Hakuna mwanaccm mwenye guts za kumpinga Jiwe.......Unajinadi kutetea haki, kusema kweli, CCM mpya na mapambio mengi tu kutoka kwenye kinywa chako na kwako kwa ujumla! Nimekusikiliza sana! Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean!
Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya kila mwana CCM!
Yale yale ya mfalme amevaa nguo nzuri, kumbe yuko uchi wa mnyama! Na Mfalme anajua fika kuwa yuko uchi lakini kwa vile wanafiki wanamsifia, anakubali kutembea uchi mbele ya kadamnasi!
Unataka aseme nini? Umekosa la kushadidia acha aendelee na masuala ya chama chake na nyie endelea na siasa zenu za mitandaoni ambazo hazina impact kwa wananchi
Ishu iko hiviNakukumbusha tu Bashiru alikua ana akili kabla hajateuliwa kuwa katibu!alipoteuliwa tu zikaanza kutoka na kuingia ..!sasa hv atamkuta kibajaji kwa kuwaza na kufikiri!
Huwezi kuwa mwanaccm kama si mnafiki , Bashiru hamna kitu .Unajinadi kutetea haki, kusema kweli, CCM mpya na mapambio mengi tu kutoka kwenye kinywa chako na kwako kwa ujumla! Nimekusikiliza sana!
Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean!
Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya kila mwana CCM!
Yale yale ya mfalme amevaa nguo nzuri, kumbe yuko uchi wa mnyama! Na Mfalme anajua fika kuwa yuko uchi lakini kwa vile wanafiki wanamsifia, anakubali kutembea uchi mbele ya kadamnasi!
Labda atakuwa anasubiri Jafo awajibishwe kwanza.Unajinadi kutetea haki, kusema kweli, CCM mpya na mapambio mengi tu kutoka kwenye kinywa chako na kwako kwa ujumla! Nimekusikiliza sana!
Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean!
Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya kila mwana CCM!
Yale yale ya mfalme amevaa nguo nzuri, kumbe yuko uchi wa mnyama! Na Mfalme anajua fika kuwa yuko uchi lakini kwa vile wanafiki wanamsifia, anakubali kutembea uchi mbele ya kadamnasi!
Namshangaa sana huyu Dr. Amegeuka rasmi kuwa beberu mkubwa na ulaghai mkubwa. Miaka yote yupo hapa UDSM amefundisha na kuhubiri kuwa demokrasia inataka wenye mamlaka kuwaachia wananchi uhuru wa kuamua ni nani wa kuwaongoza. Lakini sasa anajigamba kwamba ameseti mitambo ya ushindi kwa chama chake kumbe ndio hivi! Amewaagiza wasimamizi wa uchaguzi kufunya uhuni huu mchana kweupe! Dr. unatuaibisha sana!Unajinadi kutetea haki, kusema kweli, CCM mpya na mapambio mengi tu kutoka kwenye kinywa chako na kwako kwa ujumla! Nimekusikiliza sana!
Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean!
Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya kila mwana CCM!
Yale yale ya mfalme amevaa nguo nzuri, kumbe yuko uchi wa mnyama! Na Mfalme anajua fika kuwa yuko uchi lakini kwa vile wanafiki wanamsifia, anakubali kutembea uchi mbele ya kadamnasi!