Elections 2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!


Ni vigumu kumchafua magufuli kuliko unavyofikiri.subiri kampeni zianze ndo utajua.kwa taarifa yako magufuli ni mnyantuzu na tatizo lako umejipa kazi za kumjua kila MTU nchi hii na ndo kinachokufanya kutungatunga mambo usiyoyafahamu.
 
Yericko Nyerere

Kwanini unapenda sana kupotosha? Haya ngoja nikusahihishe Bw.Magufuli hajasomea Uhandisi bali amesomea Kemia ni Mwanasayansi sasa kama hilo tu umelidanganya kwa nini tuamini mengine yote uliyoyaandika?

Huyu mtoto ni mpumbavu sijawahi kuona.eti magufuli mnyantuzu.hivi anamjua huyu kweli?Mara mhandisi wa majengo!_mtoto anajiandikia tu utadhani mwehu.
 
Last edited by a moderator:

Ni wapuuzi tu wanaoweza kuunga mkono ujinga wa lowasa
 
Jerichwakati umenena ukweli mtupu kwa kuongezea Makufuli ni mbinafsi amejenga trafic light chato ambako trafick count ni Gari moja kwa SAA moja

makufuli ni MTU wa kinyongo na visasi.. Ni MTU wa chuki .. Anasumbuliwa sana na inferiority complex,nimegundua ni kuwa ametokea kwenye maisha ya shida utotoni, kudhiihirisha ubinafsi wake ni wakati divert barabara ya biharamlo ika pita chato,

makufuli kwa ubinafsi wake amelilazimisha jimbo LA biharamulo limegwe ili ipatikane chato. Tunajiuliza watu mbona makufuli hawapendi nduguze wa biharamulo na kagera kwa ujumla walimkosea mini?

Juzi kati amelazimisha kuanzisha mkoa wake wa geita ili kuwakimbia nduguze wa kagera.,

hata wakati akiwa mbunge, naibu waziri , na waziri kamili hakuwahi kushirikiana na viongozi wa mkoa wa kagera, hakuwahi hata kuudhulia vikao vya mkoani, kwa sababu ya chuki, jeuri,kinyongo na visasI.nadhani hatufai kama taifa
 


Kabisa Mkuu, CCM ina madudu yake mengi tu lakini kwa huu UNAFIKI ambao upinzani wanauonyesha ni dhahiri shahiri hawafai wala kuaminika kuingia ikulu.
 
Kabisa Mkuu, CCM ina madudu yake mengi tu lakini kwa huu UNAFIKI ambao upinzani wanauonyesha ni dhahiri shahiri hawafai wala kuaminika kuingia ikulu.

Kuongoza chi ni zaidiya kusimamia wakandarasi wa paraapara! ayo maghorofa Magufuli anayomiliki Dar na mikoani kayatoa wapi?
 

Aisee yaan umetafuta kwa tochi umeungaunga tu visa yaan yaan kutokuudhulia vikao n kinyongo,ujeuri? Hili tukimuuliza pombe analo jibu rahisi sana
 
Kijana mkerewe halisi

Hebu jisome vizuri hapa

Ni vigumu kumchafua magufuli kuliko unavyofikiri.subiri kampeni zianze ndo utajua.kwa taarifa yako magufuli ni mnyantuzu na tatizo lako umejipa kazi za kumjua kila MTU nchi hii na ndo kinachokufanya kutungatunga mambo usiyoyafahamu.
 
Last edited by a moderator:

Naaaam naaam mkuu, umenena,
 

Wewe ni mpumbavu kweli.ukiwa na chuki punguza kidogo kushirikisha ubongo wako.hivi magufuli alichangia vipi kugawanywa kwa jimbo na kupatikana jimbo la chato?magufuli aligombea jimbo hilo mwaka 1995 baada ya kugawanywa jimbo LA bihaharamulo sasa hapo alihusika vipi?alikuwa na ubabe gani wakati huo akiwa mtumishi pale Mwanza?mtamchafua kwa chuki za kipumbavu lakini hamtashinda.
 
Sijamuona mtu akitoa maelezo ya mafanikio kwa Makufuli kwa idara nyingine zilizoainishwa Na mleta Mazda

Hebu tokeni kwenye Barbara Na mtupe sifa zimazoonekana katika idara zingine chini ya wizara alizoshika

Cc Lizaboni
 
Last edited by a moderator:


Hili boga maji kabisa, nani kakwamhia Magufuli aliwahi kuwa Waziri kusimamia TPA? au unaandika tu!
 

Huna tofauti na Fred Mpendazoe,mla matapishi usie na haya,unaubadilisha mchana kuwa usiku in a second! wabongo sio wajinga kiasi hicho nyie...wanawasubiri kuwasulubu oktoba,nyie endeleeni kujitoa fahamu tu.we are watching you guys,muda ukifika tutaongea kwa sauti kuu kama nguvu ya umma.



 

a cha ubabaishaji soma ripoti ya Richmond mwakiembe alivyomaliza ujue hapo ndipo ccm walivuana nguo nanukuu "mheshimiwa spika na binge zima hii Ni nusu tu ya ripoti kwani tukimaliza yote serikali nzima itaanguka"
 
Yeriko

wewe utakuwa na shida kuliko nilivyowahi Kufikiri.
Dr. Slaa alikuambia shut up na ukapigwa ban. Naona bado hujasikia.
Haya Tarehe 1 Sept imekaribia.

All the best.
Queen Esther
 


Mkuu malizia kupost fasta fasta ----- wako....ile sheria ikianza tutakuletea vaseline gerezani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…