Dr. Joyce Ndalichako, Katibu Mtendaji wa NECTA! "It's Time To Go!.

Dr. Joyce Ndalichako, Katibu Mtendaji wa NECTA! "It's Time To Go!.

hivi unafikiria ya kuwa Dr ndalichako ndo kafanya yote haya hadi hawa wanafunzi kufeli kiasi hicho mimi nafikiri ndalichako kulaumiwa peke yake hatutakuwa hatumtendei haki kwani yeye katimiza wajibu wake kwa ufasaha hapa tusilaumiane cha kufanya ni kutafuta naman gani ya kuweza kuitatua hili tatizo
 
Shule zilizofaulisha vizuri ni zilezile zenye fedha za kutosha. MoU inafanya kazi iliyotarajiwa. Hilo halina kificho.

Ni wakati muafaka MoU irudi kwenye shule za kata.
 
Hii nimeikuta mahali nikaona niilete na humu ili wale wote wasio niealewa angalau waanze kuelewa kuwa matokeo haya sio bure, iko namna!.

.......Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts’.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa.................

Pasco.


[TD="width: 6%"] S1197/0173
[/TD]
[TD="width: 4%"] M
[/TD]
[TD="width: 6%"] 34
[/TD]
[TD="width: 4%"] FLD
[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F LIT ENG-F BIO-F B/MATH-F
[/TD]

Pasco, mbona Bookeeping na Commerce hayapo kwenye matokeo ya huyo mwanafunzi mwenye namba S1197/0173!!!
 
Last edited by a moderator:
ndugu yangu sikubaliani na wewe. mwalimu anapotunga mtihani shuleni, lazima ajiulize kuwa syllabus imefundishwa hadi wapi. akitunga mtihani wa muhula wa kwanza, itakua ajabu akiweka topics ambazo hajazifundisha. zinafaa kufundishwa
muhula wa pili. huo ndiyo upimaji (evaluation)

Tatizo unachanganya Formative na Summative Evaluation!

Unachokizungumzia hapo juu ni Formative Evaluation na uko sahihi.

scramble, NECTA wanafanya Summative Evaluation. Hii ni tofauti kabisa na hiyo hapo juu. Wanapaswa kuhakikisha kuwa malengo yaliyoainishwa katika syllabus yanapimwa. Hapo hakuna atakayejiuliza nani kafundishwa ama la. Wanatakiwa kuwapima watahiniwa kwa mada zilizoko kwenye muhtasari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne.

Kumbuka tuna centralized Curriculum hayo ndiyo baadhi ya madhara yake. Watahiniwa wote wanapimwa
kwa mtihani mmoja.

 
GREEN ACRES hii ni shule au Chuo cha Ubishoo na Usisita Doo, hii shule jina kubwa, Ada kubwa lakini Matokeo yake ni ----- tu, Mkurugenzi wa shule ya Ubishoo na Usisita Dooo analalamika nini? Kwani wanaopanga matokeo si binadamu kama yeye, au inamaana yeye Hakoseagi? Kama shule yake imefelisha akae chini ajiulize na si kulalamika.
 
Shule zilizofaulisha vizuri ni zilezile zenye fedha za kutosha. MoU inafanya kazi iliyotarajiwa. Hilo halina kificho.

Ni wakati muafaka MoU irudi kwenye shule za kata.


Comment nyingine bana...Unajikuta ukicheka tu mwenyewe..dah,... zombaaaaaaaaaaaaaaaaa....
Kweli wewe ni jembe mtu wangu...Kha...Tuseme hapa ndio End of Thinking Capacity??
 
Last edited by a moderator:


Comment nyingine bana...Unajikuta ukicheka tu mwenyewe..dah,... zombaaaaaaaaaaaaaaaaa....
Kweli wewe ni jembe mtu wangu...Kha...Tuseme hapa ndio End of Thinking Capacity??

Wew thinking capacity imeishia wapi? nieleze kati ya shule zenye kufaidika na MoU na zisizo na MoU zipi zilizofanya vizuri?
 
S1197/0173

[TD="width: 4%"] M [/TD]
[TD="width: 6%"] 34 [/TD]
[TD="width: 4%"] FLD [/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F LIT ENG-F BIO-F B/MATH-F [/TD]

Pasco, mbona Bookeeping na Commerce hayapo kwenye matokeo ya huyo mwanafunzi mwenye namba S1197/0173!!!

Hahahaa.. Mtumpole....umeonaeee...

