Dr. Dorothy Gwajima na makeke kama Kangi Lugola

Dr. Dorothy Gwajima na makeke kama Kangi Lugola

Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.

Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.

Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya TZ kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.

Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa

Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa🤧
Inawezekana ikawa kweli maana jamaa yule hataki azidiwe umaarufu
 
Hivi wakati Ummy anaambiwa afiche takwimu za Corona ulikuwa wapi ? unafahamu kilichomkumba Ndugulile ? hivi kuna anayeweza kufanya kwa weledi na akadumu kwenye awamu hii ?
Ummy Mwalimu served her purpose hayupo tena wizara ya afya huko halipo binafsi sioni ata sababu ya kumuongolea tena.

Isitoshe COVID was special case boss alikuwa na mtazamo wake ata angekuwa Gwajima kubaki kwenye kazi she would had to toe with the boss viewpoint.

Mwisho wa siku mtazamo wa boss ulikuwa sahihi only god knows how was that possible, it’s beyond science.
 
Ummy Mwalimu served her purpose hayupo tena wizara ya huko halipo binafsi sioni ata sababu ya kumuongolea tena.

Isitoshe COVID was special case boss alikuwa na mtazamo wake ata angekuwa Gwajima kubaki kwenye kazi she would have to be in toe with the boss viewpoint, anyway mwisho wa siku mtazamo wa boss ulikuwa sahihi only god knows how so.
Nape alipofuata utaratibu na akatumbuliwa baada ya Makonda kuvamia Clouds ilikuwa Corona ? kutetea watu hawa unapaswa kwanza kuwa mwehu , endelea na imani yako , bali utambue kwamba Watanzania siyo Wajinga
 
Nape alipofuata utaratibu na akatumbuliwa baada ya Makonda kuvamia Clouds ilikuwa Corona ? kutetea watu hawa unapaswa kwanza kuwa mwehu , endelea na imani yako , bali utambue kwamba Watanzania siyo Wajinga
Haya wewe peke yako ndio mwenye akili za kuweza kumtetea mtu kama Lissu ambae ni kituko mbele ya dunia na watanzania walio wengi, isipokuwa kwako.
 
Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.

Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/ makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.

Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya Tanzania kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.

Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa

Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa[emoji1784]
Hii mbaula itafeli mapema sana
 
Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.

Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/ makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.

Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya Tanzania kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.

Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa

Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa🤧
Umemfuatilia huyo mamam? au unakurupuka tuu ina maana raisi hayupo sahihi na jopo lake la vetting.Huyo mama anapiga sana kazi na hapo alikuwa naibu tuu katibu mkuu.Acheni majungu bwana.
 
To be honest, huyu mama sikumjua ila Wenda wazara imepata KWA mbali,NAONA pamoja na misimamo yake angalau, anaonekana kujua anachokifanya, may be tusubili kidogo
Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.

Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/ makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.

Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya Tanzania kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.

Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa

Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa🤧
 
Mimi namuelewa sana huyu mama ni hivi imagine kila wizara inakitengo cha habari.

Unakuta waziri au katibu mkuu anadhurura na afisa habari anakutana na madudu ya kila aina huko, wana record matukio wakifika ofisini hawana muda wa kupeleka hizo habari kwenye mainstream media kama vile TBC, Azam, EATV, ITV ili ujumbe ufike kwa wengi (internal and external audience).

Ukiona video zake nyingi huyu mama wakati naibu katibu mkuu ni via less popular YouTube channels ndio maana wengi tulikuwa atumjui prior to her appointment, inaonyesha jinsi gani communication za wizara zilikuwa ovyo.

Jafo ingawa anafanya kazi nzuri ila alikuwa anaji-promote mwenyewe unaweza kuona why alijua mama anauwezo zaidi yake.

Anachofanya mama sio sifa ya teuzi isipokuwa ni communication strategy tu message zake kuwafikia wengi isipokuwa alikuwa hapati airtime za popular media alipokuwa naibu katibu mkuu.

Ukimuangalia kwa makini anachofanya it’s coming from her heart she is passionate to see changes na her management knowledge is just wow.
Sawa. Nakubaliana na wewe kabisa kuwa maagizo yake yanatoka moyoni mwake na ana nia njema ya kuboresha huduma na utendaji kazi katika Wizara yake. Lakini kuna usemi kuwa njia ya kwenda jehanam imekuwa paved with good intentions.

