Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
Yericko Nyerere kuanzia September 01 Jela itakua unamvizia sana
Tangu lini TAA na ATCL zimekuwa chini ya Wizara ya Ujenzi?
Kwani kuna hoja gani umeandika? Hapa hatujadili majungu
mkuu muache yericko maana kuwa mtuma ni kitu kibaya, yeye mtu ambaye amekuwa bubu miaka saba kwake ni bora kuriko mtu ambaye miaka yote amekuwa akiwatumikia watanzania,
hata kama ni siasa za siasa na utumwa wa kununuliwa hakuna riziki inayopatikana nje ya haki ikawa na baraka,
nafikiri angetwambia ububu wa mtu wake miaka saba kwa nini kuriko upuuzi anaouleta kuwapofusha watanzania,
mvua za kununua, barabara tatu, mkataba wa haraka wa richmond uliosainiwa hotelini ulaya, kutoka fedha za jimbo mil 40 hadi mili 100 +, kukaa kimya bungeni ila akipata nafasi anasema anamaamuzi magumu, maamuzi magumu uogopa kuvunja mkataba cse katibu amesema wakati wewe ni waziri mkuu, kukaa jimboni zaidi ya miaka 20 wakati kila siku tunawaona masai wanakimbia monduli kuja kuwa walinzi dar huku wewe ukijinadi kuwa unauchukia umaskini, kugawa mamilioni misikitini na kanisani huku ukiongelea ukosefu wa ajira, kununua boda boda mikutanoni n.k bado kuna mijinga mijinga anaamini huyo mtu ataleta mabadiliko hii ni dhihaka!:usa2:
Tunahitaji majibu ya kina....
ATCL iko wapi??
Hauna tofauti na wafu waliolala makaburini....
Akili yako haiwezi fikiri zaidi ya kibaba cha unga!!!
Ni lini ATCL imewahi kuwa chini ya Wizara ya Ujenzi?..
Na je ni lini Magufuli amewahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na uchukuzi/Waziri wa Uchukuzi?...
Sijataka kufahamu uratibu wa ATCL upo chini ya wizara gani....
Nataka kufahamu ATCL imekwenda wapi??
mvua za kununua, barabara tatu, mkataba wa haraka wa richmond uliosainiwa hotelini ulaya, kutoka fedha za jimbo mil 40 hadi mili 100 +, kukaa kimya bungeni ila akipata nafasi anasema anamaamuzi magumu, maamuzi magumu uogopa kuvunja mkataba cse katibu amesema wakati wewe ni waziri mkuu, kukaa jimboni zaidi ya miaka 20 wakati kila siku tunawaona masai wanakimbia monduli kuja kuwa walinzi dar huku wewe ukijinadi kuwa unauchukia umaskini, kugawa mamilioni misikitini na kanisani huku ukiongelea ukosefu wa ajira, kununua boda boda mikutanoni n.k bado kuna mijinga mijinga anaamini huyo mtu ataleta mabadiliko hii ni dhihaka!:usa2:
najua nafsi inakusuta tu kwa kuwa mnafiki hata mbele za mungu kama kweli wewe ni mkritu kweli unatumia karama aliyokupa mungu kumtukana mtu ambaye kwa miaka 10 amefanya kazi ya heshima katika nchi hii?
Fany siasa ya hki ambyo inabaraka hata kwa mungu achana na majitaka yako mungu aliyempaga atakuawa maana hakuna ambaye anaweza kupinga mpango wa mungu,
chukua ushauri huu utakusaidi,