Shaban Dede
Member
- May 29, 2015
- 42
- 30
Huo ndo ukweli.....Kamwe hawezi kua bora kwa kua zao la kiwanda chakavu,kinachoongoza kuzalisha bidhaaa feki kila wakati.Tutakua waajabu wateja kukiamini kiwanda hiki,kuwa sasa kinazalisha bidhaa bora.Ndio!!!!!! ni kiwanda kile kile miaka hamsini imepita,Kilipendwa hapo mwanzo kwa bidhaa zake.Wateja tulijitokeza kwa wingi hata kununua na kusikiliza matangazo ya bidhaa zake.Leo hii hatuendi mpaka kitoe magari yatubebe na hata chakula tuleee pia.....Ndo hicho hicho,bidhaa feki kila kukicha.MABEHEWA FEKI,BOAT YA BAGAMOYO FEKI,NDEGE YA RAISI FEKI,RADA YA JESHI FEKI ,BALA BALA FEKI,MAJENGO FEKI NA MIKATABA FEKI ni baadhi ya bidhaa zake.
Jina la kiwanda halikuwahi kubadilika,nembo yake na hata kanuni zake.Huwezi kua bora Dr kwa kuzalishwa na kiwanda chakavu.Fungeni mkikalabati kiwanda chenu na hata mkibadilishe jina na majengo.Itasaidia wateja kuziamini bidhaa zake tena.Huwezi kuwa bora kamwe,watu wanataka kiwanda kipya na bidhaa mpya.Wako tayari kutojari radha,upya utasaidia.
Hakika huwezi kuwa bora
Its very true