Dr. Khiago Kilonzo kikaangoni, kuenguliwa muda wowote!

Unachokiongea nakuaminia Nifah.

Kiagho namfahamu vyema tangu anasoma TASUBA na hiyo michezo yake yaking Mswati aliianzia huko.

Amebrbwa kufikia pale. Mzazi wake alikuwa UN akapiga sana mingo mwanae apande madaraja.

Kimsingi anapaswa kujirudi
Mke wake unamfahamu Mkuu? Mzuri sana ila ndio hivyo tena mambo yenu wanaume mnajua wenyewe.

Hapo alipoteuliwa labda mkewe alifurahia na kumshukuru Mungu, kumbe aliyoenda kuyafanya mume huko ni ya aibu!
 
Mke wake unamfahamu Mkuu? Mzuri sana ila ndio hivyo tena mambo yenu wanaume mnajua wenyewe.

Hapo alipoteuliwa labda mkewe alifurahia na kumshukuru Mungu, kumbe aliyoenda kuyafanya mume huko ni ya aibu!
Dada mrembo lakini ndo hivyo tena, ndoa ndoano.

Ameyakanyaga
 
Khiago kilonzo musyoka aende zake hatuna faida naye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…