Elections 2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

Elections 2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

Haka kajamaa kababaishaji na kadandiaji tu huku kakijifanya kachambuzi!!

Aliyekwambia ukienda kusoma seminari lazima uwe na lengo la kuwa padri ni nani?!

Wangapi hawajasoma seminari na ni mapadri!! Wangapi wamesoma seminari na si mapadri!!!
 
Yericko napenda makala yako, lakini kuwa makini wapi kutumia L na wapi R. Sisi wengine inatuudhi sana kutojua mahali inapofaa, na huenda tukakuona si msomi.
 
Yericko Nyerere

Wewe mwizi wa jina unashinda kwenye mitandao na real name kumchafua mtu msafi ili achafuke kama mabwana zako. sijui unapewa nini zaidi kudharaulika. muulize mwenzako ben saaeight siku zote mitandaoni na real identity kwenye maoni ubunge chali.
 
Last edited by a moderator:
Hoja zako ni too general. Ndo maana Dr Slaa akakuambia Shut Up Yeriko. Mpaka ukapigwa ban ya wiki. Sasa umeanza kuandika mambo ambayo hayana uhalisia

Mkuki kwa nguruwe wewe Makonda si Ndiyo bingwa wa kutengeneza story za Uzushi vikao feki, Dr slaa ni Nani kwa sasa? Dr Slaa umemnunua kwa Pesa za Gadafi toka kwa membe sasa Hana thamani tena Watanzania wamemjua kuwa ni wale wale ndumilakuwili hakuna wa kuhangaika naye isipokuwa aludishe Pesa za chama million 100 alizojikopesha Kienyeji tu.
 
Kama yeriko na wewe ndio una akili hizo za kuandika hayo uliyoandika hata huo mfumo mpya mnaoutaka lazima ukupodium ili nchi iende.
 
Ndio maana hatutamchagua Lowassa. Tunamfahamu vema, pia tulishirikiana kuponda humu humu. Why leo ageuke lulu? Dhambi ya ulaghai na unafiki wa kisiasa itawamalizeni.

Hautamchagua wewe peke yako wengi watamchagua tu, dhambi na unafiki vipo huko huko kwenu ccm ndiyo maana mnakatana majina kienyeji enyeji
 
Yericko Nyerere

Wakati Brazil alipokuwa anacheza na Taifa stars mwaka 2010 pale Dar main stadium,mashabiki wengi wa Tanzania walijikuta wakiishangilia Brazil kwa sababu walijua kuwa kwa vyovyote itashinda.Katika kushangilia huko,alitokea shabiki mmoja ambaye alienda kumkumbatia mchezaji wa Brasil KAKA kwa sababu tu anamfaham.MTOA Uzi juu bwana Yericko Nyerere hana tofauti na yule shabiki, wa taifa.
 
Last edited by a moderator:
asante sana kwa kutufumbua macho huyu jamaa hafai hata kidogo!
 
YERICKO tuendelee kuwaamini viongozi wenu wanaozusha maneno kila siku ya uongo?
uko wapi ushahidi wa LOWASSA ni fisadi ambao viongozi wako walituaminisha? kama hamna huo ushahidi tutaamini hata haya maandiko yako hayana maana hata kidogo

viongozi wa CDM hamuaminiki tena mnayoyanena siyo yakweli kabisa hamna ushahidi wowote mnapaswa kupuuzwa.
 
bw Yericko,
ingekuwa vizuri zaid ukitumia nafasi yako kutuleza kwanini tuiamini chadema wakati mlituaminisha kwamba LOWASSA ni fisadi na alihusika na RICHMOND alafu leo hii mnatuambia ni msafi na muadilifu??

Kama mmeyakana maneno yenu mchana kweupe, Je mkiingia ikulu SI MTATUSALITI ALFAJIRI NA MAPEMA??

Mwisho naomba niulize LIST OF SHAME NI ILE ILE AU IMEKUWA EDITED???

Hahaha.....lol watakuwa wamebadilisha bro au haipo kabisa maana wanawapokea wale waliowaita mafisadi hatari. Itatoka wapi ili hali yeyote ambaye walisema in fisadi hatari akitaka kuhamia kwao wanampokea? No way, I suppose there isn't such a thing so called list of shame boss .
 
mkuu muache yericko maana kuwa mtuma ni kitu kibaya, yeye mtu ambaye amekuwa bubu miaka saba kwake ni bora kuriko mtu ambaye miaka yote amekuwa akiwatumikia watanzania,

hata kama ni siasa za siasa na utumwa wa kununuliwa hakuna riziki inayopatikana nje ya haki ikawa na baraka,
nafikiri angetwambia ububu wa mtu wake miaka saba kwa nini kuriko upuuzi anaouleta kuwapofusha watanzania,

Exactly
 
Mimi nahisi sote tunatakiwa kubadilika ndo maana hata BIBLIA inasema wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa MUNGU,kwahiyo tunatamani kila mtu afuate kanuni na taratibu za nchi,je?Lowasa hatakiwi kubadilika, Mwalimu alisema "watanzania wanataka mabadiliko wasipoyapata,wasipoyaona ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm ,je!LOWASA sio mtanzania atafute mabadiliko nje ya ccm?nijibu tafadhali
 
Back
Top Bottom