Unajua matokeo mwaka huu hayana majina (nadhani issue ya Mwanaasha inahusika hapa....)
BACK TO THE TOPIC....wwengi wanajichanganya kwa kutaja namba ambazo sio zao.
Hata mimi jana yupo mtoto wa ndg yangu alikuja na the same case kwamba kuna somo hajawekewa. Kufuatilia Shuleni kumbe ama kwa makusudi (kwa sababu alifeli ) au kwa kusahau akawa anataja namba ya mtu mwingine

Sasa kwa Elimu ya Bujugo (Standard four) unategemea nini? Nina imani atakuwa amechemka huyu. Mkuu Pasco umeliona hili?? NECTA mjibuni huyu kilaza kwenye vyombo vya habari aumbuke..Hata matokeo hajui kusoma!!


 
Last edited by a moderator:
Wew thinking capacity imeishia wapi? nieleze kati ya shule zenye kufaidika na MoU na zisizo na MoU zipi zilizofanya vizuri?

Mimi Thinking Capacity yangu inakwenda beyond borders...

Nenda Kenya Uganda, India, Marekani, nk,nk, uangalie shule zinazoongoza ni zipi? Zinamilikiwa na kina nani?
Then urudi tujadili hoja ukiwa umeshavua blanketi la u - fanaticism linalokukinga kuuona ukweli.
 
Mimi Thinking Capacity yangu inakwenda beyond borders...

Nenda Kenya Uganda, India, Marekani, nk,nk, uangalie shule zinazoongoza ni zipi? Zinamilikiwa na kina nani?
Then urudi tujadili hoja ukiwa umeshavua blanketi la u - fanaticism linalokukinga kuuona ukweli.

Yanini kwenda kote huko? hapa kwenu hujapamaliza. Unataka kushindana na waliowekeza kwenye elimu toka wanapata uhuru wakati wewe uliwekeza kwenye kuwafundisha watoto kufagia na kulima kwa jembe la mkono? na ukaamuwa kikundi kidogo uwape ruzuku, kwetu tunaiita MoU, ili uwape elimu wawatawale wale unaowafundisha kufagia vyoo? Hiyo ndio misingi yetu ya elimu toka tulipopata uhuru.
 
Mkuu Dina, huku ndiko ninakoelekea, hapa naandika tuu ili kupunguza machungu!, hivyo kushusha ressure na hasira na maumivu!.
P.

Hilo sasa neno......usisahau kutuhabarisha yaliyojiri inawezekana ukawa ukombozi wa wengi.
 
ndugu yangu sikubaliani na wewe. mwalimu anapotunga mtihani shuleni, lazima ajiulize kuwa syllabus imefundishwa hadi wapi. akitunga mtihani wa muhula wa kwanza, itakua ajabu akiweka topics ambazo hajazifundisha. zinafaa kufundishwa
muhula wa pili. huo ndiyo upimaji (evaluation)

ile formula ya kcaase kwa waliyo chukua ualimu wanaelewa umuhimu wake. kugawa maswali kwa 25. 50 na 25% kama nilivyo andika awali ni muhimu sana. kwa mwalimu bora, akipelekwa senegal kutunga mitihani, hawezi kukurupuka kutunga kabla ya kuzingatia vipengele vingi. baadhi yake ni kuuliza kama hapajatokea mafuriko au vita au janga lolote lililofanya syllabus zisifundishwe kwa ukamilifu, maabara zipo mashuleni, ufaulu wa mwaka uliopita ulikuwaje, nk......

ufaulu mzuri ni ule ambao umekaa kama bakuli lilofunikwa. pande za pembeni ziko chini na upande wa katikati uko juu. namaanisha kuwa wanaofaulu kwa division 1 wachache, wanaopata div 11 na 111 wengi, na wale wa iv na 0 wachache. mwaka huu wa iv na 0 ndiyo wengi! hii ni hatari. sababu zitafutwe naamini ni nyingi lakini lazima waliyotunga nao wana swali la kujibu. dkt. ngalichako ajiuzulu

Nami sintokubaliana na wewe.......usahihishaji wa mwalimu wa somo ni tafauti kabisa na NECTA....NI KWELI KUWA MWALIMU SHURTI ATUNGE NA KUSAHIHISHA KWA MUJIBU WA COVERAGE YA SOMO.......kwa NECTA ni tofauti kwa kuwa wakati mtihani wa kidato cha nne ukitungwa na kufanyika inachukuliwa kuwa syllabi zote zimekwisha kuwa covered toka kidato cha kwanza mpaka cha nne......na si wajibu wa NECTA huhakikisha kuwa hilo limefanyika.

