Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hupenda kusahau haraka sana, sijui kwa nini. Mtu huyo huyo alikuwa kioja; mara hii wanampa maua na kusahau yote ya nyuma!Ameongea kwa hisia sana na ni msanii pia
Nimeangalia clip hiyo halafu nikakumbuka enzi za covid
Ungeshaa??? Tayari wewe ni mwingine. Hadi wachaga siku hizi?Ningeshaa mno kama usingekuja kwenye huu uzi!
Huyu comedian. Enzi za Nyerere huyu Leo angekuwa kashakula kalamu nyekundu. Nchi haiwezi kutoboa kwa masihala ya ivi . Never neverKweli uchawi upo. CCM hawaaminiki kabisa. Huyu Wazir juzi juz hapa tumetoka mpa maua yake. Haujapita mwezi amefanya kituko Bungeni.
Hapa ukiuliza shida nini huwezi elewa. Alikuwa amelewa? Alikuwa anafanya masikhara? Mbona haeleweki?
View attachment 2994477
Kweli uchawi upo. CCM hawaaminiki kabisa. Huyu Wazir juzi juz hapa tumetoka mpa maua yake. Haujapita mwezi amefanya kituko Bungeni.
Hapa ukiuliza shida nini huwezi elewa. Alikuwa amelewa? Alikuwa anafanya masikhara? Mbona haeleweki?
View attachment 2994477
Huyu kasoma mwenge secondary. Hii shule zamani ilikuwa inafundisha Sana sanaa na michezo. Hivyo hapo anafokisha ujumbe kwa njia ambayo ni ya kisanii na kulichangamsha bunge na kuwaamsha waliolala
Ana tatizo?Huyo Manula hayupo golini kitambo tu, haha
Kuna ujumbe alikuwa anaufikishaHuyo mama hana shida ya kiakili ila alikuwa akiongea na kuleta comedy isiyochekesha ktk mazingira ambayo watu wako serious. Ndio maana waliokuwa wakimsikiliza wakawa wanamshangaa anavyofanya vibweka vyake bila sababu ya msingi. Pia muuliza swali alipotakiwa kuuliza swali la nyongeza akaona asiulize chochote zaiei maana majibu ya Waziri yamekaa kimasihara.
😂😂😂😂😂 wizo unatumia kitu gani kabla ya kujoin JF na kureply comments.??!!!Hawa wabunge kumbe wengi wao ni wapumbavu sana.
Kwamba wanataka Gwajima azibe mikundu ya watu au afanye nini?
Kupambana na ushoga ni jambo lisilowezekana kwa sababu ni jambo la siri na la faragha mno.
Hakuna namna unaweza kumzuia mtu kufirwa. Akitaka anafirwa na hakuna kitu venye utafanya.
Tuwalinde watoto dhidi ya ulawiti, lakini tusiingilie vijambio vya watu wazima.
Sitaki mtu aje aniambie ati usizagamuliwe kijambio! Kivipi? Under which law? If there is such law, is it CONSTITUTIONALLY JUSTIFIABLE? Au ni masheria ya kijinga jinga tu!
Kijambio ni changu mwenyewe hata nikitaka kukijaza mchanga sitarajii kuona waziri yoyote ananiuliza swali.
Nadhani tunaelewana.
Cc Lamomy Poor Brain dronedrake
Safari Lager 😂😂😹🥱🥱🥱😂😂😂😂😂 wizo unatumia kitu gani kabla ya kujoin JF na kureply comments.??!!!
Nakuagizia kreti zima nataka unichambie Kantry kanipa talaka 😂😂😂Safari Lager 😂😂😹🥱🥱🥱
Sangapi sasa wizo akee ujue leo niko bize kwenye majukumu ya kiserikali 🥱🥱🥱Nakuagizia kreti zima nataka unichambie Kantry kanipa talaka 😂😂😂