Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

... Kumekucha, Tunawasubiri Ukawa. Dr Slaa V Magufuli
 
Kura zote zilizopigwa = 2,422
Kura zilizoharibika = 6
Kura halali =2,416
Magufuli = 2,104 (87.1 %)
Migiro = 59 (2.4 %)
Amina = 253 (10.5 %)
 

Hapana. JK ana uzoefu wa kuwatosa watu wanaojipendekeza.
 
Hongera Magufuli hatukutegemea kama ungefika katika nafasi hii,kazi ni kwako kuiunganisha chama kuwa wamoja kwa kuvunja makundi ndani ya chama chako.....
 
Sasa atakua MTU maarufu zaidi Bongo

Zama za JK zimekwishaaa
 

Eti kadoda11 Freelancer Edobeny La Brujita Ntuzu hivi Magufuli ni msukuma halisi kweli?! Maana...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…