Hoja yako ya KCAASE bado sijaielewa.Ina maana kuwa kama Kilosa kukiwa na mafuriko basi mitihani iwe mirahisi kuliko Singida ambako kuna ukame? Na kama shule haina maabara basi wasifanye prctical exams?

Na kwa nini hasa Dr Ndalichako ajiuzulu? Ukijenga nyumba na ukuta ukaanguka utamlaumu mpaka rangi?
 
Yanini kwenda kote huko? hapa kwenu hujapamaliza. Unataka kushindana na waliowekeza kwenye elimu toka wanapata uhuru wakati wewe uliwekeza kwenye kuwafundisha watoto kufagia na kulima kwa jembe la mkono? na ukaamuwa kikundi kidogo uwape ruzuku, kwetu tunaiita MoU, ili uwape elimu wawatawale wale unaowafundisha kufagia vyoo? Hiyo ndio misingi yetu ya elimu toka tulipopata uhuru.

Aiseee.....
 
Wew thinking capacity imeishia wapi? nieleze kati ya shule zenye kufaidika na MoU na zisizo na MoU zipi zilizofanya vizuri?

zomba tufike mahali tuongee kama taifa, wanafunzi wa baadhi ya shule hawajajibu chochote kwenye somo la elimu ya viumbe (Biology). Shule ilipoulizwa kunani, wakajibu kuwa hawakuwahi kuwa na mwalimu wa somo hilo ndio maana watahiniwa wameshindwa cha kujibu......kwangu mimi hapa MoU is irrelevant. Shule zipate walimu wa kutosha, plus miundo mbinu iboreshwe and that's it.
 
Last edited by a moderator:
Tangu lini mtu kusema ukweli ukawa uchochezi? Hakuna sehemu yoyote duniani wanaweza kukubali matokeo ya aina hii zaidi ya Tanzania. Kuna haja ya kuisuka upya wizara ya elimu kama siyo serikali nzima.

Na huu ndio ukweli? Au hukunielewa?


Kwa maoni yangu, kitendo cha NECTA kutunga mtihani ambao siyo ili kuwakomoa "watu fulani " kulikopelekea wanafunzi kufeli vibaya ili kujustify hao kina "fulani" ni wajinga!, na kuyapeleka makaratasi halisi ya mtihani kuuanika uthibitisho wa jinsi hao kina fulani walivyo jibu utumbo yakiwemo matusi ili kupata public sympathy kujustify tatizo sio NECTA, sio mitihani wall sio usahihishaji bail ni wanafunzi ndio wajinga na vibonde, hakipaswi kuachwa bila kupingwa!.
 
zomba tufike mahali tuongee kama taifa, wanafunzi wa baadhi ya shule hawajajibu chochote kwenye somo la elimu ya viumbe (Biology). Shule ilipoulizwa kunani, wakajibu kuwa hawakuwahi kuwa na mwalimu wa somo hilo ndio maana watahiniwa wameshindwa cha kujibu......kwangu mimi hapa MoU is irrelevant. Shule zipate walimu wa kutosha, plus miundo mbinu iboreshwe and that's it.

Sasa jiulize, shule yenye MoU ndio ilijibu hivyo? kama yes, ni ipi?

Mnaumiza bvichwa wakati mambo yapo wazi kabisa.

Misingi ya elimu Tanzania iliwekwa kwa tabaka mbili, mpja la wale wengi wataofundishwa namna ya kulima na jembe la mkono, kufagia na kuosha vyoo, tabaka hili halina siri, tnawaona wanafunzi wakibebeshwa majembe ya mkono, mafagio ya kuoshea uwa na vyoo na makopo ya maji. Tabaka la pli ni lile linalotayarishwa kuwa watawala na hawa shuleni kwao huwakauti wakibebeshwa fagio wala jembe la mkono wala makopo ya maji ya kusafishia vyoo.

Sasa jiulize ni shule zipi hizo?
 
Haa haa, umechokaje?!!

Wacha tu nijichokee Dina, laiti kungekuwa na hospitali ya kutibu ujinga ningemshauri aende kutibiwa. Sasa kama shule aliyosoma (Kama kweli ana elimu yeyote beyond kusoma na kuandika) haikuweza kumkomboa basi hakuna namna. Ukiendelea kubishana na kiumbe mzito kama huyo unaweza ambulia ban bure!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom