Dr. Khiago Kilonzo kikaangoni, kuenguliwa muda wowote!

Kwanza nimpongeze mh Rais kwa ushindi wa taifa stars pale kwa Mkapa pili nimtakie Dr maisha mema anaporudi kufundisha chuo au majukumu yoyote atakayopangiwa
Kupata na kupoteza ndio maisha ya binadam hadi pale anapopoteza uhai na kupumzika
Anaenda kufundasha chuo au shule.
 
Muhuni ameanguka kwasababu ya kuendekeza mapenzi...kina Baltazar wapo wengi sana.
 
Vipi kuhusu maslahi? Anarudi kusubiri mshahara kwa mshahara kutoka kuwa bosi.
Japo sijui anacholipwa vs atakachoenda kulipwa ila kuna uwezekano ikawa ni tofauti ndogo, angesota kama hizo tuhuma zingempelekea kutoka nje ya mfumo wa ajira
 
Hongera, ni uandishi mzuri sana, ndani yake una sauti ya mamlaka na kujiamini. Ni uandishi kama wa gwiji. Safi sana.

Ova
 
Hongera, ni uandishi mzuri sana, ndani yake una sauti ya mamlaka na kujiamini. Ni uandishi kama wa gwiji. Safi sana.

Ova
Gwiji ambaye ni wewe b… mimi bado najitafuta.
Asante sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…