Dr. Dorothy Gwajima na makeke kama Kangi Lugola

Dr. Dorothy Gwajima na makeke kama Kangi Lugola

Yaani watanzania tuna shida kubwa sana, tumefika mahali yunaamini kuwa mtanzania mmoja akiwa Waziri wa afya anaweza kutatua changamoto za Wizara ya afya. Kwanini tunakuwa na mawazo duni hivo, changamoto za Wizara ya afya zitatatuliwa na wana jamii wanapokuwa free kuhoji na vyombo vyetu vya habari vinapokiwa huru na kuandika habari zankoutafiti watu wenye uelewa kufanya utafiti na kupendekeza nini kifanyike kuboresha Wizara. Hivi hiyo Wizara si ndiyo ililazimishwa kusema uwongo kuhusu covid 19 hadi watu wadilifu wakafukuzwa.

Matatizo ya Wizara yatatatuliwa tutakoomdokana wa jamii ya wanafiki watu wakitaka kujipendekeza waongo na waoga walio katika sehemu mbali mbali za kazi. Kuendelea kukuombatia wanafiki, waongo, waoga na watu wakujipendekeza hakiwezi kutatua tatizo lolote sana sana tutaendelea kupiga sound kwenye mikutano na vyombo vya habari kumbe hakuna chochote.

Hivi wakisema madawa katika mahospitali na vituo vya afya yanapatikana kwa asilimia 78 huwa mkiugua na kwenda huko Hospital mnathibitisha hizo takwimu. Hii Wizara haihitaji kelele na matatizo ya Wizara yanatakiwa kutatuliwa na ma Katibu wakuu maana ndiyo wataalam wa hizo Wizara na hata nafasi zao ni za utendaji.

Hao mawaziri ni wapiga Siasa tu hakuna jipya wanaloweza kufanya wote tunawafahamu wanapenda kiki ili aliyewageua ajuwe wanafanya kazi.
Ni hivi tunapokwenda kwenye nyumba za ibada viongozi wa dini wanapotoa sermon.

Kuna makundi yafuatayo yatamuelewa zaidi anatokea wapi na maneno yake; kuna wanaosoma vitabu vya dini, wale waliojifunza dini wakati wadogo na wacha mungu sana.

Wengine dini ambayo aijatukaa sana sana tunaokota okota wakati sermon inaendelea na kujifunzia hapo hapo kwa sababu hatuna shaka na uelewa wa mwalimu wetu.

Ndio kama baadhi ya watu wanavyomuona huyo mama kwa wale wenye kuelewa management ya afya awamuoni kama mtu anaepayuka isipokuwa as part ‘systematic control’ ya policy (miongozo ya wizara iliyopo) kwenye ziara zake kuna wasaa anazungumzia aspect za ‘empowering services users’, managing Human Resources, managing financial resources, facilitating changes, managing quality and health promotion; based on current ministry policies of operation.

Kwa ivyo kama unaelewa wa management za afya unaweza kuona value yake and apparently wizara ina policies and guidelines nzuri tu tayari juu ya mambo mengi nimejifunza ivyo kupitia kwake kwa sababu anajua namna ya utekelezaji wake unavyotakiwa kuwa na akifika ana mbinu za kukaguwa.

Usione kwenye video zingine anafika sehemu ananyanyua godoro na kufungua cover ukadhani mwehu kuna regulations pia mpaka za quality za mahala wagonjwa wanapotakiwa kulala.

Hali kadhalika kwa wale wasiolewa management ya afya wanaweza muona anapayuka tu, bila ya kuelewa kwanini.

Kwa mtu yeyote ambae anadhani ipo siku atatumia hospitali za serikali kwenye chi ambayo kuna gap kubwa kwenye utolewaji wa kiwango cha huduma kati ya walionacho na wasionacho (and the probabilities of coming out alive) basi huyu mama ni mkombozi nina imani atafanikiwa kuweka standardisation ya huduma katika hiyo wizara.

Afanyi ivyo kutafuta sifa bali kwa maslahi mapana ya watumiaji wa huduma.
 
Ni hivi tunapokwenda kwenye nyumba za ibada viongozi wa dini wanapotoa sermon.

Kuna makundi yafuatayo yatamuelewa zaidi anatokea wapi na maneno yake; kuna wanaosoma vitabu vya dini, wale waliojifunza dini wakati wadogo na wacha mungu sana.

Wengine dini ambayo aijatukaa sana sana tunaokota okota wakati sermon inaendelea.

Ndio kama baadhi ya watu wanavyomuona huyo mama kwa wale wenye kuelewa management ya afya awamuoni kama mtu anaepayuka isipokuwa as part systematic control kutokana anachoongelea kuna wasaa anazingumzia aspect za ‘empowering services users’, managing Human Resources, managing financial resources, facilitating changes, managing quality and health promotion.

