Elections 2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

Elections 2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

Hili ndilo ninalopendea JF

Ukimgusa Magufuli kuna watu wanatamani kukutoa macho

Ukimgusa Lowassa kuna watu wanatamani kukuchuna ngozi...

Ila nisaidiwe kitu kimoja....je nani kaiua ATC kikamilifu?? Huyu sitamsamehe kabisaaaa.....

tunatia aibu kama nchi kuwa na shirika la ndege linalofanya kazi mithili ya "white elephants projects"......tunatia aibu kabisa....ndege hakuna ya uhakika japo wako watu wanajiita wafanyakazi wa ATC na wanakula mishahara kwa uhakika
 
Yericko Nyerere kuanzia September 01 Jela itakua unamvizia sana

mkuu muache yericko maana kuwa mtuma ni kitu kibaya, yeye mtu ambaye amekuwa bubu miaka saba kwake ni bora kuriko mtu ambaye miaka yote amekuwa akiwatumikia watanzania,

hata kama ni siasa za siasa na utumwa wa kununuliwa hakuna riziki inayopatikana nje ya haki ikawa na baraka,
nafikiri angetwambia ububu wa mtu wake miaka saba kwa nini kuriko upuuzi anaouleta kuwapofusha watanzania,
 
mvua za kununua, barabara tatu, mkataba wa haraka wa richmond uliosainiwa hotelini ulaya, kutoka fedha za jimbo mil 40 hadi mili 100 +, kukaa kimya bungeni ila akipata nafasi anasema anamaamuzi magumu, maamuzi magumu uogopa kuvunja mkataba cse katibu amesema wakati wewe ni waziri mkuu, kukaa jimboni zaidi ya miaka 20 wakati kila siku tunawaona masai wanakimbia monduli kuja kuwa walinzi dar huku wewe ukijinadi kuwa unauchukia umaskini, kugawa mamilioni misikitini na kanisani huku ukiongelea ukosefu wa ajira, kununua boda boda mikutanoni n.k bado kuna mijinga mijinga anaamini huyo mtu ataleta mabadiliko hii ni dhihaka!:usa2:
 
Tangu lini TAA na ATCL zimekuwa chini ya Wizara ya Ujenzi?

mkuu achana na manyubu badala ya kueleza watanzania tumefaidika na nini na ububu wa lowasa ndani ya miaka saba, kabla hajatueleza mapungufu ya magufuli,
 
mkuu muache yericko maana kuwa mtuma ni kitu kibaya, yeye mtu ambaye amekuwa bubu miaka saba kwake ni bora kuriko mtu ambaye miaka yote amekuwa akiwatumikia watanzania,

hata kama ni siasa za siasa na utumwa wa kununuliwa hakuna riziki inayopatikana nje ya haki ikawa na baraka,
nafikiri angetwambia ububu wa mtu wake miaka saba kwa nini kuriko upuuzi anaouleta kuwapofusha watanzania,


Tunahitaji majibu ya kina....

ATCL iko wapi??
 
mvua za kununua, barabara tatu, mkataba wa haraka wa richmond uliosainiwa hotelini ulaya, kutoka fedha za jimbo mil 40 hadi mili 100 +, kukaa kimya bungeni ila akipata nafasi anasema anamaamuzi magumu, maamuzi magumu uogopa kuvunja mkataba cse katibu amesema wakati wewe ni waziri mkuu, kukaa jimboni zaidi ya miaka 20 wakati kila siku tunawaona masai wanakimbia monduli kuja kuwa walinzi dar huku wewe ukijinadi kuwa unauchukia umaskini, kugawa mamilioni misikitini na kanisani huku ukiongelea ukosefu wa ajira, kununua boda boda mikutanoni n.k bado kuna mijinga mijinga anaamini huyo mtu ataleta mabadiliko hii ni dhihaka!:usa2:

mkuu kuna kingine kushidwa kijieleza hata robo saa wakati mtu anaombanafasi ya kuwakilisha taqifa kwenye mikutano ya kimataifa ambayo kiongozi anapewa nafasi ya kuhutubia dunia zaidi ya saa adi mawili,

mm sielewi kwanini wasieleze watanzania tumepata nini kwenye ububu wake wa miaka saba kabla hajaongea kazi za magufuli ndani ya miaka 10,
 
Hauna tofauti na wafu waliolala makaburini....

