Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

kamdanganye demu wako hzo sifa za kijinga.ni kwamba hutaamini baada ya tareh 25atakavyogaragazwa hyo kioara wako magufuli hana hata sifa moja ya urais labda upiga debe

Umejaa upepo wa nini wewe MCHUMIPESA? Unaweza kuwa ndiyo wewe, unataka kunisaliti? Usiwe na wasiwasi maisha yako yatakuwa murua tu hata ukijaa upepo, Magufuli hana tabia ya ukanda nachojua ni Tanzania. Kwa hiyo anakutambua kuwa atakutumikia na wewe hata kama umejaa upepo. Pole MCHUMIPESA.
 
Umejaa upepo wa nini wewe MCHUMIPESA? Unaweza kuwa ndiyo wewe, unataka kunisaliti? Usiwe na wasiwasi maisha yako yatakuwa murua tu hata ukijaa upepo, Magufuli hana tabia ya ukanda nachojua ni Tanzania. Kwa hiyo anakutambua kuwa atakutumikia na wewe hata kama umejaa upepo. Pole MCHUMIPESA.

unatafuta promo ili tujadili ka thread kako eeeh???

ni kwamba we humfahamu magufuli niulize mimi ambae n mkazi wa chato jimboni kwako

mafuguli ni.
1.dikteta

2.hashauriki

3.ni MTU wa kulipa visas waulize wadogo

4.anajiona wa maana kuliko wengne yaaan ana madharau kibao aliwaambia kigambon wapge mbizi

5.ana ubaguzi ulizia barabara ya biharamulo ilipindshiwa WAP na nguzo za umeme zilipindshiwa wap
 
hahahahaha yesu alisema nabii hakubaliki kwao, lazima mzee apate presha mwaka huu
 
Ana viashiria vya udikteta.
Anatoka katika chama chenye ufisadi wa kimtandao.
Anatoka katika chama kilichokataa katiba ta wananchi.
Ana historia ya upendeleo.
Hana upeo na ubunifu kama kiongozi.
Ana hulka ya kukurupuka.
Lugha ni tatizo.



simpi kura mtu ambaye hata kukagua gwaride hatoweza
 
Magufuli hatakua na jipya watanzania amkane mnazidiii kudidimia acheni uendawazimu
 
unatafuta promo ili tujadili ka thread kako eeeh???

ni kwamba we humfahamu magufuli niulize mimi ambae n mkazi wa chato jimboni kwako

mafuguli ni.
1.dikteta

2.hashauriki

3.ni MTU wa kulipa visas waulize wadogo

4.anajiona wa maana kuliko wengne yaaan ana madharau kibao aliwaambia kigambon wapge mbizi

5.ana ubaguzi ulizia barabara ya biharamulo ilipindshiwa WAP na nguzo za umeme zilipindshiwa wap

Ni kawaida yenu mkiona mmeambiwa ukweli kwa sababu ninyi ndiyo wenyewe maadmni, hamwezi kukubali mnaamua kutoa au kuunaganisha nyuzi mnavyotaka wenyewe. Sawa ila tr. 25/10/2015 Watanzania wanasema umoja ni ushindi

IMG_9966.JPGIMG_9963.JPGIMG_9767.JPG
 
Ili kuleta maendeleo na amani lazima kuwepo na umoja,na ili kuleta maendeleo lazma awepo mtu mchapakazi,mwadilifu na asiyekuwa mwoga.
ili kuleta umoja na amani lazma awepo mtu asiyefungamana na upande wowote,mtu asiyekuwa na makundi nyuma yake...

Mtu asiyekuwa na roho ya kulipiza visasi na kupendelea kikundi fulani cha watu..

Mtu asiye na element yeyote ya ukabila...

Dr.magufuli hana kundi lolote nyuma,hatumii fedha katka kusaka uongozi kama jinsi wafanyavyo wengne..
Hana uchu wa madaraka,Ana political torelance,

Dr. Magufuli katka kila wizara aliyoiongoza performance yake imekuwa kubwa maradufu..

Kama jinsi waswahili wanavyosema"kila anayetenda mema hulipwa kwa wema"Mungu ameona utendaji na roho ya kujitolea ya Magufuli dhidi ya taifa hili..

Ameona anafaa kabsa kuwaletea Watanzania maendeleo kupitia uchapakazi wake,Mungu ameamua kumlipa kwa wema Dr.magufuli amempa nafasi muhimu na ya kipekee kabsa ya wakuwaongoza watanzania,no one knew that magufuli will become.

The president..its GOD..LET US ALL STAND TOGETHER AND SUPPORT THIS GOOD WISH FROM OUR ALMIGHTY ALLAH..!!REGARDLESS OF OUR IDEOLOGIES & PARTIES..

DR. MAGUFULI THE BEST CHOICE OF TANZANIANS.

Tusidanganye, magufili sio ishu mwaka huu, tunajua akipata magufuli, yupo kwenye mfumo uleule ma mwendo na kasi na tabia ileile. Kwani wote walio kua kwenye serekari ya kikwete wako wapi na watakua wapi? Wapo humohumo na watafanya kazi nahuyuhuyu.
Kwahio mabadiliko hamna. Ahadi zilizotolea na JK 2005 na 2010, ndizo hizi tena anazitoa magufili na kuaminisha wananchi eti kwa yeye zitatekelezeka. Dah! Niungo dhahili kwamba ccm inataka tuu kubaki madarakani kuchelewesha maendeleo.
Wabunge wa NDIOOOOOO! Ndo walewale walio minya katiba ya warioba kwahio kaba yao ndo itapitishwa. Dhamira ya dhati ccm hawana ya kuwakomboa watanzania kwenye hii hali ya umasikini wakutupwa. Vote for Lowassa awe Rais wetu tusonge mbele.
 
wananchi wa jijin mbeya walia kwa uchungu wakimtaka lowassa apumzike uongozi kwani yeye sio msaada kwao, hii imedhihirisha wazi pale wananchi walipofuatilia orodha ya marafiki wa lowassa na kukuta wote ni wale wenye vipato vya juu na hawana mazoea ya kukutana na wananchi wa chini kwa ukaribu.

Katuvunjia nyumba ta bibi yetu kaishi pale miaka 78 hatuta msahau huyu dude na mungu amlaani.



swissme
 
SI mbaya tukiingia ktk hoja na kuanza pata fikra za watz ktk matamko mbalimbai ya wanasiasa ktk hiki kipindi cha cha kuelekea uchaguzi mkuu wa nchi hii.NIngependa kujua watz wanatafsiri vipi ...MAGUFULI KUITWA MTIIFU NA MNYENYEKEVU NA WATU KM MKAPA,MWINYI,JK,KINANA,WASSIRA, etc?

Ulitaka aitwe na nani? Muite wewe na roho yako isiyo na shukrani.
 
Tarehe 25 tumpigie Magufuli mtu mkweli na mchapa kazi. Tuikatalie mbali UKAWA, ni wababaishaji, wahuni na vigeugeu mwenye akili anaona wazi.
 
Back
Top Bottom