Kwa ivyo kama una elewa afya unaweza kuona value yake and apparently wizara ina policies and guidelines nzuri tu tayari juu ya hayo mambo nimejifunza hayo kupitia kwake kwa sababu anajua namna ya utekelezaji wake unavyotakiwa kuwa na akifika ana mbinu za kukaguwa.

Usione kwenye video zingine anafika sehemu na ananyanyua godoro na kufungua cover ukadhani mwehu kuna regulations pia mpaka za quality za mahala wagonjwa wanapotakiwa kulala.

Hali kadhalika kwa wale wasiolewa management ya afya wanaweza muona anapayuka tu, bila ya kuelewa kwanini.

Kwa mtu yeyote ambae anadhani ipo siku atatumia hospitali za serikali kwenye chi ambayo kuna gap kubwa kwenye utolewaji wa kiwango cha huduma kati ya walionacho na wasionacho (and the probabilities of coming out alive) basi huyu mama ni mkombozi nina imani atafanikiwa kuweka standardisation ya huduma katika hiyo wizara.

Afanyi ivyo kutafuta sifa bali kwa maslahi mapana ya watumiaji wa huduma.
Huyo mama ni mpiga mayowe kama alivyokuwa Kanga Lugole. Muda utasema
 
Huyo mama ni mpiga mayowe kama alivyokuwa Kanga Lugole. Muda utasema
Mna mwangia sana kwa ivyo sitoshangaa akitumiliwa husda ya jicho nayo inanguvu.

Lakini ukweli utabaki kuwa akitolewa hapo anaepoteza zaidi siyo yeye isipokuwa watumiaji wa huduma za afya hasa wale wasionacho.
 
Huyu mama hata ujengaji wa hoja zake namuona ni mweupe sana muda tu utasema ukweli nae namuona ni garasa.
 
Mawaziri wameteuliwa Kwa kuzingatia Mikoa yao! Kanda ya ziwa ina Mikoa mingapi? Kama ni zaidi ya mmoja basi tulia dawa ikuingie acha udaku! Au ulikimbia hesabu?

Queen Esther
Mkuu, ulinielewa vibaya!! nimezungumuza hili bila chuki na unafiki kabisaa!! Mi nilimanisha wingi Kama wingi!!
 
Dr Gwajima anajitahidi kuboresha mfumo wa afya ili wapate wateja wengi kwenye Universal Health Carea Insurance. (Moja ya manifesto za Lissu na Chadema).

Tatizo lililopo ni mfumo mbovu wa utawala. Kama katiba inapindishwa, daktari anaefanya makosa akiwa ni ndugu wa rais atawajibishwa?

We fake kweli. Unatafuta tu mahali lazima umtaje Rais. Ungeenda kumsadia babu Fake Original Lissuu. Mbebaa maono ya wazungu.
 
Raisi Magufuli alishaweka wazi hataki selfie, we all know behind selfies everything else is bullshit...kuita makamera man, malipo, usafiri vipaza sauti, lunch & all that, hizi sinema zimeshapitwa na wakati, watu tunasoma report siku hizi hatutaki sinema...huyu mama arudi kwenye ubora wake...daily briefing, vikao vya ndani kama ni kufokeana huko huko ndani, mkifukuzana tusijue...wananchi wa kawaida tuone matokeo, hatutaki maigizo for God's sake
Akitumia utaratibu ilio wazi kama Daily briefing,safety meetings,vikao vya ndani zitambana kupika majungu.Yawezekana alikuwa anatamani ukubwa sasa kapewa hadi uwaziri wa wizara hiyo hiyo.Kazi kwake kwani Magufuli na umma unasubiri matokeo.
 
Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.

Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/ makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.

Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya Tanzania kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.

Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa

Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa[emoji1784]
Hivi ni mke wa gwajima?
 
Hivi kuna mtu alikua na makelele na sera ya viwanda kama Kaijage[emoji4]
 
Aweza Kuwa Na Mkwara ila ana mipango mizuri tukumbuke sekta ya Afya ni eneo nyeti sana inataka mtu anaepajua vizuri..Walipompa Ummy nilishangaaa mana pale panatakiwa Taaluma kabisa kabisa na uwezo wa kujua haya masuala.

Moja ya Eneo la kuweka uwekezaji Mkubwa sana ni hili lakini pia Waboreshee wafanyakazi na Madaktari mishahara...

Tumpe muda mana naona Mawaziri Sio huyu tu mnaemsema Angalieni Yule Aweso Nae ni kutumbua tumbua ambako hakusaidii sana wakati mwingine majungu mengi serikalin sasa Waziri ukiwa unapenda sana kutumbua sikiliza upande ule kwanza.
 
Asibadilike kwasababu ya cheo yeye aendelee kama alivyo ubaya in kujioneshaonesha lkn kuongea sio mbaya.
Watu waelewe kuondolewa madarakani na magu ni utashi wake yeye na haimaanishi hufai?? Hata magu ingewezekana angeondolewaga uwaziri enzi yake kama rais angekuwa kamayeye...
 
Back
Top Bottom