Tuchukue hilo agizo lake la kila Hospitali inunue angalau kompyuta moja ndani ya siku kumi. Anafanya hivyo kama vile kompyuta zote zinafanana na ubora wake. Anafanya hivyo kama vile kompyuta zinakuja na pre loaded software. Mimi ninavyojua ni kuwa kila software ina minimum mahitaji yake kwenye kompyuta ili ifanye kazi vizuri. Unaweza kununua kompyuta ina RAM 4 kumbe software zinahitaji RAM 8. Na hizo kompyuta zitakuwa za kutunzia data tu bila kutoa hard copies za hizo data? Na kwa hali yetu ya umeme, je kila kompyuta itahitaji kuwa na ka UPS kake? Na hizo kompyuta zitawasiliana vipi na komyuta iliyokuwa mezani kwake? Na je hizo kompyuta zitakuwa na guarantee? Hapo bado wahusika hawajapambana na watu wa PPRA na stock verifiers. Yote kafanya kwa nia njema lakini zikinunuliwa kwa pupa kama alivyoagiza zitamletea matatizo. Alishindwa nini kukaa faragha na watendaji wake wakuu na wataalam ili wamshauri kuhusu njia bora ya ku centralise mambo ya inventory na mengineyo? Kwa kuyasema hadharani basi bila shaka wenye fani zao watakuwa wanamchora na wenye nia mbaya wanangoja aanguke.

Mimi amenifurahisha kuwa ameonekana ni mtu mwenye kuelezeka na ingawa alitoa maagizo hakuyatoa kwa njia ya kibabe. Akirekebisha dosari hizi chache ataleta mabadiliko makubwa na watendaji na wataalam wake watashirikiana nae bila kinyongo. Na ushauri wangu ni wa nia njema kabisa.

Amandla...
 
Raisi Magufuli alishaweka wazi hataki selfie, we all know behind selfies everything else is bullshit...kuita makamera man, malipo, usafiri vipaza sauti, lunch & all that, hizi sinema zimeshapitwa na wakati, watu tunasoma report siku hizi hatutaki sinema...huyu mama arudi kwenye ubora wake...daily briefing, vikao vya ndani kama ni kufokeana huko huko ndani, mkifukuzana tusijue...wananchi wa kawaida tuone matokeo, hatutaki maigizo for God's sake
 
Haya wewe peke yako ndio mwenye akili za kuweza kumtetea mtu kama Lissu ambae ni kituko mbele ya dunia na watanzania walio wengi, isipokuwa kwako.
Lissu sio kituko mbele ya dunia na Watanzania wengi tu wana imani nae. Kufikiria vingine ni kujidanganya.

Amandla...
 
Ummy Mwalimu served her purpose hayupo tena wizara ya afya huko halipo binafsi sioni ata sababu ya kumuongolea tena.

Isitoshe COVID was special case boss alikuwa na mtazamo wake ata angekuwa Gwajima kubaki kwenye kazi she would had to be in toe with the boss viewpoint.

Mwisho wa siku mtazamo wa boss ulikuwa sahihi only god knows how was that possible, it’s beyond science.
Science iko pale pale. Kusema kuwa tumeishinda COVID-19 bila kupima watu kama wameathirika au la hakukubaliki kisayansi. Nakumbuka kuna wakati watoto walikuwa wanakufa sana kwa degedege na wazazi walikuwa wanaambiwa ugonjwa huo haukubali dawa za kizungu. Kumbe ni malaria kali tu. Sasa watoto wanapimwa malaria na hawafi kutokana na degedege. Hata leo tunaweza kuacha kuwapima watu malaria na kusema kuwa tumeishinda malaria. Lakini ukweli utabaki kuwa malaria ipo. Bila kuwapima Watanzania COVID-19 na kuweka takwimu wazi, dunia nzima haitatuamini kuwa kweli tumeushinda.

Amandla...
 
