Preposition
Member
- Jul 28, 2013
- 7
- 1
Haya kazi kwetu, mmejiandikisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa magufuli atakuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, napendekeza mgombea mwenza awe Amina Salum ili kubalance bara na visiwani, na pia suala la ukristo na uislamu. Alafu Lowasa awe waziri mkuu. Ukizingatia, Magufuli amebebwa na kura za Lowasa baada ya team Lowasa kumpigia Magufuli kama namna ya kumkomoa Membe.
Mnaonaje wadau huu mchanganuo? Karibuni tujadili
Hii imekaa poa
Hiri swara ra mateam team si rimeisha jana.
Kwa kuwa magufuli atakuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, napendekeza mgombea mwenza awe Amina Salum ili kubalance bara na visiwani, na pia suala la ukristo na uislamu. Alafu Lowasa awe waziri mkuu. Ukizingatia, Magufuli amebebwa na kura za Lowasa baada ya team Lowasa kumpigia Magufuli kama namna ya kumkomoa Membe.
Mnaonaje wadau huu mchanganuo? Karibuni tujadili
Ndo kesha kuwa rais huyo
Flag bearer of Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania kuwania kiti cha uraisi tarehe 25 October 2015
Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Amezaliwa - 29 October 1959
Constituent: Chato
Current -Minister of Works
Kazi yake kubwa sasa ni kuwania kiti cha uraisi mwaka 2015
Mungu awe nae.
Karibuni kumfurahia, kumpa ushauri na mengineyo ili apae na kupaaView attachment 267559
Mimi siyo ccm na wala sitarajii kuwapa kura yangu. Lakini Waziri mkuu awe mwakyembe
Ni tunaotaka kumuongelea uteam ni ushabiki au kumkubali
Amefurahisha wengi hasa jana alipotoa speech yake.