si lazima CCM popote pale sababu mnamkubali kama ''jasusi na mwanadiplomasia nguli'' mumpe kura za kutosha
Kabisa.
Si lazima agombee kupitia CCM.
Kwanza keshawahi kugombea kupitia CCM na akashindwa.
Aende TADEA akagombee huko kama kweli nia yake ni kugombea urais na si ajenda zingine.
Sasa kuondoa hayo manung'uniko si hiyo tradition yao si waiweke kwenye katiba ya chamaTraditionally wanamwachiaga incumbent second term, Membe alitaka Kula ubwabwa bila kunawa mikono.. nadhani sio Sawa na ni kukosa heshima na kujiona Bora zaidi...
Ugonjwa wa mangula unahusiana nini na story hii?Bashiru atuambie kilichsababisha Mangula kupata kiharusi
Na magu akimaliza muda wake kijiti anamwachia Paul itapendeza sanaKabisa.
Si lazima agombee kupitia CCM.
Kwanza keshawahi kugombea kupitia CCM na akashindwa.
Aende TADEA akagombee huko kama kweli nia yake ni kugombea urais na si ajenda zingine.
Mchezaji namba 9 hataki kuguswa uwanjaniYeyote anayekataa kuhalalisha haki za kikatiba mara moja, na yeyote anayesema kwamba sio lazima kugombea mwaka huu atagombea hata 2025.
Na Rais ajaye ni paulOkay, wameshamtimua sasa. Wewe na yeye mtafanya nini zaidi ya kunung’unika mitandaoni?
Hamjakatazwa na mtu kugombea huo urais.
Nendeni kwingine mkagombee au anzisheni chama chenu halafu mgombee.
Msing’ang’anie ambako hamtakiwi.
Ila, lengo lenu sidhani kama ni kugombea urais.
Lengo lenu ni kuleta vurugu tu ndani ya chama.
SASA MAMBO YA AFYA YA MTU YANA HUSU NINI HAPABashiru atuambie kilichsababisha Mangula kupata kiharusi
Hujui kitu wewe , Tulia !SASA MAMBO YA AFYA YA MTU YANA HUSU NINI HAPA
Bashiru atuambie kilichsababisha Mangula kupata kiharusi
Kama hamumuogopi kwa nini hamkuruhusu kugombea kupitia chama chenu CCM ?
We nawe Kwani membe muislamu mkuu ?Ufipa walimtukana Membe kwa kutaka kuibadilisha Tanzania kuwa Nchi ya kiislam leo wanamuabudu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama naona bendera upande wa kulia!!ni ya nchi gani?
Nimekuuliza tofauti ya Independent Candidate na Private Candidate, hujanijibu.
Tunaomba source tujifunze.
Mahakama ikiamua kwamba shirika ni mtu, katika muktadha wa sheria, hilo halimaanishi kwamba shirika ni mtu,