Sawa. Nakubaliana na wewe kabisa kuwa maagizo yake yanatoka moyoni mwake na ana nia njema ya kuboresha huduma na utendaji kazi katika Wizara yake. Lakini kuna usein kuwa njia ya kwenda jehanamu imekuwa paved with good intentions.

Tuchukue hilo agizo lake la kila Hospitali inunue angalau kompyuta moja ndani ya siku kumi. Anafanya hivyo kama vile kompyuta zote zinafanana uwezo na ubora wake. Anafanya hivyo kama vile kompyuta zinakuja na pre loaded software. Mimi ninavyojua ni kuwa kila software ina minimum mahitaji yake kwenye kompyuta ili ifanye kazi vizuri. Unaweza kununua kompyuta ina RAM 4 kumbe software zinahitaji RAM 8. Na hizo kompyuta zitakuwa za kutunzia data tu bila kutoa hard copies za hizo data? Na kwa hali yetu ya umeme, je kila kompyuta itahitajibkuwa na ka UPS kake? Na hizo kompyuta zitawasiliana vipi na komyuta iliyokuwa mezani kwake? Na je hizo kompyuta zitakuwa na guarantee? Hapo bado wahusika hawajapambana na watu wa PPRA na stock verifiers. Yote kafanya kwa nia njema lakini zikinunuliwa kwa pupa kama alivyoagiza zitamletea matatizo. Alishindwa nini kukaa faragha na watendaji wake wakuuna wataalam ili wamshauri kuhusu njia bora ya ku centralise mambo ya inventory na mengine? Kwa kuyasema hadharani basi bila shaka wenye fani zao watakuwa wanamchora na wenye nia mbaya wanangoja aamke.

Mimi amenifurahisha kuwa ameonekana ni mtu mwenye kuelezeka na ingawa alitoa maagizo hakuyatoa kwa njia ya kibabe. Akirekebisha dosari hizi chache ataleta mabadiliko makubwa na watendaji na wataalam wake watashirikiana nae bila kinyongo. Na ushauri wangu ni wa nia njema kabisa.

Anandla...
Abahatishi kumbuka alikuwa katibu mkuu wa wizara ina maana chief strategists on best ways to implement policies zilizopo, yeye anazijua sisi tusijifanye wajuaji.

Who knows what software is required to record inventory, it could be as simple as using excel or internal shared systems.

Mradi ajazungumza wanunue na software fulani the assumption the system of recording information is not complicated nor does it require a super computer to operate it.
 
Lissu sio kituko mbele ya dunia na Watanzania wengi tu wana imani nae. Kufikiria vingine ni kujidanganya.

Amandla...
Mpaka leo ujaona tu jinsi anavyo jidhalilisha, ashukuru mungu kuna Mbowe wa ku- entertain his nonsense.

Hila baadhi ya wanachedama (viti maalum) nina imani kuna wengine maana ata katibu mkuu wao Mnyika aliekezea sakata la vitu maalum kulikuwa na mgawanyoko.

Wabia wake wengine ni ACT Wazalendo maamuzi yao maana yake washasepa, na Lissu anajua kutokana na reaction yake.

Mtu pekee aliebaki na imani na Lissu ni Mbowe and he is making a huge mistake.

Till next alamsiki
 
Abahatishi kumbuka alikuwa katibu mkuu wa wizara ina maana chief strategists on best ways to implement policies zilizopo, yeye anazijua sisi tusijifanye wajuaji.

Who knows what software is required to record inventory, it could be as simple as using excel or internal shared systems.

Mradi ajazungumza wanunue na software fulani the assumption the system of recording information is not complicated nor does it require a super computer to operate it.
Haya bwana. Mpenda chongo....

Amandla...
 
Mpaka leo ujaona tu jinsi anavyo jidhalilisha, ashukuru mungu kuna Mbowe wa ku- entertain his nonsense.

Hila baadhi ya wanachedama (viti maalum) nina imani kuna wengine maana ata katibu mkuu wao Mnyika aliekezea sakata la vitu maalum kulikuwa na mgawanyoko.

Wabia wake wengine ni ACT Wazalendo maamuzi yao maana yake washasepa, na Lissu anajua kutokana na reaction yake.

