Dr. Cheni aeleza sababu za kutojihusisha tena na filamu nchini

YAANI WATU WOTE WANGENISIKILIZA TUNGEANZA KAMPENI YA MAKUSUDI YA KUWAANGAMIZA WASANII WOTE WALIOCHAGUA CCM KWA KUSUSIA KILA WANACHOFANYA. NDIYO MAANA NDOMO SIMPENDI KABISA INGAWA ANATOKA KASULU KWETU.
Ndomo mpende tu yeye pale alikua anafanya bashara ndio maana hukumona akizunguka sijui mama ongea namwao..yeye alipiga show akasepa zake
 
wasanii wa bongo movie wana organization yao inaitwa Tollywood ina kaz gani? Me kwa mtazamo wang ni wao kutokua organized ndo maana movie zna zagaa mtaani wakae chini wajipange wa angalie mfumo sahihi wa kusambaza kaz zao
Wanaibiana chupi ndio maana tollywood chaliii
 
Umenena vyema
 
Bongo muvi tulieni, tena kaeni kimya kabisaaaaaaa.

Mlishachagua maslahi yenu Oct, 25--2015
Safi sana....watulieeeee kama wanachinjwa

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tumia akili angalau kidogo basii!!!!
Serikali iliyoko madarakani haipendwi.
Koment zinatoa mwanga huo.
 
Ndo tuseme basi hutotoa filamu tena maana hadi serikali ije iweke mambo sawa sio leo wala kesho
 
Alianza diamond kulia lia kuhusu kukamuliwa kodi kubwa sasa naona mziki umehamia kwenu
 
foaming
 
foaming
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…