Dr. Dorothy Gwajima na makeke kama Kangi Lugola

Dr. Dorothy Gwajima na makeke kama Kangi Lugola

Usiichukulie TISS poa hizi propaganda za nationalism; raisi, waziri mkuu na Bashiru wanazoziongelea usidhani nikufurahisha umati hao watu wanataarifa.

Lissu is a snake, awezi ishi Tanzania anajua mawasiliano yake yataingiliwa. Inawezekana kabisa anaachiwa ili serikali ijifunze kupitia kwake motives za mataifa ya west kwa Tanzania.

Usione watu wapuuzi walipomuacha avunje kanuni za uchaguzi huku wakijua awezi shinda; na wao wana motives zao.
Again, I beg to differ. Siichukulii TISS poa lakini siamini kama ina uwezo wa kuingilia communications za mataifa ya magharibi.

Kama serikali inahitaji kumtumia Lissu ili ijue motives za mataifa ya magharibi dhidi yake, then we have serious problems.

Sidhani kama Lissu alivunja kanuni yeyote ya uchaguzi. We all know kuwa asingeachiwa kama angefanya hivyo.

Naamini vile vile kuwa sio sahihi kumuita mtu ambae mnatofautiana kisiasa nyoka maana wote tunajua kuwa hamna namna tutamruhusu nyoka aliye chumbani kuendelea kuishi. Ni kama vile kumuita mende. Sio vizuri.

Lakini nadhani ni vyema kama tukifunga mjadala kwa kukubaliana kutofautiana.

Amandla...
 
Hizi ni zile teuzi ambazo raisi anatakiwa aamini maamuzi yake Tanzania ukiona mtu anapigwa vita ujue anampango wa kubadilisha mazoea mabaya serikalini.

Teuzi ya Prof Muhongo ilianza hivi hivi na majungu baada ya watu kama marehemu Mengi kuona mtazamo wake wakitaalamu ni tatizo kwao.

Lakini ukweli ni kwamba Tanzania tulikuwa atuelewi frameworks za mikataba ya natural resources kupitia yeye na sheria zake zilizopita kwa hati ya dharura (ambazo baadhi ya watu wanazipinga mpaka leo, mainly due to their naivety) ndio serikali imejifunza tofauti ya mambo ya production sharing agreements, concession agreements, etc na kujifunza namna tulivyo pigwa huko nyuma.

Tofauti ya Dr Mpango na huyu mama, he was just a technocrat you needed him for his expertise advise and probably suitable somewhere in a natural resource institutional board because hakuwa na managerial skills za kuendesha wizara.

Huyu mama has the complete package to run a ministry, daktari aliefanya kazi kwenye service delivery, amekuwa DMO, RMO, amefanya kazi kwenye administration wizarani, amesoma public health, amekuwa naibu katibu mkuu and she is ambitious to make changes.

Ningelikuwa mimi ndio sehemu ya serikali huyo mtu anatakiwa alindwe she is a rare breed ambae anatakiwa akae hapo wizarani ata kwa miaka 10 inayofuata provided her passion for making changes remain the same.
Amekuwa dmo na rmo amefanya mini so far zaidi ya makelele tu
 
Yaani watumishi walivyo ni hivi ukifanya nao kazi kwa kuwaburuza eti ilimradi tu umfurahishe boss kubwa, wao hukwamisha mipango yako yote hatimaye UNAFELI.

Ngoja tuone, huenda ujumbe utamfika
Ndo hivyo mkuu watumishi wa afya wanafanya kazi katika mazingira magumu haujawahi kutokea mtumishi awe anafanya kazi miaka 7 na mshahara ule ule badala ya kumtia moyo wew inaishia kukudhalilisha
 
Hizi ni zile teuzi ambazo raisi anatakiwa aamini maamuzi yake Tanzania ukiona mtu anapigwa vita ujue anampango wa kubadilisha mazoea mabaya serikalini.

Teuzi ya Prof Muhongo ilianza hivi hivi na majungu baada ya watu kama marehemu Mengi kuona mtazamo wake wakitaalamu ni tatizo kwao.

Lakini ukweli ni kwamba Tanzania tulikuwa atuelewi frameworks za mikataba ya natural resources kupitia yeye na sheria zake zilizopita kwa hati ya dharura (ambazo baadhi ya watu wanazipinga mpaka leo, mainly due to their naivety) ndio serikali imejifunza tofauti ya mambo ya production sharing agreements, concession agreements, etc na kujifunza namna tulivyo pigwa huko nyuma.

Tofauti ya Dr Mpango na huyu mama, he was just a technocrat you needed him for his expertise advise and probably suitable somewhere in a natural resource institutional board because hakuwa na managerial skills za kuendesha wizara.

