Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataman uliyoongea yangetimia natamani tatizo watu wengine wanamapepo kichwani hawataelewa zaidi sana watabuni mbinu nyingine za kupiga pesoWale missiontown anzeni kutafuta fursa mpya maana 'kupiga deal' kumefikia tamati. Watumishi wa umma badilikeni 'business as usual' ndio bye bye. Wafanyabiashara jiandaeni kulipakodi kwa mujibu wa sheria 'mambo ya hongo' kwishney. Na kwa wachapazi hii ni fursa ya kula 'matunda mema' ya jasho lao. Ahsante na j'pili njema!
Wale missiontown anzeni kutafuta fursa mpya maana 'kupiga deal' kumefikia tamati. Watumishi wa umma badilikeni 'business as usual' ndio bye bye. Wafanyabiashara jiandaeni kulipakodi kwa mujibu wa sheria 'mambo ya hongo' kwishney. Na kwa wachapazi hii ni fursa ya kula 'matunda mema' ya jasho lao. Ahsante na j'pili njema!
Ccm ni ukoo wa panya..mama mwzi baba mwzi na watoto wez,usitegemee jipya.
Kama yeye ni kidume avunje mitandao ya wizi na ukabila serikalini
Kama yeye ni kidume avunje mitandao ya wizi na ukabila serikalini
Hana ubavu huo, aanzie huko huko kwenye chama chake.
Kama yeye ni kidume avunje mitandao ya wizi na ukabila serikalini
Nakubaliana na wewe, tusubiri tuone maana hakuna nafasi tena ya kumfanya Magufuli na Suluhu wasiwe wagombea kwa niaba ya ccmTime will tell!!
hii inamkosesha haiba ya kuwa makamu wa raisHuyu mama mgombea mwenza wa magufuli alikuwa mstari wa mbele kutupulia mbali maoni ya wananchi alipokuwa makamu mwenyekiti kwenye bunge maalum la katiba
mkuu sio hilo tu na yule mpambe wao amekatwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Hapa UKAWA wamesha fungwa goli 2!!