Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Ndalama a.k.a pesa, ndugu yangu elimu haina kundi. Inagusa watu wote, usipojiendeleza wewe mwanao au mjukuu wako atajiendeleza, hata asiyekuwa ndugu yako akisoma udaktari atakutibu akiwa mhandisi atajenga daraja. Imeeleweka.
Acheni ujinga. Akichaguliwa anakuwa amechaguliwa Rais wa nchi na silo Rais wa makundi Kama kundi la Wasafi au Akudo
 
magufuli ni mwepesi kuliko pamba !
 
Flag bearer of Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania kuwania kiti cha uraisi tarehe 25 October 2015

Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Amezaliwa - 29 October 1959
Constituent: Chato
Current -Minister of Works

Kazi yake kubwa sasa ni kuwania kiti cha uraisi mwaka 2015

Mungu awe nae.

Karibuni kumfurahia, kumpa ushauri na mengineyo ili apae na kupaa
 
Kwa kuwa magufuli atakuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, napendekeza mgombea mwenza awe Amina Salum ili kubalance bara na visiwani, na pia suala la ukristo na uislamu. Alafu Lowasa awe waziri mkuu. Ukizingatia, Magufuli amebebwa na kura za Lowasa baada ya team Lowasa kumpigia Magufuli kama namna ya kumkomoa Membe.

Mnaonaje wadau huu mchanganuo? Karibuni tujadili
 
Huyo amina mmempa hizo asilimia kwa sbb ya uzanzibar ila kiukweli asha-rose ni zaidi yake. Anyway sionagi makamu wa Rais wanachofanya hasa wapo wapo tu!!!
 
niliwahi kufikiriaaga haya matokeo ila nikajipinga mwenyewe kwa kujipa jibu la HAIWEZEKANI.
 

magufuli hana team, ni kimya kimya tu
 
Team ya nini tena, hizo siasa za team ndizo zilizowaliza jana.
 
wengine wapo busy kuhakikisha makundi yanaondoka wengine ndio mnataka kuyatengeneza...

Kweli nchi yetu imegeuka kuwa ya wapambe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…