Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeishutumu Rwanda kwa kukisaidia Kikundi cha M23 baada ya Jeshi la DR Congo kushambuliana na kikundi hicho katika mashambulizi makali Mashariki mwa Taifa hilo yaliyotokea Mei 26, 2022.
Mashambulizi hayo yaliyotokea Kaskazini mwa Mji wa Kivu karibu na mpakani. Rwanda imekanusha tuhuma hizo ikiwa pia siyo mara yao ya kwanza kushutumiwa na kisha kukanisha kuhusika.
"Waasi wa M23 wanaungwa mkono na kupata msaada kutoka Rwanda," anasema Msemaji wa Serikali ya DRC, Patrick Muyaya.
Pia soma: Mapambano makali kati ya jeshi la DRC dhidi ya kundi la M23 yaanza tena
Chanzo: Daily Monitor
Mashambulizi hayo yaliyotokea Kaskazini mwa Mji wa Kivu karibu na mpakani. Rwanda imekanusha tuhuma hizo ikiwa pia siyo mara yao ya kwanza kushutumiwa na kisha kukanisha kuhusika.
"Waasi wa M23 wanaungwa mkono na kupata msaada kutoka Rwanda," anasema Msemaji wa Serikali ya DRC, Patrick Muyaya.
Pia soma: Mapambano makali kati ya jeshi la DRC dhidi ya kundi la M23 yaanza tena
Chanzo: Daily Monitor