Dr. Hosea, kauli yako ni ipi kuhusu sakata la Mbowe/uvunjifu wa Katiba na sheria?

Dr. Hosea, kauli yako ni ipi kuhusu sakata la Mbowe/uvunjifu wa Katiba na sheria?

Mbowe baada ya kumalizana na chacha wangwe na kumuundia Zengwe Zito ili afukuzwe chamani, alikuja kugundua kuwa mtu pekee aliebaki tishio kwa kiti chake pale chadema ni Lisu ukizingatia ushawishi aliokuwa nao Lisu wakati ule. Mbowe aligundua kupitia mtandao wake chamani kuwa Lisu angesimama nae katika uchaguzi wa chama na mwisho wake ingekuwa Lisu awe mwenyekiti na Mbowe kuangukia pua kutokana na maboko mbali mbali aliyoyafanya ndan ya chama kama vile kubadili gia angani nk. Sasa Mbowe alichofanya ni kuwahi kumalizana nae kama alivyomalizana na Chacha Wangwe, lkn kwa bahati mbaya mission yake ilifeli na kuamua kumkimbiza dereva wa Lisu ambae alikuwa anajua kinachoendelea ili kupoteza ushahidi. Sasa Lisu ashaanza kupata picha ya kilichomtokea na sasa ana revenge kupitia njia nyingine ambayo ndio hii tunayoiona.
Ngoja nipunguze watu wa kusoma msg zao. After 10 minutes naku block!
 
Tulionya kuwa huyu hafai kuwa kiongozi wa taasisi kama hiyo lakini bado akina Fatuma , Lisu and wasomi wazuri wengine wakampigia kampeni. Ona sasa hawezi kufungua mdomo kukemea haya yanayoendelea maana naye ni CCM.
Lisu umepata la kujifunza angalau kwa hili?
Hosea mwoga , mzee, hawezi harakati za sasa na tuliwaonya kuwa huyu ni spent force hawezi uongozi wa taasisis kama hizi ambazo by principle ni za kupambana na udhalimu wa watawala.

Ameifanya TLS kuwa tawi la CCM, kwisha habari yake!
Mbowe au chadema wamevunja sheria ipi
JamiiForums-1797793390.jpg
 
Tulionya kuwa huyu hafai kuwa kiongozi wa taasisi kama hiyo lakini bado akina Fatuma , Lisu and wasomi wazuri wengine wakampigia kampeni. Ona sasa hawezi kufungua mdomo kukemea haya yanayoendelea maana naye ni CCM.
Lisu umepata la kujifunza angalau kwa hili?
Hosea mwoga , mzee, hawezi harakati za sasa na tuliwaonya kuwa huyu ni spent force hawezi uongozi wa taasisis kama hizi ambazo by principle ni za kupambana na udhalimu wa watawala.

Ameifanya TLS kuwa tawi la CCM, kwisha habari yake!

Kijana. Mzee. Katibu mwenezi wa chadema. Mtu makini yeyote. Hawezi kucomment jambo asilolojua. Mpaka Sasa Polisi hawajavunja sheria Mana wanafanya kazi Yao. Ukweli hauhitaji mob ya watu. Wewe unatapa tapa na kujipinga. Chini huko umemwambia mtu ajibu hoja na asilete matusi. Wewe huna hoja kabisa. Sasa akujibu Nini? Je HOSEA Ni MKUU WA POLISI AU DPP. Unahangaika sana kutafuta huruma kuliko haki. Ni UPUMBAVU.
 
Ngoja nipunguze watu wa kusoma msg zao. After 10 minutes naku block!
Kumbe mkuu ulianza kuwa chawa wa Mbowe kitambo, mpaka ikafikia mahala ukataka kuni block kisa tu nimezungumza ukweli kuhusu Mbowe kuwafanyia umafia viongozi wenzake wa Chadema.

RIP Chacha Wangwe, Ben saa8, mzee Ali Kibao na wengineo.
 
Back
Top Bottom