Unajinadi kutetea haki, kusema kweli, CCM mpya na mapambio mengi tu kutoka kwenye kinywa chako na kwako kwa ujumla! Nimekusikiliza sana!
Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean!
Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya kila mwana CCM!
Yale yale ya mfalme amevaa nguo nzuri, kumbe yuko uchi wa mnyama! Na Mfalme anajua fika kuwa yuko uchi lakini kwa vile wanafiki wanamsifia, anakubali kutembea uchi mbele ya kadamnasi!
Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean!
Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya kila mwana CCM!
Yale yale ya mfalme amevaa nguo nzuri, kumbe yuko uchi wa mnyama! Na Mfalme anajua fika kuwa yuko uchi lakini kwa vile wanafiki wanamsifia, anakubali kutembea uchi mbele ya kadamnasi!