Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Hii nchi sio ya vipimo ama majaribio,
Ndio maana hatutamchagua Lowassa. Tunamfahamu vema, pia tulishirikiana kuponda humu humu. Why leo ageuke lulu? Dhambi ya ulaghai na unafiki wa kisiasa itawamalizeni.