kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Baada ya Rais Felix kuingia madarakani Wakongo tumejua mengi saana kuhusu nchi yetu, mwanzo tulikuwa tunafikiri labda Congo ni nchi dhaifu saana tena saana ndo maana nchi kama Rwanda na Uganda walikuwa wanatusumbua.
Kumbe walikuwa wapumbavu wadogo ndani ya jeshi letu ambao walikuwa wanatoa mipango yetu kwa madui wakisaidiwa na monusco.
Rais Felix alifanya mageuzi ndani ya Jeshi na kufukuza vibaraka wote wa Kagame pamoja na Museveni
Sasa hivi moto unawaka Congo tunaemtafuta ni Kageme tu ndo maana tunafanya kila liwezekanalo uhusiano wa kidiplosia na Rwanda ufe.
DRc is one of the powerful country in Africa
We come back in our kingdom like 1960- 1996
Kumbe walikuwa wapumbavu wadogo ndani ya jeshi letu ambao walikuwa wanatoa mipango yetu kwa madui wakisaidiwa na monusco.
Rais Felix alifanya mageuzi ndani ya Jeshi na kufukuza vibaraka wote wa Kagame pamoja na Museveni
Sasa hivi moto unawaka Congo tunaemtafuta ni Kageme tu ndo maana tunafanya kila liwezekanalo uhusiano wa kidiplosia na Rwanda ufe.
DRc is one of the powerful country in Africa
We come back in our kingdom like 1960- 1996