DR Congo hali ilikuwa tete sana, tangu mimi nizaliwe sijawahi kuona matendo kama yale ambayo tulikuwa tunafanyiwa sisi

DR Congo hali ilikuwa tete sana, tangu mimi nizaliwe sijawahi kuona matendo kama yale ambayo tulikuwa tunafanyiwa sisi

Kinachowaua ni maliasili zao. Wavamizi wakiwatumia ngozi nyeusi wenzao. Mungu wanusuru.
 
😂Sasa uwezo wa kufikiri imekujaje mkuu, ifahamike baada ya mother language lugha ya pili kwa nchi nyingi ni kiingereza ndo mana sijasema kifaransa
Kwanza kwa Taarifa yako hicho kiswahili Cha Kongo ndio kiswahili halisi ambacho ni kibantu. Sisi tunachoongea kipo contaminated na kiarabu. Alivyoleta biashara ya utumwa na dini yake ,wale wapambe wake ambao walikuwa ni waswahili wakawa wanamwiga bwana mkubwa huyo anavyoongea ili wasipate kipondo au kujipendekeza waonekane wapo karibu na wanyonyaji hao. Kwa hiyo usijisiifu kuwa unajua kiswahili kumbe unachoongea sii kiswahili Bali makombo ya bwana madevu
 
Pu
Kwanza kwa Taarifa yako hicho kiswahili Cha Kongo ndio kiswahili halisi ambacho ni kibantu. Sisi tunachoongea kipo contaminated na kiarabu. Alivyoleta biashara ya utumwa na dini yake ,wale wapambe wake ambao walikuwa ni waswahili wakawa wanamwiga bwana mkubwa huyo anavyoongea ili wasipate kipondo au kujipendekeza waonekane wapo karibu na wanyonyaji hao. Kwa hiyo usijisiifu kuwa unajua kiswahili kumbe unachoongea sii kiswahili Bali makombo ya bwana madevu
Punguza makasiriko ni nani aliyejisifia anajua kiswahili? Kwahiyo tuache kurekebisha palipo na makosa? Umewaka sana mkuu pasipo sababu
 
Pu

Punguza makasiriko ni nani aliyejisifia anajua kiswahili? Kwahiyo tuache kurekebisha palipo na makosa? Umewaka sana mkuu pasipo sababu
Hiyo base ya makosa unaipatia wapi wakatiu evolution ya kiswahili chao ni tofauti na chetu? Mwingereza atamkosoa mmarekani kuwa anakosea kiingereza wakati kila mmoja ana taasisi yake ya kuendeleza lugha kulingana na alivyoirithi tofauti na mwenzake?Je! kati ya nchi ambazo zina asili ya kiswahili kama Tanzania, komoro, somalia, Kenya na Kongo kuna taasisi moja inayoshughulikia kukua kwa lugha au kila nchi inayo ya kwake kulingana na aina ya kiswahili inayoongea?
 
Ahsante mkuu kumbe hizi case ni watu wawili tofauti mleta thread ameleta kama ni yeye pekee kwa case mbili hizo

All in all poleni sana Majirani zetu
Mleta Threat mbona ametenganisha vizuri, mtu wa kwanza na mtu wa pili au huoni namba
 
simple logic
hivi inamaana hao waasi wameshindwa kudhibitiwa kabisa na majeshi yote,inamaana ni wajanja au wana special weapons kushinda majeshi yote ambayo yamejaribu kurejesha amani huko Congo,, KDF,MUNOSCO,Jeshi la Congo etc

poleni sana ndugu wakongo,karibuni sana bongo nchi ya wajuaji na matajiri wa mchongo,,huku hata sijui mtakula nini maana kwetu Ugali ni laana hata bodaboda siku hizi wanajifichaficha maana na wenyewe kazi yao ni laana,karibuni bongo
Unapopigana na mtu anaejificha na kuvizia, hata wakiwa wawili tu, jeshi la DRC hata liwe na wanajeshi milioni 10, mnaweza msiwadhibiti, na wako wawili tu..
 
Hii vita ina watu wako nyuma yao inaratibiwa isikome ili waendelee kufaidika juu ya vita hivi, sio kwamba msaada wa kijeshi unaotolewa na chi zoote hizo pamoja sjui na kina MONUSCO wameshindwa kuwakomesha M23
 
Kwanza kwa Taarifa yako hicho kiswahili Cha Kongo ndio kiswahili halisi ambacho ni kibantu. Sisi tunachoongea kipo contaminated na kiarabu. Alivyoleta biashara ya utumwa na dini yake ,wale wapambe wake ambao walikuwa ni waswahili wakawa wanamwiga bwana mkubwa huyo anavyoongea ili wasipate kipondo au kujipendekeza waonekane wapo karibu na wanyonyaji hao. Kwa hiyo usijisiifu kuwa unajua kiswahili kumbe unachoongea sii kiswahili Bali makombo ya bwana madevu
Umejitahidi lakini unapaswa urejee ktk mchakato wa lahaja na usanifishajwi wa lugha ya kiswahili na fikiri utapata kitu kipya na mtazamo mpya , japo sina elimu lakini nakupa na hili la mwisho , kila lugha la zima ikope ( iazime ) maneno kutoka lugha nyimgine na hii ni kwa lugha zote dunia , hakuna lugha iliyojikamilisha hata kiarabu kina maneno ya kiingereza , kiingereza ina maneno ya kifaransa , ki hindi kina maeno ya kiarabu, nk. na tengua kauli ya kiswahili halisi , binafsi napenda lahaja za wandigo , wa mombasa , lamu , na kiswahili ina maneno mengine wengi hatuyajui . Pindi bureee
 
Poleni.

Lakini hawa Wakongo wanaokimbilia TZ ni wakimbizi wa mchongo kutokea ng'ambo ya ziwa Tanganyika. Makundi ya waasi yapo Kivu. Kama kweli wanatokea huko, kwa nini wasikimbilie Uganda, S.Sudan, Rwanda, Burundi ambapo ni karibu, au kubaki DRC maeneo yasiyo na vita.

Matazamio yenu ni kufaidi vya UNHCR au kwenda nchi ya tatu. Kwa taarifa yenu EU akili yao kwa sasa ni Ukraine. Na wakimbizi wamejaa Ulaya hadi wanawakinai.

Samahani, ni mtazamo tu
 
Back
Top Bottom