Elections 2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

Elections 2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

Mungu gani aliyekuambia hivyo??? Au unaongea tu??? Unamjua Mungu wewe?

Atakua ameambiwa na mungu wa yericko na maika wa mbowe...mzee wa gear za angani. Mwisho wa siku watafahamu gharama ya hii homa ya mabaliko...it will be too late.
 
huyu yericho anastaajabisha. anatafuta ubaya wa magufuli kwa darubini wakati watu wanaona uzuri wake kwa macho. ni wazi ametumwa kwa ujira.

Hao wasio uona ubaya wa Maghufuli watakuwa wamevaa miwani ya mbao.

1. Wawe waangazi zaidi na washughulishe vichwa vyao kufahamu magnitude ya uuzwaji wa nyumba za serikali.

(a) Kuna uhamishaji wa raslimali za umma kutoka mikononi mwa (serikali) na kwenda ktk miliki za watu fulani wachache sana na labda ndugu na jamaa za watoa maamuzi nyumba kuuzwa.

(b) Hapakuwepo kufikiria thamani ya Ardhi pale nyumba ziliko (Kama Osterbay, Ocean Road, Mikocheni, Upanga, nk) Huko kwa maisha yote ardhi ya hapo itakuwa ikipanda kwa thamani kubwa sana na kamwe umma hautakaa upate hapo ardhi tena. Uwezo wa kujengea watumishi nyumba kwa haraka na kwa maeneo karibu na kazi ili kwamba watumishi hata bila kutumia magari wafike sehemu zao za kazi bila muda kuharibika.

(c) Kuzingatia kuwa kuna watumishi waliishi katika hizo nyumba miaka nenda rudi wakizitunza sasa wamestaafu na aidha hawana nyumba au wana nyumba hafifu.

2. Ni viwango na vyanzo vya pesa ya kujenga barabara. Wamejenga barabara kwa viwango ambavyo barabara itatakiwa kujengwa baada ya muda mfupi. Wakati wanajenga wamekopa kutoka vyanzo vingi kwa ruksa ya Uwezo wa kukopesheka.

Huo Uwezo kwa kukopa sana wameupunguza na wakijua kuwa muda wao hawapo barabara zitakuwa zimeharibika sana na zinahitaji pesa nyingi kukarabatiwa pesa ambazo tutakuwa hatuna kwa kuwa tutakuwa tunalipa madeni na tumemaliza Uwezo wa kukopa tena. Tutashindwa kuzikarabati na yatakuwa ni mashimo ndani ya Barabara za lami ambayo ni mabaya zaidi kwa mashimo ndani ya barabara za udongo.

(b) Kwa nini wahandisi wa barabara wana utajiri mkubwa kuliko vipato vyao kwa mbali kuna siri gani kwenye barabara?
Nikiangalia hayo, nikachanganya na ubabe wa huyu Makufuli wenu, nashindwa kuona usafi wake. Angekuwa hakusoma tungesema elimu inamponza. Sasa kwa nini mambo hayafanani na elimu yake?

Bila shaka yanayofanyika yanafanyika kwa makusudi kwa dhamira isiyo safi kwa sisi jamii. Maghufuri ni mbovu kama wabovu wengine. Amekiachia kizazi chetu madhara makubwa sana.
 
Yeriko kwa kutunga uongo na kuongea usiyoyajua,au unadhani yako hatuyafahamu? Sema Su hapa niyamwage
 
bado hujatueleza kuhusu bilal unarukia mengine nafikiri sheria ya mtandaoni ikianza wewe utakuwa mwathirika wa kwanza

halaf kinavojifanyaga kuongea maneno kimsamiati kama kianafalsafa flani huwez kushtukia kama ni kip.umbavu kilichokubuhu,,, kwanza kina kesi kubwa ya utap.eli hiki kidingi
 
Jina LA kati likibadilika na Kuwa "Soda" nitampa kura
 
Ndg nadhani ni wakati pia wa kutamgaza elimu ya wazazi wako na kama ni waadilifu basi nivema wao ndo waenda ikulu, uoni kwamba mambo yatakaa poa, kuliko ww kuleta habr za uongo uongo kwa watu makini!
 
Dogo anaroho ngumu, kasambaza uongo wa Dr. Slaa na akapewa makali live bado anakuja kuzusha mengina ya watu. Si kuna kipindi mlisema ni mfanyabiashara mkubwa?
 
MKUU NAWASHANGAA HAWA JAMAA WANASEMA SIASA SIO VITA WALA UGONVI WALA UNAFIKI LKN MTU AMBAYE ANA AKILI TIMAMU ETI ANAPONDa KAZI ALIYOIFANYA MAGUFULI KATIKA TAIFA HILI ,KWA MWENYE AKILI NI WENDAWAZIMU, UNAMSHAngilia mtu ambaye amekuwa kimia pasipo kujadirihoja yeyote ya maslai ya taifa ndani ya miaka 7 na kumchafua magufuli,ni bora kuchukua mda kumsifia lowasa kwa yale aliyoyafa kuriko uchafu wao,
Hivi wewe una akili jadili hoja,tafakari, chambua kisha sema neno acha jaziba utendaji unauona wewe
 
najua yericko, tatizo ni umalaya wa siasa na kukubali kutumika hata kama unajua ukweli wa kitu na kujitia wendawazimu kwa siasa chafu,
sitaki kusema mengi ila jiulize maswali haya
,unapomkashi magufuli kiasi hiki kwa sababu ya kutumika tu
1,wewe umelifanya nini taifa hili kwa umri wako kiasi cha kuona alichokifanya magufuli ni upuuzi kiasi hiki?
2,kushidwa kwa magufuli unakupimaje ili hali mgombea wako ameongoza wizara ya maji hadi anatoka baro maji yalikuwa janga la taifa?
miaka saba ya ukimia unawezaje kulinganisha na magufuli kwa kile alichokifanya japo macho yenu ya kipofu wa siasa hamuyaoni hayo bali miaka saba ya ububu ndo shangwe kwenu,
ni aibu kwa siasa za naman hii,


Well said mkuu...
 
yeriko kichwa chake huwa ni kama cha kondoo! kuna mdudu flan kwenye ubongo akitembea ndo anaandika hizi pumba
 
yericko nilikuwa nakuona bonge la mjanja kumbe na wewe ni mp...z. kama wale wapuuzi wengine tu,unastahili kujivua hilo jina la pili maana unamdhalilisha baba wa taifa! eti nyooo madawa yanapita airport kwani hakuna wizara za uchukuzi au ile ya mambo ya nje,kwani magufuli kaingiaje hapo?? go to hell...ptuuuuu!
 
Hivi we jamaa utaacha lini kusema uwongo? Kuwa makini tarehe 1 September sheria inaanza kutumika unaweza kuingia kwenye historia ya mtanzania wa kwanza kwenda jela kwa makosa ya sheria za mitandao.
 
Hivi kweli Magufuli alikuwa na ugonjwa wa kuanguka kff?Maana kuna mtu aliniacha njia panda.
 
Yericco huna point yoyote hapo,usiwe mnafiki mwana mapambano wa ukweli DR SLAA anajua ukweli ndo mana amekaa pemben n siasa unafki za MBOWE.we endelea kutumika ikifika nov utahama nchii.
 
Back
Top Bottom