Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Huo ndo ukweli.....Kamwe hawezi kua bora kwa kua zao la kiwanda chakavu,kinachoongoza kuzalisha bidhaaa feki kila wakati.Tutakua waajabu wateja kukiamini kiwanda hiki,kuwa sasa kinazalisha bidhaa bora.Ndio!!!!!! ni kiwanda kile kile miaka hamsini imepita,Kilipendwa hapo mwanzo kwa bidhaa zake.Wateja tulijitokeza kwa wingi hata kununua na kusikiliza matangazo ya bidhaa zake.Leo hii hatuendi mpaka kitoe magari yatubebe na hata chakula tuleee pia.....Ndo hicho hicho,bidhaa feki kila kukicha.MABEHEWA FEKI,BOAT YA BAGAMOYO FEKI,NDEGE YA RAISI FEKI,RADA YA JESHI FEKI ,BALA BALA FEKI,MAJENGO FEKI NA MIKATABA FEKI ni baadhi ya bidhaa zake.

Jina la kiwanda halikuwahi kubadilika,nembo yake na hata kanuni zake.Huwezi kua bora Dr kwa kuzalishwa na kiwanda chakavu.Fungeni mkikalabati kiwanda chenu na hata mkibadilishe jina na majengo.Itasaidia wateja kuziamini bidhaa zake tena.Huwezi kuwa bora kamwe,watu wanataka kiwanda kipya na bidhaa mpya.Wako tayari kutojari radha,upya utasaidia.


Hakika huwezi kuwa bora

Its very true
 
Lowassa Wako Ana Mara 100 Ya Hivyo Vya Rais Dr. John Pombe Magufuli. Wivu Tu Na Chuki Zinakusumbua! Wewe Ungepewa Cheo Usingeiba? Acha UNAFIKI Na KUTUMIKA Kama Karatasi Ya Msalani. Tanzania INAMUHITAJI Magafuli Na HAIMTAKI Lowassa.

Woote mantanange hivi nyie machalii ni nani aliyewaloga ? Chama ni taasisi haiongozwi na mtu mmoja utake usitake kwa siasa hizi za ccm lowassa kupewa cheo sitashangaa manake mfumo wa ccm kwa sasa upo kiwiziwizi na ndio maana lile azimio la Arusha hawataki hata kuliona huyo magufuli unaomwona yupo njema jiulize kwenye katiba si ndio hao hao waliotuchinjia baharini ccm my foot.
 
Atakuwa bora sana. Wewe unalako jambo tu. Watu chakavu wamewekwa pembeni na kuchukuliwa wasafi akina Dr Magufuri.
 
Nina Matarajio Makubwa Sana Nae Na Namwomba Tu Asituangushe SISI TULIOKUBALI KUTUKANWA, KUDHIHIHAKIWA, KUKEJELIWA Na KUDHARAULIWA Juu Yake Lakini Bado TUKAWA HATUJAKATA Tamaa Dhidi Yake Na Binafsi NIMEATHIRIKA Mno Na Kumuunga Kwangu Mkono Dr. Magufuli ILA Sitaki FADHILA YOYOTE Kwake Zaidi Ya KUMTAKA Rais Wetu Ajaye ATUTOE WATANZANIA Hapa Tulipo Na Atupeleke Katika Mafanikio Na Nchi Yetu IPAMBANE Na MATATIZO Makubwa Ya UMASIKINI, MAGONJWA, MIUNDO MBINU, UDINI Na UKABILA Na KIKUBWA Rais Wetu Ajaye Dr. John Pombe Magufuli AFANYE KILA AWEZALO Na ATUUNGANISHE WATANZANIA Na Namshauri Avae Viatu Vya WATANGULIZI Wake Wote ILA AFUATE Miiko Ya Chama Cha Mapinduzi Kuwa Ni Chama Cha WAKULIMA Na WAFANYAKAZI Na Nitazidi Kumuombea Kwa Mwenyezi Mungu AONGOZE Kwa MAFANIKIO. Nina Furaha ILIYO Ya Ajabu Na Nasubiri Tu Kuvuliwa KOFIA Na Kupigiwa SALUTE Na Wale Wote Waliokuwa WAKINIBEZA Humu. NIMEFANIKIWA KULIKOTUKUKA Kwa 100% Na USHINDI Wa Dr. Magufuli UMEKUWA NI FIMBO Yangu NZURI Kwa Wale Wote WALIOKUWA WAKINIPUUZA, Akhsante Magufuli.

