Bukama Batoko
JF-Expert Member
- Apr 27, 2015
- 820
- 137
kamdanganye demu wako hzo sifa za kijinga.ni kwamba hutaamini baada ya tareh 25atakavyogaragazwa hyo kioara wako magufuli hana hata sifa moja ya urais labda upiga debe
Umejaa upepo wa nini wewe MCHUMIPESA? Unaweza kuwa ndiyo wewe, unataka kunisaliti? Usiwe na wasiwasi maisha yako yatakuwa murua tu hata ukijaa upepo, Magufuli hana tabia ya ukanda nachojua ni Tanzania. Kwa hiyo anakutambua kuwa atakutumikia na wewe hata kama umejaa upepo. Pole MCHUMIPESA.
Lowassa
Ana viashiria vya udikteta.
Anatoka katika chama chenye ufisadi wa kimtandao.
Anatoka katika chama kilichokataa katiba ta wananchi.
Ana historia ya upendeleo.
Hana upeo na ubunifu kama kiongozi.
Ana hulka ya kukurupuka.
Lugha ni tatizo.
unatafuta promo ili tujadili ka thread kako eeeh???
ni kwamba we humfahamu magufuli niulize mimi ambae n mkazi wa chato jimboni kwako
mafuguli ni.
1.dikteta
2.hashauriki
3.ni MTU wa kulipa visas waulize wadogo
4.anajiona wa maana kuliko wengne yaaan ana madharau kibao aliwaambia kigambon wapge mbizi
5.ana ubaguzi ulizia barabara ya biharamulo ilipindshiwa WAP na nguzo za umeme zilipindshiwa wap
Ili kuleta maendeleo na amani lazima kuwepo na umoja,na ili kuleta maendeleo lazma awepo mtu mchapakazi,mwadilifu na asiyekuwa mwoga.
ili kuleta umoja na amani lazma awepo mtu asiyefungamana na upande wowote,mtu asiyekuwa na makundi nyuma yake...
Mtu asiyekuwa na roho ya kulipiza visasi na kupendelea kikundi fulani cha watu..
Mtu asiye na element yeyote ya ukabila...
Dr.magufuli hana kundi lolote nyuma,hatumii fedha katka kusaka uongozi kama jinsi wafanyavyo wengne..
Hana uchu wa madaraka,Ana political torelance,
Dr. Magufuli katka kila wizara aliyoiongoza performance yake imekuwa kubwa maradufu..
Kama jinsi waswahili wanavyosema"kila anayetenda mema hulipwa kwa wema"Mungu ameona utendaji na roho ya kujitolea ya Magufuli dhidi ya taifa hili..
Ameona anafaa kabsa kuwaletea Watanzania maendeleo kupitia uchapakazi wake,Mungu ameamua kumlipa kwa wema Dr.magufuli amempa nafasi muhimu na ya kipekee kabsa ya wakuwaongoza watanzania,no one knew that magufuli will become.
The president..its GOD..LET US ALL STAND TOGETHER AND SUPPORT THIS GOOD WISH FROM OUR ALMIGHTY ALLAH..!!REGARDLESS OF OUR IDEOLOGIES & PARTIES..
DR. MAGUFULI THE BEST CHOICE OF TANZANIANS.
Ni sisi tunachagua sio Mungu. Hataenda kituoni tarehe 25/10!
wananchi wa jijin mbeya walia kwa uchungu wakimtaka lowassa apumzike uongozi kwani yeye sio msaada kwao, hii imedhihirisha wazi pale wananchi walipofuatilia orodha ya marafiki wa lowassa na kukuta wote ni wale wenye vipato vya juu na hawana mazoea ya kukutana na wananchi wa chini kwa ukaribu.
SI mbaya tukiingia ktk hoja na kuanza pata fikra za watz ktk matamko mbalimbai ya wanasiasa ktk hiki kipindi cha cha kuelekea uchaguzi mkuu wa nchi hii.NIngependa kujua watz wanatafsiri vipi ...MAGUFULI KUITWA MTIIFU NA MNYENYEKEVU NA WATU KM MKAPA,MWINYI,JK,KINANA,WASSIRA, etc?