siku ya uchaguzi. Sheria nyingine huwezi kugombea urais kama hujaishi miaka miwili mfululizo hapa nchini hadi siku ya uchaguzi. Hiyo sheria ni kumzuia Tundu Lissu . Leteni majina mengine ya wagombea yajadiliwe ,hao wawili sifa zimetungwa kuwazhuia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sheria imepitishwa na bunge lipi na lini?
Hizi zimekaa Kama story Za vijiweni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.

VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
Mkuu wa tume ya uchaguzi, wakurugenzi wa halmashauri, IGP, polisi, kwa madudu mliyofanya uchaguzi wa mitaa,!
Yote hayo huyu Bashiru anajifanya hamnazo! Membe anamaanisha uraisi kupitia CCM, sio upinzani!
Mnachomfanyia Mbowe, Membe si mtamtwanga risasi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani umeambiwa ccm haina mgombea?
Au unafikiri kila mtu anaweza kuwa mgombea ccm?
Unapoitaja ccm kumbuka;
Ccm ni dola
Ni jeshi
Ni usalama
Ni pesa
Ni wananchi watabzania wanaojielewa!
Usilinganishe ccm na sacoss ya Mbowe

Kumbe ccm sio chama cha siasa? Sasa hiyo ya kujifanya kuwa ni chama cha siasa na mnapendwa huwa mnaitoa wapi?
 
Membe anaweza akagombea mwaka huu kama shida yake ni kugombea tu urais.

Hakuna aliyemkataza kabisa kuwa asigombee mwaka huu.

Na kusema siyo lazima agombee mwaka huu si kumkataza asigombee. Ni kusema ukweli tu.

Au ni lazima agombee mwaka huu?

Lazima agombee mwaka huu maana rais aliyepo ni dhaifu na anaichafua nchi kitaifa na kimataifa. Hivyo muda muafaka kwake ni kugombea sasa dhidi ya kiongozi asiyeweza ushindani.
 
Lazima agombee mwaka huu maana rais aliyepo ni dhaifu na anaichafua nchi kitaifa na kimataifa. Hivyo muda muafaka kwake ni kugombea sasa dhidi ya kiongozi asiyeweza ushindani.
Huyu wa sasa hata akikutanishwa Leo na Dovutwa katika fair ground haki ya nani anagalagazwa!
Uadui kaujenga mwenyewe kwa wapiga kura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe.

VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
Mhh waziri mkuu yupo mkoani Tanga, kuna watu wanakero ya makao makuu ya wilaya ya Handeni mji kupelekwa Mkata badala ya Kabuku, inafaawa sana wapiga kura, wahusika mwelezeni ukweli muh PM, kuna ukweli unafichwa, na wananchi wanazika kutoa kero zao.
 
Lakini tuseme ukweli, Dr Bashiru anajibu maswali vizuri. Simaanishi kwamba majibu ni sahihi,namaanisha tu kwamba anajibu kwa ufasaha.
 
Member mnampigia debe bure, aibu ccm ilyopata kwa lowassa hawawezi kuruhusu ijirudie , ndiyo sababu wakatunga sheria huwezi kugombea urais kama huna miaka milwili kwenye chama hicho. Member hana miaka miwili hadi tarehe ya uchaguzi pale ACT siku ya uchaguzi. Sheria nyingine huwezi kugombea urais kama hujaishi miaka miwili mfululizo hapa nchini hadi siku ya uchaguzi. Hiyo sheria ni kumzuia Tundu Lissu . Leteni majina mengine ya wagombea yajadiliwe ,hao wawili sifa zimetungwa kuwazhuia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kukataza wagombea binafsi ni kuwanyima watu haki yao ya kikatiba ya kugombea uongozi.

Hili alikisema Mwalimu Nyerere.

Hili alilisema Jaji Francis Nyalali.

Hili nimelisema sana hapa.

Ila CCM na serikali ya sasa hawakubali, kwa sababu zao za kisiasa.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Member mnampigia debe bure, aibu ccm ilyopata kwa lowassa hawawezi kuruhusu ijirudie , ndiyo sababu wakatunga sheria huwezi kugombea urais kama huna miaka milwili kwenye chama hicho. Member hana miaka miwili hadi tarehe ya uchaguzi pale ACT siku ya uchaguzi. Sheria nyingine huwezi kugombea urais kama hujaishi miaka miwili mfululizo hapa nchini hadi siku ya uchaguzi. Hiyo sheria ni kumzuia Tundu Lissu . Leteni majina mengine ya wagombea yajadiliwe ,hao wawili sifa zimetungwa kuwazhuia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria za aibu in cursed country with their cursed citizens like you!
 
Back
Top Bottom