Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
what were there goals wakati wanatumika ?Sio Serikali yenyewe, walitumiwa tu na kazi yao iliisha
Bongo mavi tulieni, tena kaeni kimya kabisaaaaaaa.
Mlishachagua maslahi yenu Oct, 25--2015
Umemaliza kila kitu mkuu, sioni umuhimu wa filamu za hawa watu wanajiita bongo muviNionavyo filamu zao soko lao kubwa ni kwa beki tatu na kina mama wa nyumbani. Kama unajitambua huwezi kununua hizo kitu.
Duh aisee..!MTU yeyote ambae yupo kwenye upande Wa kuathiri ustawi Wa maisha yangu kiuchumi, kijamii, kiutamadun n.k huyo hana Nafasi kwangu....
CCM siipendi japo sina chama chochote... Bongo movie kujiambatanisha na CCM kulinifanya nivunje CDs zote za filamu zao.... Siwezi kuumiza kichwa kusoma changamoto zao ni watu wasiojielewa kabisa....
[HASHTAG]#PingaBongoMovie[/HASHTAG] Movement
Hebu tuache mboyoyo...kuna uhusiano gani kati ya kudorora soko na kushiriki kampeni za chama?Kwani sio nyinyi hao? Mmeshatumika mmetupwa mnamlilia nani sasa?
Mama sema na mwana
Nyie ndio wale ambao mkimkuta mtu taabani anakufa kwa kiu..kabla ya kumsaidia mngemuuliza kwanza 'wewe ni ea dini gani?' ili kama afuati dini unayoiamini wewe unamuacha afe.Bongo muvi tulieni, tena kaeni kimya kabisaaaaaaa.
Mlishachagua maslahi yenu Oct, 25--2015