Akili yako haiwezi fikiri zaidi ya kibaba cha unga!!!

akili ya kwako ndo inafikiri vizuri kuwa ububuwa mtu wenu ni shangwe kwenu ,kweli akili ni kitu cha ajabu sana mengine wenye zilizomo hatuelewi,
 
Kumchagua magufuli ni kujitafutia dhambi kwa Mungu tuuu
Hatuwez kutafuta dhambi za bure sisi
 
Ni lini ATCL imewahi kuwa chini ya Wizara ya Ujenzi?..

Na je ni lini Magufuli amewahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na uchukuzi/Waziri wa Uchukuzi?...


Sijataka kufahamu uratibu wa ATCL upo chini ya wizara gani....

Nataka kufahamu ATCL imekwenda wapi??
 
YERIKO NYERERE@
Ahsante mkuu kwa kutufungua macho sasa nimekubali kwa dhati ni LOWASA tu ndo chaguo sahihi.
 
Sijataka kufahamu uratibu wa ATCL upo chini ya wizara gani....

Nataka kufahamu ATCL imekwenda wapi??

Nadhani swali lako limekuja kutokana na maelezo ya Yericko kwamba Magufuli amechangia kufifia kwa ATC....

Pia Yericko kazungumzia suala la utendaji wa TAA na Bandari na kumhusisha Magufuli..

Huu ni upotoshaji wa dhahiri kwani TAA..ATCL na Bandari vipo chini ya Wizara ya Uchukuzi (zamani wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi)...

Zaidi ya kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na baadae Waziri wa Ujenzi na pia Waziri wa Ardhi na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Magufuli hajawahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi wala Waziri wa Uchukuzi...
 
mvua za kununua, barabara tatu, mkataba wa haraka wa richmond uliosainiwa hotelini ulaya, kutoka fedha za jimbo mil 40 hadi mili 100 +, kukaa kimya bungeni ila akipata nafasi anasema anamaamuzi magumu, maamuzi magumu uogopa kuvunja mkataba cse katibu amesema wakati wewe ni waziri mkuu, kukaa jimboni zaidi ya miaka 20 wakati kila siku tunawaona masai wanakimbia monduli kuja kuwa walinzi dar huku wewe ukijinadi kuwa unauchukia umaskini, kugawa mamilioni misikitini na kanisani huku ukiongelea ukosefu wa ajira, kununua boda boda mikutanoni n.k bado kuna mijinga mijinga anaamini huyo mtu ataleta mabadiliko hii ni dhihaka!:usa2:

Toa povu..toa povu...mabadiliko ni lazima..hata mngeweka jiwe na ccm..tunachagua jiwe..haturudi nyuma..najua una maslahi ndani ya ccm..jiandae kisaikolojia ...mtakaangika mwaka huu si mlizoea miteremko wazee wa ma EPA..ESCROW. ..kazi mnayo!
 
Simlaumu Magufuri , hakuna yeyote anayeweza kufanya kazi kwa ufanisi ndani ya ccm, kuna mianya mingi sana ya ulaji na rushwa humo ndani . Kikwete na mkapa na mwinyi waliingia ikulu wakiwa na sifa nyingi tu kumshinda Magufuri, wametufikisha wapi?
 
najua nafsi inakusuta tu kwa kuwa mnafiki hata mbele za mungu kama kweli wewe ni mkritu kweli unatumia karama aliyokupa mungu kumtukana mtu ambaye kwa miaka 10 amefanya kazi ya heshima katika nchi hii?
Fany siasa ya hki ambyo inabaraka hata kwa mungu achana na majitaka yako mungu aliyempaga atakuawa maana hakuna ambaye anaweza kupinga mpango wa mungu,
chukua ushauri huu utakusaidi,

Makufuli atasifika kwa uchakachuaji wa ujenzi wa barabara, zote anazojenga makufuli huwa zinaogopa mvua barabara zikinyeshewa mvua tu hasa zile za masika, masika ikiisha kila road ya makufuli inabaki na mashimo mashimo. Ajifunze barabara walizosimamia wenzake mf nyerere road nk miaka mingi sasa aijawai kuwa na mashimo kilahisilahis kama barabara anazojenga huyu jamaa, naamini akibahatika kuwa rais hata tufaa hata kidogo(anyimwe tu) hafai
 
Back
Top Bottom