Nina Matarajio Makubwa Sana Nae Na Namwomba Tu Asituangushe SISI TULIOKUBALI KUTUKANWA, KUDHIHIHAKIWA, KUKEJELIWA Na KUDHARAULIWA Juu Yake Lakini Bado TUKAWA HATUJAKATA Tamaa Dhidi Yake Na Binafsi NIMEATHIRIKA Mno Na Kumuunga Kwangu Mkono Dr. Magufuli ILA Sitaki FADHILA YOYOTE Kwake Zaidi Ya KUMTAKA Rais Wetu Ajaye ATUTOE WATANZANIA Hapa Tulipo Na Atupeleke Katika Mafanikio Na Nchi Yetu IPAMBANE Na MATATIZO Makubwa Ya UMASIKINI, MAGONJWA, MIUNDO MBINU, UDINI Na UKABILA Na KIKUBWA Rais Wetu Ajaye Dr. John Pombe Magufuli AFANYE KILA AWEZALO Na ATUUNGANISHE WATANZANIA Na Namshauri Avae Viatu Vya WATANGULIZI Wake Wote ILA AFUATE Miiko Ya Chama Cha Mapinduzi Kuwa Ni Chama Cha WAKULIMA Na WAFANYAKAZI Na Nitazidi Kumuombea Kwa Mwenyezi Mungu AONGOZE Kwa MAFANIKIO. Nina Furaha ILIYO Ya Ajabu Na Nasubiri Tu Kuvuliwa KOFIA Na Kupigiwa SALUTE Na Wale Wote Waliokuwa WAKINIBEZA Humu. NIMEFANIKIWA KULIKOTUKUKA Kwa 100% Na USHINDI Wa Dr. Magufuli UMEKUWA NI FIMBO Yangu NZURI Kwa Wale Wote WALIOKUWA WAKINIPUUZA, Akhsante Magufuli.