gaidi baba yako na mama yako, OK!Gaidi Mbowe yupo chini ya ulinzi salama wa Polisi, nchi nzima imetulia hakuna matukio ya ajabu ajabu kama Uamsho walivyowekwa sehemu salama na Zenji ikatulia.
Kwani Gaidi Mbowe wewe ni nani yako ? Mbona unapata kimuhemuhe au wewe ndio Joyce Mukya 😁?gaidi baba yako na mama yako, OK!
This is an old stouge incapacitated by the power drunkards of the deep state!! Do we a clause involving a recall to accountability in the TLS constitution?Tulionya kuwa huyu hafai kuwa kiongozi wa taasisi kama hiyo lakini bado akina Fatuma , Lisu and wasomi wazuri wengine wakampigia kampeni. Ona sasa hawezi kufungua mdomo kukemea haya yanayoendelea maana naye ni CCM.
Lisu umepata la kujifunza angalau kwa hili?
Hosea mwoga , mzee, hawezi harakati za sasa na tuliwaonya kuwa huyu ni spent force hawezi uongozi wa taasisis kama hizi ambazo by principle ni za kupambana na udhalimu wa watawala.
Ameifanya TLS kuwa tawi la CCM, kwisha habari yake!
Una haki ya kuandika lkn tunategemea uandika sense, reasoned argument.Lisu anahitaji kuja kukalia kile kiti ambacho kimewagharimu wengi waliojaribu kutaka kukikalia mfano marehem Chacha wangwe, Zito Kabwe nk. Lisu na baadhi ya viongozi wa chadema walikuwa wamshaona mwenyekiti wao chama kinamshinda lkn hawakuwa na jinsi zaidi ya kutumia njia hii waliyoitumia ili kukinusuru chama. We hufikirii kwann wanagoma hata kumuwekea dhamana, màana yake hawataki arudi tena uraia sasa hivi. Sasa kumpelekea Lisu kesi ya huyo unaesema ni ccm ni sawa sawa na kujisumbua tu maana Lisu anajua kila kinachoendelea zaid yako ww
Una uhakika wa unachokisema? Alimgaidi nani? alimgaidi mama yako?Hosea ni msukuma makini sana hawezi kutetea gaidi mbowe
Matusi ya nini? jibu hoja kma huna hoja pita bila matusi. zwazwa mama yakoMmeshindwa kupambana nyinyi kama nyinyi sasa mnatafuta huruma za watu,mnahisi kilamtu ni zwazwa kama nyinyi.
CCM ndicho walichokuwa wanataka, TLS imekufa, imekuwa kama UWT.Tulionya kuwa huyu hafai kuwa kiongozi wa taasisi kama hiyo lakini bado akina Fatuma , Lisu and wasomi wazuri wengine wakampigia kampeni. Ona sasa hawezi kufungua mdomo kukemea haya yanayoendelea maana naye ni CCM.
Lisu umepata la kujifunza angalau kwa hili?
Hosea mwoga , mzee, hawezi harakati za sasa na tuliwaonya kuwa huyu ni spent force hawezi uongozi wa taasisis kama hizi ambazo by principle ni za kupambana na udhalimu wa watawala.
Ameifanya TLS kuwa tawi la CCM, kwisha habari yake!
Kinachonishangaza ni hao nyumbu ukimsema vibaya mme wao basi umeisha tangaza vita na wao sasa najiuliza hiyo demokrasia mnayoitaka iwe vile mnamtaka ninyi tuKwani Gaidi Mbowe wewe ni nani yako ? Mbona unapata kimuhemuhe au wewe ndio Joyce Mukya [emoji16]?
Mleta mada ni crybaby, Jana alikuwa analalamikia ukimya wa mange kimbambi nikabaki na shangaa. Daaah😂Mmeshindwa kupambana nyinyi kama nyinyi sasa mnatafuta huruma za watu,mnahisi kilamtu ni zwazwa kama nyinyi.
Moyo wa mtu msitu.. ww huwezi jua anachopanga Lisu kwa Mbowe.Una haki ya kuandika lkn tunategemea uandika sense, reasoned argument.
Asante kwa kuliona hiliCCM ndicho walichokuwa wanataka, TLS imekufa, imekuwa kama UWT.
Moyo wa mtu msitu.. ww huwezi jua anachopanga Lisu kwa Mbowe.
Mbowe baada ya kumalizana na chacha wangwe na kumuundia Zengwe Zito ili afukuzwe chamani, alikuja kugundua kuwa mtu pekee aliebaki tishio kwa kiti chake pale chadema ni Lisu ukizingatia ushawishi aliokuwa nao Lisu wakati ule. Mbowe aligundua kupitia mtandao wake chamani kuwa Lisu angesimama nae katika uchaguzi wa chama na mwisho wake ingekuwa Lisu awe mwenyekiti na Mbowe kuangukia pua kutokana na maboko mbali mbali aliyoyafanya ndan ya chama kama vile kubadili gia angani nk. Sasa Mbowe alichofanya ni kuwahi kumalizana nae kama alivyomalizana na Chacha Wangwe, lkn kwa bahati mbaya mission yake ilifeli na kuamua kumkimbiza dereva wa Lisu ambae alikuwa anajua kinachoendelea ili kupoteza ushahidi. Sasa Lisu ashaanza kupata picha ya kilichomtokea na sasa ana revenge kupitia njia nyingine ambayo ndio hii tunayoiona.Iko hivi just think of it! If you are an educated man, avoid lumpen statements and conclusions! Unajua kuwa had it not been for the presence of Mbowe to make firm decisions when Lisu was gunned down, Lisu would be dead by now! Salary Slip BAK
Mleta mada ni crybaby, Jana alikuwa analalamikia ukimya wa mange kimbambi nikabaki na shangaa. Daaah😂