Huyu mama has the complete package to run a ministry, daktari aliefanya kazi kwenye service delivery, amekuwa DMO, RMO, amefanya kazi kwenye administration wizarani, amesoma public health, amekuwa naibu katibu mkuu and she is ambitious to make changes.

Ningelikuwa mimi ndio sehemu ya serikali huyo mtu anatakiwa alindwe she is a rare breed ambae anatakiwa akae hapo wizarani ata kwa miaka 10 inayofuata provided her passion for making changes remain the same.
mkuu umemfagilia hadi rahaaa mwenyewe akisoma atakua anafurai na mashavu yake yale kusema kweli hata mi nimempenda kwa sababu ameanzia chini so kazi anaijua na anajua what is happening kule chini hata rais alisema alipokua naibu katibu mkuu maoni yake mabosi zake walikua wanayakanyagia
 
Umemfuatilia huyo mamam? au unakurupuka tuu ina maana raisi hayupo sahihi na jopo lake la vetting.Huyo mama anapiga sana kazi na hapo alikuwa naibu tuu katibu mkuu.Acheni majungu bwana.
Kwani raisi ndo hakksei mbona amemteua mtu asiejua hata kuapa
 
Ummy Mwalimu served her purpose hayupo tena wizara ya afya huko halipo binafsi sioni ata sababu ya kumuongolea tena.

Isitoshe COVID was special case boss alikuwa na mtazamo wake ata angekuwa Gwajima kubaki kwenye kazi she would had to be in toe with the boss viewpoint.

Mwisho wa siku mtazamo wa boss ulikuwa sahihi only god knows how was that possible, it’s beyond science.
mkuu alibahatisha alafu akatoboa ha ha ha ha au nasema uongo ndugu zanguuu nileteeeni gwajimaaa
 
Sawa. Nakubaliana na wewe kabisa kuwa maagizo yake yanatoka moyoni mwake na ana nia njema ya kuboresha huduma na utendaji kazi katika Wizara yake. Lakini kuna usein kuwa njia ya kwenda jehanamu imekuwa paved with good intentions.

Tuchukue hilo agizo lake la kila Hospitali inunue angalau kompyuta moja ndani ya siku kumi. Anafanya hivyo kama vile kompyuta zote zinafanana uwezo na ubora wake. Anafanya hivyo kama vile kompyuta zinakuja na pre loaded software. Mimi ninavyojua ni kuwa kila software ina minimum mahitaji yake kwenye kompyuta ili ifanye kazi vizuri. Unaweza kununua kompyuta ina RAM 4 kumbe software zinahitaji RAM 8. Na hizo kompyuta zitakuwa za kutunzia data tu bila kutoa hard copies za hizo data? Na kwa hali yetu ya umeme, je kila kompyuta itahitajibkuwa na ka UPS kake? Na hizo kompyuta zitawasiliana vipi na komyuta iliyokuwa mezani kwake? Na je hizo kompyuta zitakuwa na guarantee? Hapo bado wahusika hawajapambana na watu wa PPRA na stock verifiers. Yote kafanya kwa nia njema lakini zikinunuliwa kwa pupa kama alivyoagiza zitamletea matatizo. Alishindwa nini kukaa faragha na watendaji wake wakuuna wataalam ili wamshauri kuhusu njia bora ya ku centralise mambo ya inventory na mengine? Kwa kuyasema hadharani basi bila shaka wenye fani zao watakuwa wanamchora na wenye nia mbaya wanangoja aamke.

Mimi amenifurahisha kuwa ameonekana ni mtu mwenye kuelezeka na ingawa alitoa maagizo hakuyatoa kwa njia ya kibabe. Akirekebisha dosari hizi chache ataleta mabadiliko makubwa na watendaji na wataalam wake watashirikiana nae bila kinyongo. Na ushauri wangu ni wa nia njema kabisa.

Anandla...
Your comment will remain alive forever.stay blessed
 
Hizi ni zile teuzi ambazo raisi anatakiwa aamini maamuzi yake Tanzania ukiona mtu anapigwa vita ujue anampango wa kubadilisha mazoea mabaya serikalini.

Teuzi ya Prof Muhongo ilianza hivi hivi na majungu baada ya watu kama marehemu Mengi kuona mtazamo wake wakitaalamu ni tatizo kwao.

Lakini ukweli ni kwamba Tanzania tulikuwa atuelewi frameworks za mikataba ya natural resources kupitia yeye na sheria zake zilizopita kwa hati ya dharura (ambazo baadhi ya watu wanazipinga mpaka leo, mainly due to their naivety) ndio serikali imejifunza tofauti ya mambo ya production sharing agreements, concession agreements, etc na kujifunza namna tulivyo pigwa huko nyuma.

