Dr. Hosea, kauli yako ni ipi kuhusu sakata la Mbowe/uvunjifu wa Katiba na sheria?

Ngoja nipunguze watu wa kusoma msg zao. After 10 minutes naku block!
 
Mbowe au chadema wamevunja sheria ipi
 

Kijana. Mzee. Katibu mwenezi wa chadema. Mtu makini yeyote. Hawezi kucomment jambo asilolojua. Mpaka Sasa Polisi hawajavunja sheria Mana wanafanya kazi Yao. Ukweli hauhitaji mob ya watu. Wewe unatapa tapa na kujipinga. Chini huko umemwambia mtu ajibu hoja na asilete matusi. Wewe huna hoja kabisa. Sasa akujibu Nini? Je HOSEA Ni MKUU WA POLISI AU DPP. Unahangaika sana kutafuta huruma kuliko haki. Ni UPUMBAVU.
 
Ngoja nipunguze watu wa kusoma msg zao. After 10 minutes naku block!
Kumbe mkuu ulianza kuwa chawa wa Mbowe kitambo, mpaka ikafikia mahala ukataka kuni block kisa tu nimezungumza ukweli kuhusu Mbowe kuwafanyia umafia viongozi wenzake wa Chadema.

RIP Chacha Wangwe, Ben saa8, mzee Ali Kibao na wengineo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…