DR Congo akili zimewarudia wameshaanza kumjua mchawi wao
Na wao wangetengeneza kakikundi cha kwenda RwandaMbona walikua wanamjua kitambo
Na wao wangetengeneza kakikundi cha kwenda Rwanda
Rwanda is overrated. Hilo biti alilochimba labda amchimbe ndugu yake Burundi Ila siyo TanzaniaRwanda huwa simuelewi kwenye haya majukum yake.
Yupo msumbiji akipigana kwa niaba ya ufaransa,maana marekani na uingereza wamempelekea wanamgambo asichimbe futa Cabo Delgado...dizaini ziara ya maza ufaransa miongoni mwake ilikua tz kuombwa kuungana na rwanda kule msumbijiSikilizia now Rwanda yuko msumbiji jamaa anatabia ya kutengeneza waasi ambao wako well trained hivo intelligence yetu ikae makini sana upande wa mtwara na msumbiji maana tunaweza kuachiwa msala ambao hatutousahau na silaha zikawa zinapelekwa kwa walinda amani wa rwanda huku nyingine wanapewa waasi watusulubu
Hata mi naona kama akili zimeanza kuwarudia kwa hatua hii walio chukuaDR Congo akili zimewarudia wameshaanza kumjua mchawi wao
Wiki 2 zilizopita Kagame alituma ujumbe maalumu kupitia waziri wake wa mambo ya nje ikulu ya magogoni kukutana na Rais Samia nadhani agenda mojawapo ilikua ni hilo suala la M23.Wanaijua Tz hao M23,
Unakumbuka kipindi kile MONUSCO Walipojumuisha jeshi la JWTZ,Kikundi kilipotezana..
Wanamtest Mama,soon atajumuisha,Maana mama na jk lao moja,pk akae mkao mzuri,JWEE Si wa mchezomchezi...
Hahah Congo walijitoa ufahamu wakarusha makombora mawili ndani ya mipaka ya Rwanda,nao wakarudishiwa makombora 20 ndani ya Goma halafu wakasema hawajui makombora yalikotokea.Hata mi naona kama akili zimeanza kuwarudia kwa hatua hii walio chukua
Kagame alituma ujumbe wake kuja kumkaribisha mama huko Kigali kwny CHOGM,na Waziri huyo wa mambo ya Nje ameenda pia Nchi nyingine kukaribisha marais wa nchi hizo.Wiki 2 zilizopita Kagame alituma ujumbe maalumu kupitia waziri wake wa mambo ya nje ikulu ya magogoni kukutana na Rais Samia nadhani agenda mojawapo ilikua ni hilo suala la M23.
Kwann Rwanda wamefanya utoto namna hiyo..Foristance makombora hayo wangehis yametoka tanzania au Kenya je wangepiga hiyo mikombora 20 kuja bongo pasi na kujaribu kujua whats wrong??Hahah Congo walijitoa ufahamu wakarusha makombora mawili ndani ya mipaka ya Rwanda,nao wakarudishiwa makombora 20 ndani ya Goma halafu wakasema hawajui makombora yalikotokea.
Imebidi haraka haraka Congo itume kamati ya mambo Yao ya usalama kwenda Kigali kujadili Nini kilichotokea.Afu Muda huo PK Wala hayuko Rwanda Yuko huko Davis kwny mkutano na wenye dunia yao(World Economic Forum).