Tofauti ya Dr Mpango na huyu mama, he was just a technocrat you needed him for his expertise advise and probably suitable somewhere in a natural resource institutional board because hakuwa na managerial skills za kuendesha wizara.

Huyu mama has the complete package to run a ministry, daktari aliefanya kazi kwenye service delivery, amekuwa DMO, RMO, amefanya kazi kwenye administration wizarani, amesoma public health, amekuwa naibu katibu mkuu and she is ambitious to make changes.

Ningelikuwa mimi ndio sehemu ya serikali huyo mtu anatakiwa alindwe she is a rare breed ambae anatakiwa akae hapo wizarani ata kwa miaka 10 inayofuata provided her passion for making changes remain the same.
You have spoken whole, but your observation have been made at the wrong platform.
This is a place where the very right things are not seen correctly, even when solid evidences have been placed for justification . We are in a sorry state, slowly we are progressing towards Facebook members level.
 
Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.

Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/ makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.

Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya Tanzania kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.

Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa

Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa[emoji1784]
sijui kwa nini watanzania walio wengi wanawachukia sana watu makini ktk kuchapa kazi, wewe fuatilia tu utagundua ktk ofisi yako wanao pigwa sana majungu utagundua ndio wachapa kazi hodari. ukionekana tu unamsimamo mkali ktk mambo ya kusimamia basi ujue utaanza kuundiwa jungu na fitina sijui watanzania mmelogwa na nani!!! punguzeni majungu fanyeni kazi hongera Mama Dorithy wewe piga kazi kwa kumtanguliza Mungu mbele usiogope kusemwa wala usiogope kutumbuliwa ilimradi tu umetiza wajibu wako.
lkn pia Mh. Rais na viongozi wengine ktk nafasi mbali mbali walindeni baadhi ya watendaji wano undiwa majungu yasiyo ya kweli
 
Abahatishi kumbuka alikuwa katibu mkuu wa wizara ina maana chief strategists on best ways to implement policies zilizopo, yeye anazijua sisi tusijifanye wajuaji.

Who knows what software is required to record inventory, it could be as simple as using excel or internal shared systems.

Mradi ajazungumza wanunue na software fulani the assumption the system of recording information is not complicated nor does it require a super computer to operate it.
Kama suala ni kuweka inventory tuu kwenye excel basi ni bora wanunue laptops au hata tablets ambazo mhusika anaweza kuzibeba na kuingiza data pale anapohitaji. Na excel haitolewi bure.

Amandla...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.

Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/ makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.

Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya Tanzania kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.

Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa

Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa[emoji1784]
 
Naona TMA wamehamia huku. The good thing is, mara nyingi wanaangukia pia.
 
Dr ngwajima. Mm namuita iron lady, au mwanaume lakini anavaa sketi. Katika utendaji wake hajawahi shindwa. Amekua RMO singida hospitali ya mkoa aliweza kuifanya singida hospital ikawa hospitali ya mfano tanzania kwa kazi za kaizen. Mpaka sasa ukitaka kujifunza KAIZEN sehemu ya mfano ni singida.
Hata sasa naamini wizara zingine zitajifunza kwa wizara ya afya. Namkubali sana huyu mama. Kwa ambao mnamuona hvyo ndio anafanya kazi.
 
Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.

Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/ makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.

Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya Tanzania kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.

Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa

Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa🤧
Moto wa kifuu huo hamna lolote , Jiwe mwenyewe alianza na mikwala Mara tumbua , Mara bomoabomoa matokeo yake serikali inaendeshwa kwa propaganda uchwara , nchi ya uchumi wa kati wakati haina hata kiwanda cha toothpicks au pini ulungu ( thugtax ) . Uongozi Ni hekima na busara sio mikurupuko .
 
Hii wizara ngumu sana....naomba nitoe mfano mmoja tu kwa leo:
Kuna hii Bima ya Afya ya Jamii CHF, wanachi wameitikia wito wa kuwa na bima hii, ila matumizi yake sasa, familia nzima ya watu watano wanenda wote kutibiwa siku moja(wote "wanaumwa" si wana bima bwana!) wanaonwa na daktari, wanaandikiwa vipimo ila ni mmoja tu mwenye minyoo, na ili kuondoa lawama ya hao ambao hawaumwi kutopewa dawa (wasipopata dawa wanaenda kwa diwani na kusema pale zahanati huduma mbovu) mganga anawapa panadol, nk
Matokeo ya ujinga huu wa watanzania walio wengi ni matumizi makubwa ya raslimali watu na fedha na mfuko huu hautaweza kujiendesha wenyewe...

Ujinga ndio ugonjwa mkubwa miongoni mwetu....
 
Back
Top Bottom