Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you are 'following' whatever i post connecting to what i said before.., unajichosha bure tu.., nilichokiandika mwezi uliopita sikumbuki chote, na sina tabia ya kufukunyu nyuma.
Usinipangie lugha ya kuongea ndugu, vipi?i say whatever i want, and i mean whatever i want, vipi yakhe?
Hapana, umekosea.
Influence ya Lowassa iliishia nje ya vikao vya chama.
JK kamuweka mtu wake, aliyemuongezea ulinzi na kumpa right hand man mwezi mzima. wagombea wote wa-5 wa
CCM jana walikuwa watuwa JK hand picked.
Poleni sana kwa kuchezewa shere na JK.
Mimi kwa mawazo yangu nafikiria rais atatoka CCM, basi tuweke nguvu kubwa tupate wabunge wengi wa UKAWA ili serikali isilale.Ni maoni yangu
Hebu angalia hii picha vizuri alafu uone jinsi 'wapambe tata' walivyokwisha anza kumnyemelea.Magufuli asipoingiliwa katika utendaji na waliomtuma, basi tutashuhudia rais muwajibikaji katika historia ya Tanzania...
Ni wakati wa Tanzania mpya kuamka sasa na kusonga mbele kuyaelekea maendeleo...
Shime Watanzania

Nakuunga mkono kwa asilimia zote! siamini kabisa kama Magufuli anaweza kubishia chochote toka kwa Kikwete hata baada ya kuwa Rais. Siamini kama anahuo ubavu.
Matokeo ya kura za wagombea kutokana na Mkutano Mkuu ni :
Mhe. John Magufulu 87%,
Balozi Amina Ali 10% na
Dk. Asha Migiro 3%
![]()
![]()
Mkuu,
JK kamuweka mtu wake, aliyemuongezea ulinzi na kumpa right hand man mwezi mzima. wagombea wote wa-5 wa CCM jana walikuwa watumwa JK hand picked.
Unadhani vile vikao vya CC vilivyokuwa vinafanyika Ikulu vilikuwa vinafanya kazi gani.
Hahahahaaa kumbe na yeye alikwenda
Nobody follows anyone in JF, this is not Twitter..in Twitter FYI there is 'following'
That's pure misconception..it must be someone else you are talking about..
Hivi unamjua magufuli au ana misimamo yake.
Kinachonisikitisha sio Magufuli kuwa rais, bali Jk and co kuendelea kuishika ikulu na CCM.Hii ni worst case scenario.
Huyu ni punda wa JK.Tena punda mtiifu asiyejiuliza mara mbili kutekeleza maagizo.
Sijui tuitoeje nchi hii from these dirty hands! UKAWA nanyi hamueleweki aaargh!
Magufuli ni mtiifu sana kwa JK.....hapo kashinda JK....tano bora yote ilikuwa yake......