Mtu pekee aliebaki na imani na Lissu ni Mbowe and he is making a huge mistake.

Till next alamsiki
Umekosea tathmini yako.
Alamsiki

Amandla...
 
Sasa Dorothy alichokosea ni nini? Wakati mwingine tupongeze panapostahili bila kuwatakia mabaya viongozi wetu
Umesahau wizara hiyo ilikuwa chini ya waziri moja alikuwa akiwafungia Wafanyakazi geti
Yeye akiwahi [emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Umekosea tathmini yako.
Alamsiki

Amandla...
Nakuachia kitendawili ukitaka kujua upuuzi wa huyo mtu nakupa tips mbili.

1 Soma kitabu cha John Bolton ‘the room where it happened’ (kama bado) uone namna gani watu wanavyo lobby kupata nafasi ambazo sifa zake lazima uwe unaelewa mpana wa National security na maslahi mapana nje ya US. Yeye mwenyewe Bolton aliteuliwa baada ya aliekuwa kwenye hiyo nafasi alikataa wazo la Trump kujitoa kwenye nuclear deal ya Iran, alipewa yeye sababu m Bolton alikuwa promote wa US kujitoa.

2 Rudi nyuma soma kitabu cha zamani kidogo cha Bob Woodward ‘Bush at War’ uone jinsi gani hao wataalamu wanavyokosea saa zingine na kuwapotosha viongozi.

Bush alikuwa mtu wa mwisho kuamini kwenda Afghanistan ni jambo la busara. Akiamini kuwapiga Taliban sio issue, isipokuwa baadae hiyo invasion itawekewa propaganda za kidini na hapo ndio hiyo vita itakapo kuwa ngumu (kitabu kimeandikwa mwanzo tu wa vita).

Guess what US walipoingia Afghan waliitoa Taliban ndani ya week mbili au tatu using 2 marine units which equates to like 24 soldiers (not definite sure each unit has how many soldiers though but you get the idea) hao marines walishirikiana na local militia ambao walikuwa anti Taliban in Afghansitan mainly local tribes.

Baada ya kuwashinda kilichofuats as Bush predicted, proganda za kidini zikaanza its us against them, iko ndio kilichopelekea vijana kujiunga na Taliban the rest is history ila iyo nchi imekuwa tatizo mpaka leo kuendeshwa as Bush feared.

Hizo ndio moja ya sababu western countries wameanza kuwa waoga sana kupeleka askari vita vya Middle East.

Lissu awezi shinda vita yake maana itakuwa kati ya sisi na wao; viongozi wa dini wapo upande wa sisi, viongozi wa siasa wengi ukitoa CDM wapo upande wa sisi, celebrities wapo upande wa sisi, wafanyabiashara wakubwa wapo upande wa sisi.

The sooner Mbowe realises tactics za Lissu zinakiuwa chama the better, jamaa anaenda iuwa CDM believe or not.

Serikali inatambua Lissu awezi kuishi Tanzania kwa sababu wanaomtumia itakuwa ngumu kumfundisha mbinu bila ya mawasiliano yao kuingiliwa.

Lissu is a rotten apple

Till next time
 
Nakuachia kitendawili ukitaka kujua upuuzi wa huyo mtu nakupa tips mbili.

1 Soma kitabu cha John Bolton ‘the room where it happened’ (kama bado) uone namna gani watu wanavyo lobby kupata nafasi ambazo sifa zake lazima uwe unaelewa mpana wa National security na maslahi mapana nje ya US. Yeye mwenyewe Bolton aliteuliwa baada ya aliekuwa kwenye hiyo nafasi alikataa wazo la Trump kujitoa kwenye nuclear deal ya Iran, alipewa yeye sababu m Bolton alikuwa promote wa US kujitoa.

2 Rudi nyuma soma kitabu cha zamani kidogo cha Bob Woodward ‘Bush at War’ uone jinsi gani hao wataalamu wanavyokosea saa zingine na kuwapotosha viongozi.

Bush alikuwa mtu wa mwisho kuamini kwenda Afghanistan ni jambo la busara. Akiamini kuwapiga Taliban sio issue, isipokuwa baadae hiyo invasion itawekewa propaganda za kidini na hapo ndio hiyo vita itakapo kuwa ngumu (kitabu kimeandikwa mwanzo tu wa vita).

