Dr. Khiago Kilonzo kikaangoni, kuenguliwa muda wowote!

Dr. Khiago Kilonzo kikaangoni, kuenguliwa muda wowote!

Nifah

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2014
Posts
34,020
Reaction score
79,098
IMG_6165.jpeg


Wakuu, poleni kwa janga la Kariakoo. Mungu awarehemu waliotangulia, majeruhi wapate nafuu mapema na ambao bado wapo katika kifusi wapate kuokolewa wangali hai, Amen!

Kama mtakumbuka vyema, mwishoni mwa mwezi May niliwaletea habari kuhusiana na suala la Dr. Khiago kutumia nafasi yake kama Katibu Mtendaji wa bodi ya filamu nchini kufanya upendeleo katika ziara iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais ambayo wasanii na wadau wa filamu nchini waliungana na Rais kuelekea Korea ya Kusini.

Niliwaelezea namna Dr. Khiago alivyotumia nafasi yake hiyo kumuengua msanii (Mwanamama) aliyependekezwa hapo kabla kisha kumuweka anayedaiwa kuwa 'mpango wa kando' wake. Kitendo hicho kilituumiza tuliokuwa wengi, hadi kupelekea mimi kupaza sauti hapa jamvini...

Hivyo basi, hilo na mengine mengi vimepelekea Dr. Khiago kukosa sifa ya kuendelea kuwa Katibu Mtendaji wa bodi ya filamu nchini.

Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba tayari ameshaenguliwa katika nafasi hiyo, na Katibu Mkuu mpya atakuwa baina ya Tido Muhando, Dr. Kasiga kutoka Udom au mwingine ambaye nimeshindwa kulipata jina lake kwa uharaka.

Penzi kitovu cha uzembe... Dokta atarudi kufundisha chuo kikuu kutoka kuwa Bosi wa bodi ya filamu nchini!

Chanzo changu nyeti pamoja nami,

Nifah.

Pia soma
 
Kwanza nimpongeze mh Rais kwa ushindi wa taifa stars pale kwa Mkapa pili nimtakie Dr maisha mema anaporudi kufundisha chuo au majukumu yoyote atakayopangiwa
Kupata na kupoteza ndio maisha ya binadam hadi pale anapopoteza uhai na kupumzika
 
Kwanza nimpongeze mh Rais kwa ushindi wa taifa stars pale kwa Mkapa pili nimtakie Dr maisha mema anaporudi kufundisha chuo au majukumu yoyote atakayopangiwa
Kupata na kupoteza ndio maisha ya binadam hadi pale anapopoteza uhai na kupumzika
Nilipoleta hii habari wengi wenu mlipongeza Dr, leo ni kumtakia maisha mema?

Ila nimemuona mkewe mzuri mno, basi tu.
 
View attachment 3156973

Wakuu, poleni kwa janga la Kariakoo. Mungu awarehemu waliotangulia, majeruhi wapate nafuu mapema na ambao bado wapo katika kifusi wapate kuokolewa wangali hai, Amen!

Kama mtakumbuka vyema, mwishoni mwa mwezi May niliwaletea habari kuhusiana na suala la Dr. Khiago kutumia nafasi yake kama Katibu Mtendaji wa bodi ya filamu nchini kufanya upendeleo katika ziara iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais ambayo wasanii na wadau wa filamu nchini waliungana na Rais kuelekea Korea ya Kusini.

Niliwaelezea namna Dr. Khiago alivyotumia nafasi yake hiyo kumuengua msanii (Mwanamama) aliyependekezwa hapo kabla kisha kumuweka anayedaiwa kuwa 'mpango wa kando' wake. Kitendo hicho kilituumiza tuliokuwa wengi, hadi kupelekea mimi kupaza sauti hapa jamvini...

Hivyo basi, hilo na mengine mengi vimepelekea Dr. Khiago kukosa sifa ya kuendelea kuwa Katibu Mtendaji wa bodi ya filamu nchini.

Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba tayari ameshaenguliwa katika nafasi hiyo, na Katibu Mkuu mpya atakuwa baina ya Tido Muhando, Dr. Kasiga kutoka Udom au mwingine ambaye nimeshindwa kulipata jina lake kwa uharaka.

Penzi kitovu cha uzembe... Dokta atarudi kufundisha chuo kikuu kutoka kuwa Bosi wa bodi ya filamu nchini!

Chanzo changu nyeti pamoja nami,

Nifah.

Pia soma
Napenda mademu wambea wewe unafaa kuwa kipenzi changu
 
View attachment 3156973

Wakuu, poleni kwa janga la Kariakoo. Mungu awarehemu waliotangulia, majeruhi wapate nafuu mapema na ambao bado wapo katika kifusi wapate kuokolewa wangali hai, Amen!

Kama mtakumbuka vyema, mwishoni mwa mwezi May niliwaletea habari kuhusiana na suala la Dr. Khiago kutumia nafasi yake kama Katibu Mtendaji wa bodi ya filamu nchini kufanya upendeleo katika ziara iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais ambayo wasanii na wadau wa filamu nchini waliungana na Rais kuelekea Korea ya Kusini.

Niliwaelezea namna Dr. Khiago alivyotumia nafasi yake hiyo kumuengua msanii (Mwanamama) aliyependekezwa hapo kabla kisha kumuweka anayedaiwa kuwa 'mpango wa kando' wake. Kitendo hicho kilituumiza tuliokuwa wengi, hadi kupelekea mimi kupaza sauti hapa jamvini...

Hivyo basi, hilo na mengine mengi vimepelekea Dr. Khiago kukosa sifa ya kuendelea kuwa Katibu Mtendaji wa bodi ya filamu nchini.

Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba tayari ameshaenguliwa katika nafasi hiyo, na Katibu Mkuu mpya atakuwa baina ya Tido Muhando, Dr. Kasiga kutoka Udom au mwingine ambaye nimeshindwa kulipata jina lake kwa uharaka.

Penzi kitovu cha uzembe... Dokta atarudi kufundisha chuo kikuu kutoka kuwa Bosi wa bodi ya filamu nchini!

Chanzo changu nyeti pamoja nami,

Nifah.

Pia soma
Huyu alishaondolewa since last week
 
Dokta anamfahamu vizuri, habari iliyopita niliweka majina yake yakaondolewa.
Unachokiongea nakuaminia Nifah.

Kiagho namfahamu vyema tangu anasoma TASUBA na hiyo michezo yake yaking Mswati aliianzia huko.

Amebrbwa kufikia pale. Mzazi wake alikuwa UN akapiga sana mingo mwanae apande madaraja.

Kimsingi anapaswa kujirudi
 
Back
Top Bottom