Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unategemea Bashiru azungumze nini? Wakati maelekezo take ndo yamefikisha suala hili hapa?Unajinadi kutetea haki, kusema kweli, CCM mpya na mapambio mengi tu kutoka kwenye kinywa chako na kwako kwa ujumla! Nimekusikiliza sana!
Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean!
Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya kila mwana CCM!
Yale yale ya mfalme amevaa nguo nzuri, kumbe yuko uchi wa mnyama! Na Mfalme anajua fika kuwa yuko uchi lakini kwa vile wanafiki wanamsifia, anakubali kutembea uchi mbele ya kadamnasi!
Retired, mkuu unataka aseme nini maana yeye wagombea wake wamepitishwa na CCM si msimamizi wa uchaguziUnajinadi kutetea haki, kusema kweli, CCM mpya na mapambio mengi tu kutoka kwenye kinywa chako na kwako kwa ujumla! Nimekusikiliza sana!
Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean!
Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya kila mwana CCM!
Yale yale ya mfalme amevaa nguo nzuri, kumbe yuko uchi wa mnyama! Na Mfalme anajua fika kuwa yuko uchi lakini kwa vile wanafiki wanamsifia, anakubali kutembea uchi mbele ya kadamnasi!
Unajinadi kutetea haki, kusema kweli, CCM mpya na mapambio mengi tu kutoka kwenye kinywa chako na kwako kwa ujumla! Nimekusikiliza sana!
Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean!
Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya kila mwana CCM!
Yale yale ya mfalme amevaa nguo nzuri, kumbe yuko uchi wa mnyama! Na Mfalme anajua fika kuwa yuko uchi lakini kwa vile wanafiki wanamsifia, anakubali kutembea uchi mbele ya kadamnasi!
Mzinduzi haelewi ye anaona yupo Sawa kwa kila kituHivi kwa yale majuto ya mwandishi wa kitabu kilichozinduliwa jana kwa ukatili na unyama aliofuanya enzi za utawala wake, je, mzinduzi wa kitabu anajifunza nini?
Umeona eh! Kimya kabisa kama vile kila kitu ni shwari!Hata huyu ni mchumia tumbo tu,
Umempa za USO vzr, katiba, sheria, zinasiginwa, ameuchuna tu! alikuwa wa kwanza kumsulubu Kinana, sasa HV kimya!
Hana guts hata za kutaja jina Lisu
Huyo ndiye Jiwe, hata waliokuwa wnazindia vitabu jana hakuna wa kumnongoneza kuwa mwenzetu huku tusiende, mradi wanakwenda chooni, basi yao yameisha!Hakuna mwanaccm mwenye guts za kumpinga Jiwe.......
Hakika safari hii tumepatikana kwa kumkabidhi madaraka ya juu kabisa mtu huyu asiyetaka kushauriwa, wala kukosolewa uongozi wake.......
Amejipa hadhi ya ki-mungu kuwa yuko perfect kwa 100% kwa kila atendalo, jambo ambalo anafanya kufuru kubwa sana kwa Mungu, ambaye ndiye anayeandikwa kwenye vitabu vyote vya dini kuwa ndiye pekee yuko 100% perfect.
Damu itakapoanza kumwagika, ndipo tutakapowaona hao kina Dkt Bashiru, wapi watakimbilia kutafuta ukimbizi
Mpaka uwe na akili ndio ujifunze! wewe unamuonaje mzinduzi>Hivi kwa yale majuto ya mwandishi wa kitabu kilichozinduliwa jana kwa ukatili na unyama aliofuanya enzi za utawala wake, je, mzinduzi wa kitabu anajifunza nini?
wanajua fika bila wizi hawawezi kushinda!Kwa nini CCM huwa inaogopa sana sanduku la kura?
na ndiyo maana napingana na wakatoliki eti kumpa Utakatifu Nyerere. Why nasema hivyo? A government is an instrument of oppression, the state is an organ of class rule, an organ for the oppression of one class by another and Nyerere was a head of such an Instrument/organ. How come that he is contesting to be anointed a Saint? A great contradiction!Ukiwa mtu mcha Mungu kabisa kabisa na tu mwaminifu hii kazi ya ukatibu mkuu wa CCM ni ngumu mno.
You are not seriousakemee maovu ndani ya jamii yetu hasa ndani ya serikali na CCM
why not?akemee maovu ndani ya jamii yetu hasa ndani ya serikali na CCM
Kwa upande mmoja tunaweza kumlaumu Bashiru Ally kwa kuwa yeye ndiye Mtendaji Mkuu wa CCM. Lakini kile kilichofanyika siyo akili ya Bashiru wala siyo mikakati yake. Huu mkakati uliofeli wa kuwatumia watendaji wa Mitaa na vitongoji kuhujumu upinzani ni la BASHITE tu.Unajinadi kutetea haki, kusema kweli, CCM mpya na mapambio mengi tu kutoka kwenye kinywa chako na kwako kwa ujumla! Nimekusikiliza sana!
Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean!
Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya kila mwana CCM!
Yale yale ya mfalme amevaa nguo nzuri, kumbe yuko uchi wa mnyama! Na Mfalme anajua fika kuwa yuko uchi lakini kwa vile wanafiki wanamsifia, anakubali kutembea uchi mbele ya kadamnasi!