Guess what US walipoingia Afghan waliitoa Taliban ndani ya week mbili au tatu using 2 marine units which equates to like 24 soldiers (not definite sure each unit has how many soldiers though but you get the idea) hao marines walishirikiana na local militia ambao walikuwa anti Taliban in Afghansitan mainly local tribes.

Baada ya kuwashinda kilichofuats as Bush predicted, proganda za kidini zikaanza its us against them, iko ndio kilichopelekea vijana kujiunga na Taliban the rest is history ila iyo nchi imekuwa tatizo mpaka leo kuendeshwa as Bush feared.

Hizo ndio moja ya sababu western countries wameanza kuwa waoga sana kupeleka askari vita vya Middle East.

Lissu awezi shinda vita yake maana itakuwa kati ya sisi na wao; viongozi wa dini wapo upande wa sisi, viongozi wa siasa wengi ukitoa CDM wapo upande wa sisi, celebrities wapo upande wa sisi, wafanyabiashara wakubwa wapo upande wa sisi.

The sooner Mbowe realises tactics za Lissu zinakiuwa chama the better, jamaa anaenda iuwa CDM believe or not.

Serikali inatambua Lissu awezi kuishi Tanzania kwa sababu wanaomtumia itakuwa ngumu kumfundisha mbinu bila ya mawasiliano yao kuingiliwa.

Lissu is a rotten apple

Till next time
Wrong mifano.
Lissu hatumiwi na mtu.
Na hamna nchi ambayo ina interest na tulichonacho. Sana sana wanahofia kuwa mambo yakiharibika vijana wetu wataanza yena kutembea kwenda Ulaya.
CCM mtakuwa mnakosea sana mki underestimate support waliyokuwa nayo CDM. Kwa bahati mbaya wengi wanaojifanya kuwa support wanafanya hivyo kwa uoga wa kupoteza nafasi zao, kukosa huduma za kijamii, kukosana na wenye dola na wengine kwa kuangalia mkate wao una siagi upande gani.
Hata CDM ikifa, wapinzani hawatapotea. Na hiyo itakuwa hatari zaidi.
Hivi unaamini kweli mataifa ya magharibi watashindwa ku encrypt mawasiliano yao na Lissu ( kama yako) kiasi cha serikali kushindwa kuyaingilia?

Amandla...
 
Wrong mifano.
Lissu hatumiwi na mtu.
Na hamna nchi ambayo ina interest na tulichonacho. Sana sana wanahofia kuwa mambo yakiharibika vijana wetu wataanza yena kutembea kwenda Ulaya.
CCM mtakuwa mnakosea sana mki underestimate support waliyokuwa nayo CDM. Kwa bahati mbaya wengi wanaojifanya kuwa support wanafanya hivyo kwa uoga wa kupoteza nafasi zao, kukosa huduma za kijamii, kukosana na wenye dola na wengine kwa kuangalia mkate wao una siagi upande gani.
Hata CDM ikifa, wapinzani hawatapotea. Na hiyo itakuwa hatari zaidi.
Hivi unaamini kweli mataifa ya magharibi watashindwa ku encrypt mawasiliano yao na Lissu ( kama yako) kiasi cha serikali kushindwa kuyaingilia?

Amandla...
Usiichukulie TISS poa hizi propaganda za nationalism; raisi, waziri mkuu na Bashiru wanazoziongelea usidhani nikufurahisha umati hao watu wanataarifa.

Lissu is a snake, awezi ishi Tanzania anajua mawasiliano yake yataingiliwa. Inawezekana kabisa anaachiwa ili serikali ijifunze kupitia kwake motives za mataifa ya west kwa Tanzania.

Usione watu wapuuzi walipomuacha avunje kanuni za uchaguzi huku wakijua awezi shinda; na wao wana motives zao.
 
Mleta maada utakuwa mchawi kama siyo mlozi. Ungeshauri afanye nini hapo wizarani. Mfano labda gharama za hospitali aangalie namna ya kuzipunguza etc, lakini kuleta majungu haisaidii
 
Back
Top Bottom