mkuu hata mimi nimefanya kazi kubwa humu jf,na nilimuomba mungu atupe mtu wakutusaidia taifa limeyumba sikujali chama bali nilifikiria taifa kwanza na mtu anayetakiwa mungu ibari tanzania ,
tumempata nyerere mwingine nawapongeza walimu ili waweze kupitia magufuli kulitoa taifa hili mahali lilipo kama walivyolitoa utumwani

 
Atakuwa bora sana. Wewe unalako jambo tu. Watu chakavu wamewekwa pembeni na kuchukuliwa wasafi akina Dr Magufuri.

mkuu nawasikitikia baraza la mawaziri wake na wale waliozoea kulala ofisini badara ya kuwatumikia watanzania
 
Hongera sana John Pombe Magufuli. Hakuna aliyekutegemea kufika hapo. Ila siasa za makundi zimefanya chama kutafakari upya na kukuamini. Naamini kuwa hutatuangusha

Naomba nikutambue Lizaboni kama mtu ambaye muda wote toka kitambo ulisimama kwa Magufuli
 
Mgombea Urais CCM 2015 ni Magufuli kura 2104 out of 2422. kura zilizoharibika 6. Kura halali 2416.
Source: TBC live
 
“…hatua ya kwanza itakuwa kumweka mgombea ambaye hakubaliki ndani ya chama na hakubaliki nje ya chama. Itakuwa ni kura ya hasira.”
Hiyo ni kauli ya Mzee-Kingunge Ngombale-Mwiru
-Mwanasiasa mkongwe, na kada wa CCM.

My take:

Dk.John Pombe Magufuli
-anaweza kufurahia kama vile yeye anakubalika sana, lakini wanaCCM wengi walichokifanya ni kitu kinaitwa 'kura za maruhani', Magufuli amepata ushindi wa makusudi makubwa dhidi ya chaguo la viongozi-Bernard Membe
, huku wanaCCM wakifahamu kabisa kuwa-John Pombe Magufuli hana uwezo wa kuwa mwenyekiti wao, na hana uwezo wa kuwa Rais wa JMT kabisaaaaa, sasa watafanyaje? alimradi chama kianguke, kife, wakose wote, na ndivyo itakavyokuwa, kama alivyosema mzee Kingunge.

UKAWA hatufurahii kuvuja kwa pakacha, kwani tulijiandaa vema, na wananchi ndilo tumaini lao, tupo imara, hata CCM wangeweka malaika, ushindi ulikuwa ni 'Guaranteed'. Lakini kwa sasa, nawaambia wanaCCM ambao wameshuhudia kuwa CCM hakuna demokrasia, wameshuhudia kuwa uongozi CCM unanunuliwa, wameshuhudia kuwa RUSHWA nyumbani kwake ni CCM, pamoja na maovu yote, wasikubali kufa kisabuni, waje waungane na wazalendo wa kweli UKAWA, tuijenge nchi kwa pamoja, bila hila.

Chademaaa...Vemaaaa:-
Hakii... Sawaaaaaa:-
NCCR-Mageuziiiiii:-
NLD.... Moto moto motoooooo

Mungu wabariki UKAWA, 2015 Nchi inajengwa kizalendo.

Endelea kujidanganya
 
Amebaki Magufuli,wanawake wote wanne sasa wametoka

Sasa mnaweza kuona jinsi ilivyo ngumu kwa nchi hii kuongozwa na raisi mwanamke.Pamoja na wingi wao kuwazidi wanaume ila bado mwanamke kumpa mwanamke mwenzie kura pamoja na ngonjera zote utakazozisikia kwenye vyombo vya habari kuwa wanawake tunapendana bado uwezekano huo ni mdogo mno.Utaratibu ni kuwa sa sa Amina atakuwa makamu wa raisi/mgombea mwenza. Migiro watamtafutia nafasi serikalini wakiingia madarakani.
 
Back
Top Bottom